sarcomere1
JF-Expert Member
- Dec 11, 2018
- 304
- 579
Watu wanajitoa ufahamu na theory zao mara majukumu mara unazeeka ila wala haihitaji akili ya ziada au mtu akuelekeze,Kwakweli muda unakimbia kupita maelezo Hata kama ndo majukumu ila hapana muda unakimbia sana
Muda unaenda isivyo Kawaida, yaani ni mchaka mchaka,