6 Pack
JF-Expert Member
- Apr 17, 2022
- 2,819
- 5,996
- Thread starter
- #21
Hapo ndo wafrika tunapokwama.Mungu ni alfa na omega! Hapangiwi cha kufanya au namna ya kufanya. Wewe unataka kum-contain Mungu kuendana na matakwa yako? Huyo si Mungu.
Chochote tunachoambiwa na weupe tunakipokea vilevile kilivyoletwa bila kufanya utafiti wowote wa kueleweka.
Lakin story za aina hii wewe mwafrika au mtu mweusi usingeweza kuzipeleka huko Israel, Uingereza, Italy na kwengineko wakazikubali bila kuwaonesha fact wanayoweza kuiona kwa macho.
Wengine wanasema lugha ya Mungu ni moja tu Kiarabu, sasa unajiuliza hizi lugha nyingine zimekujaje kujaje na nani aliewapa watu uwezo wa kuongea lugha tofauti?
Hizi dini zilizoletwa hizi na weupe katika ukoloni.... 😷😷😷