Hivi ni kwanini wanaume mnaongelea sana maovu ya wanawake na kuyaacha ya kwenu?

kwa hio kama kitabu kimeandikwa na mwanaume manake si cha Mungu. na kwa maana hio wewe haukiamini.
Je, wewe humuabudu tena Mungu?
 
Eti kisa maandiko yamesema wao ni kichwa wafanye mauchafu eti wanawake wavumilie wao wakikosa wasamehewe hii jamii yetu bado inaishi zama za dark ages kila mtu anahtaji kutendewa sawa na usicho penda kutendewa wewe basi isimutendee mwenzako. Kuna watu wanantanyasika na hivi wenye uelewa mdogo wasio weza kutafakari maandiko ndo wanakuwa hawajielewi ka nyumbu. Napinga uonevu wowote Kwa binadamu yoyote hasa mwanamke, though kuna wanaume wanaoheshimu wanawake ka babangu na wengine matured nawapa sana kongole.
 
Huyo hajielewi na hajui lengo lake duniani wallah
 
Mimi nafata data za kiuchunguzi wanaume mumezidiwa vingi na wanawake Kwa sasa angalia idadi hata ya vijana wakiume hovyo hovyo tu hawana mbele wala nyuma.


Napenda watu wa Data. Mkuu naomba hizo Data.

Tena hata ulete za Ulaya nitashukuru zaidi. Data zinazoonyesha kuwa Wanawake wamewazidi wanaume kwa mambo mengi.

Nikurahisishie dondoo utakazojikita.
●Kiuchumi
●Kijamii
● Kisiasa
● Kiulinzi na usalama
● Kiutamaduni.

Nakuruhusu hata nchi za Ulaya utumie kama Case Study.

Nakusubiri.
 
What a brave comment
 
Achana na Ku abudu na kumwamini Mungu vitabu hivo kuandikwa na mwanadamu hasa mwanaume vina bias, zamani wanawake walikuwa hawahesabiwi kuwa ni watu hata kwenye sensa ilikuwa ni wanaume. Unataka kusema huko kuandikwa siilikuwa Ku favor malengo ya kijamii ya wakati ule? Jiongezeni aisee
kwa hio kama kitabu kimeandikwa na mwanaume manake si cha Mungu. na kwa maana hio wewe haukiamini.
Je, wewe humuabudu tena Mungu?
 
Mimi nadhani mleta uzi Kuna kitu kaamua kujisahaulisha bahati mbaya Kama si makusudi,ukubwa wa mwanamme sio wa kujadili Bali ni qadar aliyoiweka Mungu,ambayo haitabatilika kamwe mpaka kuisha kwa dunia.Vitabu vya Mungu vinatuambia kuwa jumla ya mitume na manabii wa Mungu ni 124000,na wote hao walikuwa ni wanaume,mtoa mada amewahi kujiuliza kwa nini hao wote wawe wanaume tu bila ya mwanamke hata mmoja je Mungu alisahau?je wanawake hawakuwepo??na hata tukija kwenye maisha ya kawaida ya kila siku kati ya mke na mme,ni wapi ambapo mwanamke hutenda zaidi ya kutendwa?mtoa mada anatakiwa afute kauli yake na atuombe radhi wanaume.
 
Unaweza kutafta report ya World bank kuhusu Tanzania mwaka huu, usome ili unoe akili yako vzuri, hyo ya Ulaya nikunichosha tafta mwenyewe usome Kwa ufasaha mana hzo assignment's unazonipa waweza Ku google mwenyewe
 
Mkuu, mbona lipo andiko linalosema "mwanamume atawaacha baba yake na mama yake naye ataambatana na mkewe nao watakuwa mwili mmoja" (kwanini halijasema mwanamke) pia kuna andiko linasema "(mwanamume) aziniye na mwanamke hana akili kabisa afanya jambo litakalomuangamiza nafsi yake" (kwanini halijasema mwanamke).

Je utasema wanawake hawahusiki kwenye hayo maandiko kwa sababu tu hawajatajwa au hawajaongelewa??
 
Mkuu mimi wala sipingi utofauti uliopo wa kiutawala kati ya mwanaume na mwanamke. Hoja yangu ni usahihi wa njia zilizotumiwa kuusimamisha huo utawala( maandiko matakatifu ).
 
sijakataa usemacho, nauliza wewe unamwabudu Mungu humuabudu?
 
Kwani unadhani hako kamsemo wamekaanzisha wanawake??
Nasubiri siku wakiacha kale kamsemo ka "umenichezea muda wote" ndo nitaona kuwa angalau tunaelekea kuwa na usawa
 
Uzi huu nimesoma natoka kuamka akili haijaweza ku digest mambo ila ngoja niweke neno.

Kinacho peleka yote ni mwanamke kusahau wanamke wake na majukumu yake.
Mkuu,, wapo pia wanaume waliosahau uanaume wao na majukumu yao hao nao unawaongeleaje??
 
Sasa hyo ni out of my argument. Kumwabudu Mungu haiwezi kuhalalisha uonevu, I think people hawajaelewa vzuri maandiko na sasa kujificha kwenye kichaka cha Mungu. Some issues need to use common sense.
sijakataa usemacho, nauliza wewe unamwabudu Mungu humuabudu?
 
Mkuu huyu aliongea tu kutetea chama lakini siyo kweli wanawake wanawazidi wanaume kwenye nyanja hizo...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…