Kwakweli mimi nikiwa kwenye mahusiano nakua na furaha sana na amani🥰☺️☺️.. Ila sijawahi kumove on mapema, yaani nikiachwa naweza nikakaa hata mwaka au miwili kabisa maana naumiaga sana na ni ngumu kumsahau aliyekua mpenzi wangu haraka hivyo...Sure.
Na hiyo ni mindset tu ambayo tumemjengea. Tangu utoto
Tangu utoto binti anaambiwa her ultimate goal is to get a man and get married.
Hivyo, muda wote wa maisha binti anajiandaa kwa jambo hilo tu, ndio lengo kuu la maisha, regardless amesoma hadi wapi ama ana cheo gani.
Mila, tamaduni na dini zote xinamwambia hivyo, kwa sababu ya moral decay anashindwa kummantain mmoja,
Akiachana na huyu anatafuta replacement haraka.
Leejay49 alifurahi sana hadi kuanzisha uzi baada ya kupata replacement, na alisema hakuwa na furaha wala amani bila kuwa kwny mahusiano.
Kuna ishu hapa umeongea imenigusa sana mkuu.Wanawake ni complicated creatures. Akili zao na zetu hazifanani. hata hao wanaosema kuwa wamekuwa liberated bado wanategemea mwanaume as head kwenye mambo yao kibao.
Kuanzisha mahusiano mapya ndani ya muda mfupi ni akili za visasi zinazowasumbua. Ndo maana hata kama ukiachana naye aka move on lakini wengi wa wanawake walioachwa wakikuona na mahusiano mapya mioyo inawalipuka na kuwachemka kwa hasira na wanatamani visasi vilipwe.
Ndivyo walivyo
Daaah😂😂😂Kwasababu mwanamke hawezi ku-survive peke yake... Mwanaume ni basic need muhimu sana kwa mwanamke, Sema ndo hivyo asilimia kubwa ya Men akili ya kujua thamani zetu hamna
Mjini huku ndio hivi Mkuu fatilia ukija mjini.Mkuu mbona unaongelea kinyume chake.. Au huko mjini mambo yamegeuka saizi
Kwakweli itabidi nilifatilie hiloMjini huku ndio hivi Mkuu fatilia ukija mjini.
hahàhaah wanadai hawataki kukopwa😂 wanakuwa mbogo
Enheeee😂😂Wakati tukiwa kwenye mahusiano kuna ambao huwa wanaendelea kurusha nyavu hawaelewi hata kama una mahusiano. Sasa tukiachwa tunaangalia kati ya wale warusha nyavu yupi ni bora zaidi unaanza kum-entertain.
Pepo mtaiskia tu 😂Wakati tukiwa kwenye mahusiano kuna ambao huwa wanaendelea kurusha nyavu hawaelewi hata kama una mahusiano. Sasa tukiachwa tunaangalia kati ya wale warusha nyavu yupi ni bora zaidi unaanza kum-entertain.
Hii kitu na experience nayo😂😂Ubaya ni kwamba they always come back .. Just give her days, months then lazima arudi tu tena mwenyewe
Sent from my Pixel 4 XL using JamiiForums mobile app
Nikiachwa naanza kukuchatisha kila saaPepo mtaiskia tu 😂
Daaah...Miilini yenu hio😂😂Zege halilali mkuu, kama siti ya daladala akishuka mtu anapanda mtu😀.
Sawa.Kwakweli mimi nikiwa kwenye mahusiano nakua na furaha sana na amani🥰☺️☺️.. Ila sijawahi kumove on mapema, yaani nikiachwa naweza nikakaa hata mwaka au miwili kabisa maana naumiaga sana na ni ngumu kumsahau aliyekua mpenzi wangu haraka hivyo...
Wanaume mna nafasi yenu kwenye maisha ya wanawake na hilo haliepukiki hata iweje
Tumepewa buree, gharama ni maji tu kusafisha mwili😀😀Daaah...Miilini yenu hio😂😂
Kitabu cha ''Men are from mars and women from venus'' kinaelezea vizuri.Umenikumbusha To yeye naye alianzisha uzi hivi juzi kuelezea furaha yake kwenye eneo hilo.
Sasa hii tabia imeanza kuambukizwa kwa wanaume hususan wanaokua kwa sababu tunaona matendo yenye uthubutu wa aibu kwenye mahusiano yao
Look who is here!Tumepewa buree, gharama ni maji tu kusafisha mwili😀😀
Hi Mjuni, nipo mkuu za siku?Look who is here!
Umeadimika sana mkuu.