Hivi ni mimi tu naona kama miaka inakimbia sana(nyakati zinapita haraka sana)

You're spot on.
 
Time is slow when you wait
Time is fast when you're late
Time is deadly when you're sad
Time is short when you're happy
Time is endless when you're in pain
Time is long when you feel bored
Time is beautiful when you're in love
Everytime,Time is determined by your feelings and your physiological conditions and not by clocks.
 
Miaka inaenda resi sio uongo, kuna vidogo vya mtaani kwetu juzi tu hapa vilikuwa vinanipa shikamoo nashangaa sasa ghafla bin vuu vimekuwa vikubwa mpaka vingine shetani anataka aingilie kati aniforce nijipakulie minyama

Dah shetani apishilie mbali
 
Mkuu, natofautiana na wewe kidogo. Siyo dalili ya uzee wala kuzeeka bali ni dalili ya binadamu kujitambua, kukomaa na kumudu zaidi mazingira yake. This is Psychology 101.

Kwa mtoto, almost everything ni new, mysterious and darkly. Ndiyo maana mtoto mdogo anaweza ^kupotelea^ sebuleni nyumbani, lakini mtu mzima kimawazo yuko virtually kila mahali duniani, and relatively safe.
 
Ukiwa una tabia ya kuugawanya mwaka kulingana na jukumu fulani lazima iwe hivyo ,mfano mwez fulani mpka mwez fulani nitafanya jambo fulani, lazma tu uje kushtuka mda umekimbia ,zaman ulikua mtoto huna majukumu au ulikuwa hauna tabia ya kugawanya majukumu ndani ya mda ,mda mwingi ulikua unapoteza kwenye michezo ,ndio maana ulikua hauoni sku zinakimbia.
 
Majukumu yakiongezeka Hali hiyo lazima itokee
 
Hongera sana
 
2010 nilimzika baba yangu,kila nikilala usiku naota nafanya mitihani,mpaka sasa kila siku naona 2010 ni kama juzi
 
Mimi sasa ndo naiona miaka ni kama inakimbizwa. Ipo kasi sana
 
Ni kawaida ukianza kulipa bills zako mwenyew lazma uone muda unakimbia jarbu kumuulza mtoto wa darasa la 7 huu mwaka anauonaje asipokwambia n kama miaka miwil mana hata moko hawajafanya
 
Kwa kuongezea,time perception inatofautiana kulingana na umri.Kadri umri unavyosonga kelekea utu uzima ndivyo unavyoona muda unakimbia.Ukiwa na umri Mdogo unaona kuwa you have all the time.
 
Ni kwa sbb ya teknolojia..kila kitu kipo kiganjani..habari ya uchaguzi ya 2015 inaongelewa mpk leo kwenye mitandao ya kijamii unaweza google habari za zamani na kuhisi ni za jana tuu...hivyo kwny hisia kumbukumbuku zinaendelea kuwepo na ubongo unakua updated..vivyo hivyo taarifa ya mechi zipo na zipo reviewed kila mara sehemu mbalimbali...hivyo kupelekea ubongo kutofuta memory hizo kwa haraka na kuhisi ni jana tuu..n.k n.k n.k
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…