Hivi ni kweli kileleni mwa mlima Kilimanjaro kuna shimo?

Hivi ni kweli kileleni mwa mlima Kilimanjaro kuna shimo?

garama sio kubwa ndugu yangu kama mpo vizuri kiafya kwani mnaweza kujibebea kila kitu, mkiwa na 200000@ kwa watu 5+mnaweza kufanya safari ya siku 5-6.na ikatosha kila kitu. mwaka 2012 tulifanya safari ya siku 6 kwa sh 45000,kuanzia park fee, transportation,chakula n. k


Ok nashukuru kwa taarifa maana nilikuwa Moshi siku moja nikaambiwa natakiwa kuwa na Tshs 400,000+
 
Ok nashukuru kwa taarifa maana nilikuwa Moshi siku moja nikaambiwa natakiwa kuwa na Tshs 400,000+
hii ni bei ya chini sana ndugu yangu. hii ni kwa watu walio wa kakamavu haswa. kwani mnatakiwa ujibebee staff zako ambazo si chini ya 10-12kg. engeza na vitu vidogo vidogo kama 5kg jumla itakua kama 15-17kg, kwakufanya hivyo itaweza kupunguza idadi ya wasaidizi na garama kwa ujumla. asante
 
Acha uongo wewe kinachowafanya wengi kutofika kileleni moja ni woga tu hama kingine juu kabisa kuna creta ambayo imezungukwa kwa pembeni na theluji ambayo jua likiwaka huyeyuka na kutiririsha maji kuelekea chini
Povu vipi???
 
Ukweli wa kwamba kuna usumaku wa kuvuta watu shimoni au hakuna hajulikani kwa sababu hakuna atakayekuruhusu ulisogelee shimo kutokana na hali ya hewa ya pale...Pana Baridi Kari sana na wakati mwingine kuna upepo mkali.
Ikitokea umetumbukia kwenye lile shimo uwezekano wa kutoka ni mdogo sana kuliko kupotelea humo shimoni...kwa kifupi ni hatari kulisogelea shimo.
 
huo mlima si kilometa tano tu izo nyongeza zimetoka wapi
Vipimo wanavyotumia kupima urefu wa mlima ni tofauti na umbali utakaotumia kuupanda mlima maana kupima wanapima straight from sea level, ila kuupanda hautokwenda straight kama rocket.
 
Ukweli wa kwamba kuna usumaku wa kuvuta watu shimoni au hakuna hajulikani kwa sababu hakuna atakayekuruhusu ulisogelee shimo kutokana na hali ya hewa ya pale...Pana Baridi Kari sana na wakati mwingine kuna upepo mkali.
Ikitokea umetumbukia kwenye lile shimo uwezekano wa kutoka ni mdogo sana kuliko kupotelea humo shimoni...kwa kifupi ni hatari kulisogelea shimo.
Sio kweli, washaelezea vizuri hilo humu. Watu washafika.
 
Duuuu we mbna unapenda kujivua nguo!!!
Acha kuishi kwa kukariri difition za darasani

Hujafika kwenye hilo shimo. Sana sana utakuwa umefikia Shira au Mawenzi au kama umejitahidi sana mwisho wako utakuwa umeishia Kibo tu, ambayo ipo nje na mbali na shimo la Volcano.

Huwa sikisii.
 
panafikika vizuri sana data. ila hapa ni mbali kidogo na hilo shimo. nakuahidi nitakuletea picha za hilo shimo vizuri mwezi ujao kwenye tarehe 15/07/2017.na mtaona ukweli.
Counting
 
aef6534c72dec53aa0e85dba74cf758f.jpg
shimo hilo
e3256e58e228b445a00e6a4d15310af3.jpg
Picha ilipigwa kutoka katika ndege
010df151e2cd74ef7adb9d18a801984e.jpg
eneo linalozunguka crater
 
Duuuu we mbna unapenda kujivua nguo!!!
Acha kuishi kwa kukariri difition za darasani
Naona huna hoja kuhusu Kilimanjaro sasa unanitafuta binafsi..

Nahisi hata nnachokiandika hukielewi ndiyo maana unaona uchi tu.

Sikushangai, ndiyo wale wale mliofundishwa shule hayajawaingia kwa kuwa tu shule ulienda kusomea ujinga.
 
Back
Top Bottom