Hivi ni nani aliekata mipaka ya nchi hizi?

Hivi ni nani aliekata mipaka ya nchi hizi?

Mjerumani alijimegea bongo, rwanda na burundi. Sasa kwanini bongo ikawa kubwa ki mipaka na zingine zikawa finyu? Kwanini zisingekuwa mikoa yetu tuwatawale? Kwanini zipewe hadhi ya kuwa nchi kisha kigoma inayofanana nazo inyimwe hadhi hiyo?
Kama Rwanda na Burundi zingekuwa mikoa yetu, basi Kagame angekuwa ni mmoja kati ya wakuu wa mikoa wa mwanzo mwanzo kutumbuliwa na uongozi wa jiwe 😂😂😂 maana wangepishana kwenye mitazamo fulan fulan ya kiuongozi.
 
Inatubidi tuifamie burund na Rwanda yawe mikoa yetu miliki ya Tanzania ifanyike hvyo

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Burundi ile mbona mchakato tayari ushafanyika kitambo enzi za Kikwete na Ngurunziza mwaka 2015, baada ya Ngurunziza kugundua kuwa kwa yeye peke yake hawezi kuitawala Burundi bila usimamizi wetu, na Rwanda nayo ni swala la muda tu itapofika kipindi ambacho Kagame atakuwa hawezi hata kusimama mwenyew ndo tutaingia kuichukua kiulaini bila hata gharama ya umwagaji wa damu.
Ni mwendo wa kurudisha ardhi zetu ktk himaya zetu kama anavyotaka kufanya China kwa taiwan Hongkong nk.
 
... Israel ni special case; mipaka yake iko kwenye makabati ya Mbinguni.

Hizo nyingine ilitokana na survival for the fittest. Tawala zilizokuwa na nguvu ziliweza kutwaa ardhi kubwa na zile nyonge ndio hivyo tena. Mfano ni wewe mwenyewe; una eka ngapi za ardhi? Inawezekana hata kiwanja huna ila kuna watu wana eka kwa eka za ardhi.
Mbinguni nako kuna ubaguzi?
 
Berlin conference 1884 wakoloni ndo walifanya partition ya mipaka chini ya Otto von Bismarck.
 
Salam wana jamii,

Wakuu naomba mwenye ujuzi wa mambo ya mipaka ya nchi mbalimbali aje anipe muongozo wa vigezo vilivyotumika kuzipendelea baadhi ya nchi kwa kuzipa ardhi kubwa, na kuzikomoa zingine kwa kuzipa ardhi ndogo.

Ukiangalia namna nchi ya China ilivyopendelewa huku majirani zake Cambodia, Vietnam, Nepal nk wakipewa viji ardhi vidogo mno ambavyo vingine vinaonekana kama ni vichochoro tu vya kutokea Thailand kwenda China, hii inatafakarisha sana, na hapo bado China itadai baadhi ya nchi zingine hapo bembeni yake ni ardhi yake.

Nashindwa kujua ilikuaje kuaje nchi moja iwe na eneo kubwa hivyo huku majiran zake wakikosa hata sehem ya kulimia.

Hii ipo hata kwa nchi za mashariki ya kati. Ukiiangalia Saudia ukubwa wake unaweza kufikiri kuwa Israel ni moja ya kata yake maana hata wilaya au mkoa wa Saudia unaonekana ni mkubwa kwa ardhi ya Israel.
Tukija kwetu naziangalia Burundi na Rwanda ni kawa wilaya tu zilizopo ktk mikoa ya Kigoma na Kagera.
Ni nani aliegawa mipaka hii na kwanini alibagua hivi?

Kwa wale wasioona vizuri Map nawashauri wa zoom.
Nje ya mada naomba kujuzwa;
Mkuu hii ramani ni mpya au tangu zaman ilikuwa hvy?
Nilijua mpaka wa Tanzania na Malawi upo katikati ya ziwa Nyasa ila hapo naon ziwa lote lipo Malawi.
Au ule mgogoro wa ziwa umeipa ushindi Nyasaland kimyakimya?
 
Mipaka ya nchi inatokana na Berlin conference na tawala zakifalme za wakati huo Kama ottoman na China kulikuwa na tawala zake kwa mfano Taiwan ilitawaliwa na tawala ya kichina iliyo pinduliwa China na kukimbilia taiwan
 
Africa tuligawanywa rasmi na mabeberu kwenye mkutano wa Otto Von Bismarck kule Berlin mwaka 1884/1885.
... Israel ni special case; mipaka yake iko kwenye makabati ya Mbinguni.

Hizo nyingine ilitokana na survival for the fittest. Tawala zilizokuwa na nguvu ziliweza kutwaa ardhi kubwa na zile nyonge ndio hivyo tena. Mfano ni wewe mwenyewe; una eka ngapi za ardhi? Inawezekana hata kiwanja huna ila kuna watu wana eka kwa eka za ardhi.
 
