Hivi ni Mabunge yote duniani Mbunge akisimama badala ya kutumia muda wake vizuri ni lazima aanze kumsifia Rais?

Hivi ni Mabunge yote duniani Mbunge akisimama badala ya kutumia muda wake vizuri ni lazima aanze kumsifia Rais?

Hili bunge la bajeti ingawa bunge lenyewe lilishapoteza uhalali lakini nikiwa home huwa nafuatilia michango ya wabunge.

Kinachonikwaza Mimi najiuliza inakuwaje kwa dakika chache wanazopewa wabunge kutowa michango muda mwingi wanatumia kumsifu Rais, waziri na serikali?

Inawezekana Mimi ndio sijui au nina chuki zangu tu na CCM na bunge zima, sasa naomba msaada ili nisikwazike. Je, huu ndio utaratibu wa kibunge wa mabunge ya Westminster?
Hili ni bunge la machawa, tofautisha na mabunge ka kidemokrasia
 
Hili bunge la bajeti ingawa bunge lenyewe lilishapoteza uhalali lakini nikiwa home huwa nafuatilia michango ya wabunge.

Kinachonikwaza Mimi najiuliza inakuwaje kwa dakika chache wanazopewa wabunge kutowa michango muda mwingi wanatumia kumsifu Rais, waziri na serikali?

Inawezekana Mimi ndio sijui au nina chuki zangu tu na CCM na bunge zima, sasa naomba msaada ili nisikwazike. Je, huu ndio utaratibu wa kibunge wa mabunge ya Westminster?
😂😂😃 Ni disgusting 🤢 sana
 
Huu ni ugonjwa na ugonjwa huu unapatikana Tanzania.

Jina la Ugonjwa: Upeo mdogo, uelewa mdogo, kukosa exposure, kuwaza burebure, kutegemea mtu kukuweka ulipo na si uwezo na akili yako.

Tiba: Kuachana na CCM na wananchi kuchukua full control ya nchi kwa kufanya mapinduzi ya kiraia.

Unafanana na Apedomia [emoji23]
 
Siyo bungeni tu, popote alipo mwanasiasa wa CCM lazima amsifu rais. Wiki iliyopita kuna kiongozi wa chama alitembelea ujenzi wa vyoo vya shule (matundu matatu) kila aliyepewa nafasi ya kuongea alimsifu rais
 
Hii kitu imetamalaki sana, kila kiongozi kawa chawa wa Rais, wao ni kusifia tu hata sehemu ambako hazistahili. Hawajiamini au wanaogopwa kuliwa vichwa hii ni dalili mbaya sana. Hawawezi kutoa mawazo yao kwa uhuru lazima waseme Rais na serikali ya awamu ya 6 blah blah
 
Hili bunge la bajeti ingawa bunge lenyewe lilishapoteza uhalali lakini nikiwa home huwa nafuatilia michango ya wabunge.

Kinachonikwaza Mimi najiuliza inakuwaje kwa dakika chache wanazopewa wabunge kutowa michango muda mwingi wanatumia kumsifu Rais, waziri na serikali?

Inawezekana Mimi ndio sijui au nina chuki zangu tu na CCM na bunge zima, sasa naomba msaada ili nisikwazike. Je, huu ndio utaratibu wa kibunge wa mabunge ya Westminster?
WABUNGE WA HOVYO HUFANYA HIVYO WANASAHAU RAIS NI MUHIMILI UNGINE NA WAO NI MUHIMILI MWINGINE BORA WANGEMSIFIA SPIKA WAO
 
Kipi nimedanganya hapo?
Wewe mwongoooooo Kwa hilo, wa Tanzania ndiyo wako hivyo tangu zama zileeeee. Kwani zidumu fikra za mwenyekiti zilianza lini?
Na yule mzee aliyebadiri jina kutoka John na kuwa Jumanne si ilikuwa kumaifu Rais?
 
Hili bunge la bajeti ingawa bunge lenyewe lilishapoteza uhalali lakini nikiwa home huwa nafuatilia michango ya wabunge.

