Hivi ni nani aliekata mipaka ya nchi hizi?

Hivi ni nani aliekata mipaka ya nchi hizi?

Burundi ile mbona mchakato tayari ushafanyika kitambo enzi za Kikwete na Ngurunziza mwaka 2015, baada ya Ngurunziza kugundua kuwa kwa yeye peke yake hawezi kuitawala Burundi bila usimamizi wetu, na Rwanda nayo ni swala la muda tu itapofika kipindi ambacho Kagame atakuwa hawezi hata kusimama mwenyew ndo tutaingia kuichukua kiulaini bila hata gharama ya umwagaji wa damu.
Ni mwendo wa kurudisha ardhi zetu ktk himaya zetu kama anavyotaka kufanya China kwa taiwan Hongkong nk.
Hakuna ujinga huo..tuongeze watu 22m kwenye ardhi yetu!?
 
The one with power will conquer more land than the other.
 
Salam wana jamii,

Wakuu naomba mwenye ujuzi wa mambo ya mipaka ya nchi mbalimbali aje anipe muongozo wa vigezo vilivyotumika kuzipendelea baadhi ya nchi kwa kuzipa ardhi kubwa, na kuzikomoa zingine kwa kuzipa ardhi ndogo.

Ukiangalia namna nchi ya China ilivyopendelewa huku majirani zake Cambodia, Vietnam, Nepal nk wakipewa viji ardhi vidogo mno ambavyo vingine vinaonekana kama ni vichochoro tu vya kutokea Thailand kwenda China, hii inatafakarisha sana, na hapo bado China itadai baadhi ya nchi zingine hapo bembeni yake ni ardhi yake.

Nashindwa kujua ilikuaje kuaje nchi moja iwe na eneo kubwa hivyo huku majiran zake wakikosa hata sehem ya kulimia.

Hii ipo hata kwa nchi za mashariki ya kati. Ukiiangalia Saudia ukubwa wake unaweza kufikiri kuwa Israel ni moja ya kata yake maana hata wilaya au mkoa wa Saudia unaonekana ni mkubwa kwa ardhi ya Israel.
Tukija kwetu naziangalia Burundi na Rwanda ni kawa wilaya tu zilizopo ktk mikoa ya Kigoma na Kagera.
Ni nani aliegawa mipaka hii na kwanini alibagua hivi?

Kwa wale wasioona vizuri Map nawashauri wa zoom.


Ramani ya Tz ni kichwa cha mtu, ukiziondoa Burundi na Rwanda ramani hiyo inakuwa sawa na kichwa chenye kichogo kilichomegeka. Basi ili kichwa kikamilike inabidi Burundi na Rwanda ziwe integrated to Tz kama ilivyokuwa zama za ukoloni wa Ujerumani Deutch East Africa.
 
Burundi ile mbona mchakato tayari ushafanyika kitambo enzi za Kikwete na Ngurunziza mwaka 2015, baada ya Ngurunziza kugundua kuwa kwa yeye peke yake hawezi kuitawala Burundi bila usimamizi wetu, na Rwanda nayo ni swala la muda tu itapofika kipindi ambacho Kagame atakuwa hawezi hata kusimama mwenyew ndo tutaingia kuichukua kiulaini bila hata gharama ya umwagaji wa damu.
Ni mwendo wa kurudisha ardhi zetu ktk himaya zetu kama anavyotaka kufanya China kwa taiwan Hongkong nk.
Turudishe Germany east Africa
 
Tupanue mada,kwanini ukoo A uwe na wanukoo 29 na ukoo B unawanaukoo 229?

Kuna mambo yalizingatiwa,hata hivyo hayo mambo siyajui vizuri,wajuzi njooni mtusaidie.
Ulicholinganisha wala haviendani wingi wa watu kwenye ukoo unategemea na mnavyozaliana vilevile na afya ya wanaukoo.
 
Tupanue mada,kwanini ukoo A uwe na wanukoo 29 na ukoo B unawanaukoo 229?

Kuna mambo yalizingatiwa,hata hivyo hayo mambo siyajui vizuri,wajuzi njooni mtusaidie.
Ulicholinganisha wala haviendani wingi wa watu kwenye ukoo unategemea na mnavyozaliana vilevile na afya ya wanaukoo
 
Berlin conference 1884 wakoloni ndo walifanya partition ya mipaka chini ya Otto von Bismarck.
Kwahiyo wao ndio walioamua China iwe na ardhi kubwa kuliko wenzake, au Tanganyika (Tanzania bara) tuwe na ardhi kubwa kuliko wenzetu Rwanda na Burundi?
 
Nje ya mada naomba kujuzwa;
Mkuu hii ramani ni mpya au tangu zaman ilikuwa hvy?
Nilijua mpaka wa Tanzania na Malawi upo katikati ya ziwa Nyasa ila hapo naon ziwa lote lipo Malawi.
Au ule mgogoro wa ziwa umeipa ushindi Nyasaland kimyakimya?
Hahaha mkuu umeuliza swali zuri na la maana sana, maana hata mimi nilikuwa sijaliona hili la mpaka wa Tanzania - Malawi.
Acha tungoje wajuzi waje watuambie maana raman ni kama ya sasa.
 
Mipaka ya nchi inatokana na Berlin conference na tawala zakifalme za wakati huo Kama ottoman na China kulikuwa na tawala zake kwa mfano Taiwan ilitawaliwa na tawala ya kichina iliyo pinduliwa China na kukimbilia taiwan
Ok mkuu, kwahiyo ugawaji huu ulisababisha hata wagawaji wadhulumiane wenyewe kwa wenyew maana ukiangalia ukubwa wa Ufaransa ni tofauti na Ujerumani, ukubwa wa ujerumani ni tofauti na Belgium. So sijui ni kwann waliamua kufanya hivyo.
 
Si ndiyo yule anayeshirikiana na yesu kwenye uungu wake!?...yaani yeye na yesu ni kitu kilekile au huyu wa yakobo tofauti!?...Ibrahim ni muhamiaji pale panapoitwa Israel,Jericho watu wakiishi zaidi ya miaka elfu kumi iliyopita...
Inasemekana Ibrahim asili yake ni babylon ambayo sasa hivi inaitwa Iraq.
 
Hakuna ujinga huo..tuongeze watu 22m kwenye ardhi yetu!?
Tukirudisha ardhi yetu faida itakuwa nyingi kuliko hasara. Manake wahutu wa burundi wana nguvu sana so tutawatumia kwenye kilimo, huku watutsi walio wengi rwanda tutawatumia kwenye jeshi letu la polisi make mtu mrefu kumkimbia ni vigumu sana. Wewe ukipiga hatua 10 ya kwake 1 tu ashakushika.
 
Back
Top Bottom