Hivi ni mimi tu naona kama miaka inakimbia sana(nyakati zinapita haraka sana)

Hivi ni mimi tu naona kama miaka inakimbia sana(nyakati zinapita haraka sana)

Yote ni dalili kuwa umekuwa mtu mzima, majukumu yanatufanya tunakuwa busy sana kiasi muda hautotoshi. Hii inatokea sana has ukiwa busy.
Ukiona hivyo ujue majuku yamekukaba ukistuka usingizini saa 9 usiku hiyo ndo imetoka
 
Kwa kuongezea,time perception inatofautiana kulingana na umri.Kadri umri unavyosonga kelekea utu uzima ndivyo unavyoona muda unakimbia.Ukiwa na umri Mdogo unaona kuwa you have all the time.
Sioni kama ni sahihi kusema kwamba kadiri umri unavyoenda. I would rather use the word relative perception.

Kwa kigezo cha umri per se, bila shaka kuna watu wenye umri mkubwa, lakini kwao ni kana kwamba muda umegandishwa kwa barafu la Antarctica -- it seems to not move at all.
 
Salamu wakuu, niende moja kwa moja kwenye maada.

Hii kitu huwa najiuliza sana. Hivi kwa nini nyakati zinakimbia sana, kwa mfano kutoka mwaka mmoja kwenda mwingine naona unaisha haraka sana, mwezi mmoja kwenda mwingine, vile vile wiki moja kwenda nyingine.

Hebu just imagine mtu kama Magufuli 2015 aligombea urais akashinda then akaongoza miaka mitano, then akagombea 2020 akashinda na akaongoza miaka miwili then akafariki. Sasa kinachonishangaza mimi toka hiyo 2015 mpaka leo it sounds like juzi tu. Ile moment ya uchaguzi wa CCM na ukawa kisaikolojia kwangu hainijii kichwani kama ni moment ya miaka nane iliyopita but inasound kama ni mwaka juzi flani hivi.

Halafu Kuna moment zingine huwa zinanifikirisha personally na kuona kama nyakati zinakimbia sana tofauti na fikra zangu, kwa mfano nikiwa nasoma Sekondari msimu wa 2003/2004 timu ya Arsenal ilibeba kombe la ligi kuu Uingereza. Hii moment naikumbuka sana kwa sababu Arsenal ni timu yangu pendwa. Kitu cha ajabu kwangu kichwa changu kinashindwa ku make sense kama ile 2003/2004 mpaka leo ni miaka ishirini imepita. Sometime huwa naona kama hii dunia ina short spani, imekuwaje miaka ishirini inasound muda mfupi kiasi hicho wakati miaka ishirini iliyopita kumbe ni kama juzi tu.

Hii sijajua kwa wengine lakini mimi binafsi nikilala usiku let say masaa 7 au 8. Nikishalala usingizi na kuamka asubuhi na feel kama nimelala masaa mawili, in short usiku pia naona kama unakua mfupi sana. Halafu pia hata mchana nikienda kazini, nikipiga mishe mishe na kufika jioni kurudi nyumbani na feel kama huko job sijakaa muda mrefu sana, in short nahisi kama siku pia inakua fupi sana....... Pia kutoka jumatatu mpaka ijumaa siku zinaenda kwa spidi, yaani jumatatu inaikamata ijumaa haraka sana. Halafu pia weekend (jumamos na jumapili) inaisha haraka pia. Hata weekend inaisha then kuikamata jumatatu kwenda ijumaa nayo inaisha haraka sana.

Wakuu hivi hili jambo ni kwa nini? Hivi ni mimi tu huwa nali observe hili jambo?
Hii ni dalili ya kukaribia siku ya qiyama kama alivyo sema mtume Muhammad (Rehma na amani ziwe juu yake)
images (11).jpeg
 
Salamu wakuu, niende moja kwa moja kwenye maada.

Hii kitu huwa najiuliza sana. Hivi kwa nini nyakati zinakimbia sana, kwa mfano kutoka mwaka mmoja kwenda mwingine naona unaisha haraka sana, mwezi mmoja kwenda mwingine, vile vile wiki moja kwenda nyingine.

Hebu just imagine mtu kama Magufuli 2015 aligombea urais akashinda then akaongoza miaka mitano, then akagombea 2020 akashinda na akaongoza miaka miwili then akafariki. Sasa kinachonishangaza mimi toka hiyo 2015 mpaka leo it sounds like juzi tu. Ile moment ya uchaguzi wa CCM na ukawa kisaikolojia kwangu hainijii kichwani kama ni moment ya miaka nane iliyopita but inasound kama ni mwaka juzi flani hivi.

Halafu Kuna moment zingine huwa zinanifikirisha personally na kuona kama nyakati zinakimbia sana tofauti na fikra zangu, kwa mfano nikiwa nasoma Sekondari msimu wa 2003/2004 timu ya Arsenal ilibeba kombe la ligi kuu Uingereza. Hii moment naikumbuka sana kwa sababu Arsenal ni timu yangu pendwa. Kitu cha ajabu kwangu kichwa changu kinashindwa ku make sense kama ile 2003/2004 mpaka leo ni miaka ishirini imepita. Sometime huwa naona kama hii dunia ina short spani, imekuwaje miaka ishirini inasound muda mfupi kiasi hicho wakati miaka ishirini iliyopita kumbe ni kama juzi tu.