Kinachonikwaza Mimi najiuliza inakuwaje kwa dakika chache wanazopewa wabunge kutowa michango muda mwingi wanatumia kumsifu Rais, waziri na serikali?

Inawezekana Mimi ndio sijui au nina chuki zangu tu na CCM na bunge zima, sasa naomba msaada ili nisikwazike. Je, huu ndio utaratibu wa kibunge wa mabunge ya Westminster?
Tumekwambia mbunge yeyote asiye na AKILI hasemwi na watu kwamba hana AKILI anajisema mwenyewe kwa matendo yake bungeni.kumbe kustahili kuwepo bungeni au kutostahili ni mbunge anatuambia yy mwenyewe.
 
Huu ni ugonjwa na ugonjwa huu unapatikana Tanzania.

Jina la Ugonjwa: Upeo mdogo, uelewa mdogo, kukosa exposure, kuwaza burebure, kutegemea mtu kukuweka ulipo na si uwezo na akili yako.

Tiba: Kuachana na CCM na wananchi kuchukua full control ya nchi kwa kufanya mapinduzi ya kiraia.

Sipingi rais kusifiwa, kuna mazuri amefanya anastahili, pale panapostahili apongezwe.

Lakin kuna hili wimbi la wanafki, wanapongeza kujikomba, unafki wakiwa na lengo moja tu kujivua madudu ya utendaji wao na kujinufaisha kisiasa.

Tuna bahati mbaya sana kuwa na wabunge wa aina hiyo
 
Hii kitu imetamalaki sana, kila kiongozi kawa chawa wa Rais, wao ni kusifia tu hata sehemu ambako hazistahili. Hawajiamini au wanaogopwa kuliwa vichwa hii ni dalili mbaya sana. Hawawezi kutoa mawazo yao kwa uhuru lazima waseme Rais na serikali ya awamu ya 6 blah blah

Hata sehemu ambapo Rais hakutakiwa kutajwa atajitahidi achomekee neno la kumtaja Rais hua nawakata jicho basi tu
 
Mtu mzima umelala na mke wako chumbani unambinua usiku mzima, na asubuhi umemshukuru kwa kukupa faraja unaenda tena kusema namshukuru mke wangu haaa! Ina maana usiku mzima hadi asubuhi haukutosheka tu?
 
Kuna ule utaratibu mwingine kutajana majina viongozi waliohudhuria kwenye mikutano na kuelezea background ya tukio la shughuli husika; salaleh.

Kila mtu akipanda kwenye jukwaa anarudia kutaja watu wale wale (hivi kuna ulazima).

Kila mtu akipanda anatoa historia ya mradi husika au jambo lililowakutanisha; kama sio sheria ilianza lini, basi nani alianzisha hiyo agenda zama za kale hizo. Maelezo ambayo baada ya siku mbili asilimia kubwa tushayasahau.

Utaratibu ambao unaongeza muda wa mkutano pengine kwa zaidi ya Lissa kusikiliza repetitions za wachangiaji. Kwakweli sijui ndio itifaki au wanaita kitu gani; binafsi naita utaratibu wa hovyo mno na kuchoshana kusikiliza.
 
Hili bunge la bajeti ingawa bunge lenyewe lilishapoteza uhalali lakini nikiwa home huwa nafuatilia michango ya wabunge.

Kinachonikwaza Mimi najiuliza inakuwaje kwa dakika chache wanazopewa wabunge kutowa michango muda mwingi wanatumia kumsifu Rais, waziri na serikali?

Inawezekana Mimi ndio sijui au nina chuki zangu tu na CCM na bunge zima, sasa naomba msaada ili nisikwazike. Je, huu ndio utaratibu wa kibunge wa mabunge ya Westminster?
Hahahahahaha. Huu ndio mchango wangu.
 
Wabunge wengi wa Tanzania akili ni kidogo, hawana uwezo hata wa kufuatilia kinachosomwa. Sasa angalao wasikike, wanaishia kubwabwaja kutoa sifa za unafiki kwa Rais.
 
Back
Top Bottom