Hivi ni mimi ninayekula chakula kwa Speed au nyie Wenzangu mnawezaje kutumia nusu saa kwenye kula tu?

Mi ndo nasubiri kidogo kipoe, afu kasi ya kula hicho chakula najijua mwenyewe kuna mtu aliniuliza mbona unakula haraka hivyo? Jibu simple, yaani nitafute pesa kwa tabu hata kula tuu iwe kwa tabu na taratibu noo siwezi.
🤣🤣🤣 Hadi kula, tupungiwe
 
Mi ndo nasubiri kidogo kipoe, afu kasi ya kula hicho chakula najijua mwenyewe kuna mtu aliniuliza mbona unakula haraka hivyo? Jibu simple, yaani nitafute pesa kwa tabu hata kula tuu iwe kwa tabu na taratibu noo siwezi.
Sawa cha moto sana huwezi kula kipoe wastan ila kula haraka sana sio vizuri 😂😂😂
 
Kuna hasara za kutokutafuna vizuri, mi sili mda mrefu sana ila nahakikisha nakula kadri ya ratiba yangu. Kula ni ibada
 
mkuu Kwa utafunaji huo inawezekana kukawa na shida kwenye digestion system, naomba tusaidie uzito wako na hali ya kitamb
 
Kula ni ibada kutokana na mafundisho ila kichekesho ni kuwa nikila kwa haraka najua fika dakika kumi mbele nitakitapika chote .

Hii imenifanya niwe nakula taratibu na pia nisile kushiba sana
 
Mim bib yangu alikuwa akiniambia kula haraka chakula kitapoa kikose ladha,
Ila kuna watu nawafaham wanakula polepole mpaka chakula kinapoaaa wanakula wanapumzika [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] imagine mtu anakula halaf anapumzika
😅 kuna kula kushiba na kuna kula kumaliza, wewe ulifundishwa kula kumaliza kwa haraka kisipoe. Me nnakula speed ya kawaida ila kuna watu ukipiga tonge moja yeye kashaenda manne 😁 na bado hashibi
 
Itategemea nakula chakula gani, kama chakula nakipenda sana ni dk 0 kimeisha. Chakula kisichonivutia au kimepikwa hovyo hovyo hata saa zima litaisha na sijamaliza kula.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…