Sio watawala tu, ni pamoja na raia waliokubalina kuwa wao ni taifa moja na wakalazimisha wengine kuwa sehemu za mataifa yao.

Kwa Africa ukiacha Ethiopia, Misri na kwa sehemu Tanzania mabeberu ndio waliotugawa kwenye hii mipaka ya mataifa ya kileo.
Kumbe ni watawala wenyewe ndio waliotengeneza kitu kinachoitwa nchi na mipaka yake. So mabeberu waliotugawa kama tulivyoaminishwa?
 
Uganda na Kenya zilikuwa mali ya (IBEACo)- Imperial British East Africa Company kabla ya kupewa kwa Himaya ya Uingereza na kugawanya mwaka 1894 na utawala wa Kingereza ili kufanya urahisi katika kutawala.

Kwenye kugawanya walikuwa wanaangalia zaidi jamii zinazoweza kuwekwa pamoja zikaishi kwa utulivu bila kuvurugana sana.
Cha kushangaza Uganda na Kenya zilikuwa chini ya Muingereza, lkn ardhi ya Kenya ni kubwa kuliko ya Uganda.

Zambia, Zimbabwe na Malawi pia zilikuwa chini ya Muingereza, lkn ardhi zao pia zinatofautiana ukubwa. Sasa unajiuliza kama mtawala wa eneo alikuwa mmoja ilikuaje ukataji wa mipaka ya ardhi uwe tofauti?
 
Mungu ni wa kila kiumbe mkuu sio wa Yakobo peke yake. Acha kuamini mambo yaliotengenezwa na watu fulan ili ije kuonekana kama wao ndio walikuwa na hakimiliki ya Mungu na wengine eti hawana.

Kama Mungu ni wa Yakobo vipi kuhusu wewe, mimi, babu zako na zangu waliumbwa na Mungu gani? Pia Mungu kama ni wa Yakobo vipi kuhusu binadam wa kwanza kuumbwa kabla ya Yakobo yeye aliumbwa na Mungu gani?
Ni kwanini Mungu awe wa Yakobo na sio wa Adamu, wewe au mimi?
big up sana,uyo jamaa anahisi anamjua sana Mungu wake,kumbe bado ajapata elimu ya kutosha kumjua uyo Mungu wake anamuamini.
 
Kurahisisha utawala wakoloni walizingatia pia mila na desturi mahalia. Walijua waki-group chiefdoms walizozikuta katika makundi fulani (Kenya vs Uganda; Zambia vs Malawi vs Zimbabwe vs Botswana) utawala kwao ungekuwa rahisi among other key factors.

Kutawala kutokea London na bado order ikaweza kufika makoloni yote duniani hadi India na Pakistan ilihitaji akili kubwa!

Ukipewa umonitor wa darasa unaweza kukushinda sembuse kutawala ma-bushmen yasiyo na akili!
[emoji1787][emoji1787]
Wote hatukuwa ma-Bushmen mkuu, kulikuwa na Mwenemutapa Empire wahunzi wa shaba na wafanyabiashara wa dhahabu, kulikuwa na Soghai Empire wanafanya biashara kubwa ya dhabu, Mali Empire
 
Hazikumegwa zote kwa pamoja kwa wakati mmoja, pia Wanajeshi waliohusika kumega sehemu walikuwa wanafanywa watawala wa hayo maeneo kwa muda kabla ya kusimika utawala wa kiraia.
Mjerumani alijimegea bongo, rwanda na burundi. Sasa kwanini bongo ikawa kubwa ki mipaka na zingine zikawa finyu? Kwanini zisingekuwa mikoa yetu tuwatawale? Kwanini zipewe hadhi ya kuwa nchi kisha kigoma inayofanana nazo inyimwe hadhi hiyo?
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kama Rwanda na Burundi zingekuwa mikoa yetu, basi Kagame angekuwa ni mmoja kati ya wakuu wa mikoa wa mwanzo mwanzo kutumbuliwa na uongozi wa jiwe [emoji23][emoji23][emoji23] maana wangepishana kwenye mitazamo fulan fulan ya kiuongozi.
 
Hizo sio story kaka. Mungu wa Yakobo ndiye Mungu.
Si ndiyo yule anayeshirikiana na yesu kwenye uungu wake!?...yaani yeye na yesu ni kitu kilekile au huyu wa yakobo tofauti!?...Ibrahim ni muhamiaji pale panapoitwa Israel,Jericho watu wakiishi zaidi ya miaka elfu kumi iliyopita...
 
Si ndiyo yule anayeshirikiana na yesu kwenye uungu wake!?...yaani yeye na yesu ni kitu kilekile au huyu wa yakobo tofauti!?...Ibrahim ni muhamiaji pale panapoitwa Israel,Jericho watu wakiishi zaidi ya miaka elfu kumi iliyopita...
... uko sahihi; ndio huyo huyo.
 
Back
Top Bottom