Hivi ni mimi ninayekula chakula kwa Speed au nyie Wenzangu mnawezaje kutumia nusu saa kwenye kula tu?

Mi soda huwa natumia sekunde 4-8
Huwa watu sioni radha nikinywa soda kwa kuremba remba
 
Hata mimi huwa nakereka niwapo meza moja na washkaji zangu jinsi wanavyopoteza muda katika makulaji mtu anakula dakika 20 nzima ni wastage of time bros
 
Wewe unayekula haraka mbona siyo bonge?!
Au wanga inayoingia tumboni kwako unaimalizia kwenye masihara?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyie watu mnachekeshaa mnoooo
 
Nakula haraka sana , na sijali wala nini . Jana mtu ananishangaa nakula chips za moto kabisa .
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mie nakula haraka, afu nakulaa sanaaa.
Nliwahi muaibisha mtu hotelini, eti ananikonyeza nibakizee,

nliropokaa kwa sauti "wee niache bhana mie nile, kwan buree si tunatoa hela" watu walichekaa hapoo

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wewe unayekula haraka mbona siyo bonge?!
Au wanga inayoingia tumboni kwako unaimalizia kwenye masihara?
Mimi ningekua Bonge mno, maana hata Asili yetu ni unene.

Sema masihara ndio yananinyima mwili

Wee upige bao 3 Kwa wiki Mara tatu mpaka 4,

Utanenepa???.

Mke wangu anajitahidi kunipikia haswaa ,sema masihara
 
nilienda kwa blaza wanae wakanipa ugali aisee dakika tano tuu mtoto anatoka anashangaa ule ugali haupoπŸ˜…πŸ˜…Hadi nikajistukia shemeji atanihisije Mana waondio kwanza walikuwa wanaendelea hata Kati hawajafika. I
 
Mimi ningekua Bonge mno, maana hata Asili yetu ni unene.

Sema masihara ndio yananinyima mwili

Wee upige bao 3 Kwa wiki Mara tatu mpaka 4,

Utanenepa???.

Mke wangu anajitahidi kunipikia haswaa ,sema masihara
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
nilienda kwa blaza wanae wakanipa ugali aisee dakika tano tuu mtoto anatoka anashangaa ule ugali haupoπŸ˜…πŸ˜…Hadi nikajistukia shemeji atanihisije Mana waondio kwanza walikuwa wanaendelea hata Kati hawajafika. I
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Ile unakuta uko kwa watu, chakula mmepakua wote alafu wewe ndo wa kwanza kumaliza hata huskii stori wanapiga.
Alafu unashtuka mmoja anakuambia, "nenda kaongeze..."[emoji23] Hii inanikuta sana na naona aibu kwelikweli.
 
Mimi huwa Nashangaa zile dakika 10 za Ma bus eti kuna watu huwa wanalalamika na kubeba chakula wanakula ndani ya bus...Kiukweli sijisikii huru kula ndani ya Bus na kunawa tishu....mimi zile dakika huwa nakula na nanawa nasubiri watu waanze kuingia kwenye BUS
 
Huyu ni Mimi sibakishi nikishiba nafunga na foil
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…