Vyovyote iwavyo. Asili inaonyesha Mwanaume ndiye mtawala.
Jamii karibu zote duniani mwanaume ndiye mtawala.
Hivyo yeye ndiye hubuni sheria kulingana na vile atakavyoona yeye.
Hata mwanamke kupewa haki ni matokeo ya baadhi ya wanaume kuona ipo haja ya kuwapa haki hao wanawake.
Wanawake hawana uwezo wa kukaa pamoja na kuamua kupigania haki zao bila msaada wa mwanaume. Hiyo ni nature mkuu.
Huyo Marianah anajaribu kufanya jaribio lililofeli pale Edeni lililofanywa na Mama yetu Hawa au Eva.
Eva alitaka kumpindua Adamu kisiri ili afanane na Mungu. Kumbuka Adamu aliumbwa kwa mfano wa Mungu wakati Eva au Hawa akiumbwa kwa Mfano wa Adamu.
Kama jinsi Wanadamu wanavyohangaika kuwa sawa na Mungu lakini inashindikana ndivyo wanawake wanavyojitahidi kuwa sawa na Mwanaume na inashindikana.
mwanamke atabaki kutawaliwa siku zote mpaka aingie kaburini kwenye huo usawa.