Hii sijajua kwa wengine lakini mimi binafsi nikilala usiku let say masaa 7 au 8. Nikishalala usingizi na kuamka asubuhi na feel kama nimelala masaa mawili, in short usiku pia naona kama unakua mfupi sana. Halafu pia hata mchana nikienda kazini, nikipiga mishe mishe na kufika jioni kurudi nyumbani na feel kama huko job sijakaa muda mrefu sana, in short nahisi kama siku pia inakua fupi sana....... Pia kutoka jumatatu mpaka ijumaa siku zinaenda kwa spidi, yaani jumatatu inaikamata ijumaa haraka sana. Halafu pia weekend (jumamos na jumapili) inaisha haraka pia. Hata weekend inaisha then kuikamata jumatatu kwenda ijumaa nayo inaisha haraka sana.

Wakuu hivi hili jambo ni kwa nini? Hivi ni mimi tu huwa nali observe hili jambo?
Umefikisha miaka 30+, kama umefikisha huo umri basi lazima uone miaka inakmbia
 
Ni kweli japo kitaalam hii Mimi sijui sababu ni nini. Nyakati kwa sasa zinakimbia mno! Nikichoshangaa eti kitoto Cha kaka yangu kinaenda university wakati kimezaliwa 2004. Sasa najiuliza mbona 2004 ni juzijuzi tu?
 
Salamu wakuu, niende moja kwa moja kwenye maada.

Hii kitu huwa najiuliza sana. Hivi kwa nini nyakati zinakimbia sana, kwa mfano kutoka mwaka mmoja kwenda mwingine naona unaisha haraka sana, mwezi mmoja kwenda mwingine, vile vile wiki moja kwenda nyingine.

Hebu just imagine mtu kama Magufuli 2015 aligombea urais akashinda then akaongoza miaka mitano, then akagombea 2020 akashinda na akaongoza miaka miwili then akafariki. Sasa kinachonishangaza mimi toka hiyo 2015 mpaka leo it sounds like juzi tu. Ile moment ya uchaguzi wa CCM na ukawa kisaikolojia kwangu hainijii kichwani kama ni moment ya miaka nane iliyopita but inasound kama ni mwaka juzi flani hivi.

Halafu Kuna moment zingine huwa zinanifikirisha personally na kuona kama nyakati zinakimbia sana tofauti na fikra zangu, kwa mfano nikiwa nasoma Sekondari msimu wa 2003/2004 timu ya Arsenal ilibeba kombe la ligi kuu Uingereza. Hii moment naikumbuka sana kwa sababu Arsenal ni timu yangu pendwa. Kitu cha ajabu kwangu kichwa changu kinashindwa ku make sense kama ile 2003/2004 mpaka leo ni miaka ishirini imepita. Sometime huwa naona kama hii dunia ina short spani, imekuwaje miaka ishirini inasound muda mfupi kiasi hicho wakati miaka ishirini iliyopita kumbe ni kama juzi tu.

Hii sijajua kwa wengine lakini mimi binafsi nikilala usiku let say masaa 7 au 8. Nikishalala usingizi na kuamka asubuhi na feel kama nimelala masaa mawili, in short usiku pia naona kama unakua mfupi sana. Halafu pia hata mchana nikienda kazini, nikipiga mishe mishe na kufika jioni kurudi nyumbani na feel kama huko job sijakaa muda mrefu sana, in short nahisi kama siku pia inakua fupi sana....... Pia kutoka jumatatu mpaka ijumaa siku zinaenda kwa spidi, yaani jumatatu inaikamata ijumaa haraka sana. Halafu pia weekend (jumamos na jumapili) inaisha haraka pia. Hata weekend inaisha then kuikamata jumatatu kwenda ijumaa nayo inaisha haraka sana.

Wakuu hivi hili jambo ni kwa nini? Hivi ni mimi tu huwa nali observe hili jambo?
Na unaweza ukakuta wewe ni mimi, halafu mwenyewe wala hata haujui masikini!
 
Hii ni kweli kabisa. Mwaka 2016 kuna katoto la dadangu ndiyo kalikuwa kanaanza darasa la kwanza. Ile moment naiona kabisa. Leo yupo Form 1
 
Asilimia kubwa ya wanao experience hichi miaka kwenda taratibu ni wale ambao wapo under pressure na muda. Kwa mfano, wanafunzi, wanavyuo, wafungwa, n.k.

Ukiwa under pressure na muda lazima tu kuna tafsiri zitapelekwa kwenye ubongo, (wataalam wanafahamu) na kupelekea hiyo hali. Kwa mfano, ukiwa una safari unayoipenda sana, may be ndio mara ya kwanza kupanda ndege, utatamani pakuche lakini kila ukiamka utaona muda bado.

Kwa ufupi tu naona muda wa kueleza nakosa.
Hiyo imewakuta wengi mno nadhani Kuna nguvu flan behind (will and Time)
 
Many special events znaifanya akili itamani kwenda kwenye future from present time ,matokeo yake ni vice versa inafanya mda uapproach past na ndio maan Kuna event za miak ya nyuma ukizikumbuka unaona ni kama zmetokea jana
 
Back
Top Bottom