Kama Rwanda na Burundi zingekuwa mikoa yetu, basi Kagame angekuwa ni mmoja kati ya wakuu wa mikoa wa mwanzo mwanzo kutumbuliwa na uongozi wa jiwe 😂😂😂 maana wangepishana kwenye mitazamo fulan fulan ya kiuongozi.Mjerumani alijimegea bongo, rwanda na burundi. Sasa kwanini bongo ikawa kubwa ki mipaka na zingine zikawa finyu? Kwanini zisingekuwa mikoa yetu tuwatawale? Kwanini zipewe hadhi ya kuwa nchi kisha kigoma inayofanana nazo inyimwe hadhi hiyo?
Burundi ile mbona mchakato tayari ushafanyika kitambo enzi za Kikwete na Ngurunziza mwaka 2015, baada ya Ngurunziza kugundua kuwa kwa yeye peke yake hawezi kuitawala Burundi bila usimamizi wetu, na Rwanda nayo ni swala la muda tu itapofika kipindi ambacho Kagame atakuwa hawezi hata kusimama mwenyew ndo tutaingia kuichukua kiulaini bila hata gharama ya umwagaji wa damu.Inatubidi tuifamie burund na Rwanda yawe mikoa yetu miliki ya Tanzania ifanyike hvyo
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Mbinguni nako kuna ubaguzi?... Israel ni special case; mipaka yake iko kwenye makabati ya Mbinguni.
Hizo nyingine ilitokana na survival for the fittest. Tawala zilizokuwa na nguvu ziliweza kutwaa ardhi kubwa na zile nyonge ndio hivyo tena. Mfano ni wewe mwenyewe; una eka ngapi za ardhi? Inawezekana hata kiwanja huna ila kuna watu wana eka kwa eka za ardhi.
Nje ya mada naomba kujuzwa;Salam wana jamii,
Wakuu naomba mwenye ujuzi wa mambo ya mipaka ya nchi mbalimbali aje anipe muongozo wa vigezo vilivyotumika kuzipendelea baadhi ya nchi kwa kuzipa ardhi kubwa, na kuzikomoa zingine kwa kuzipa ardhi ndogo.
Ukiangalia namna nchi ya China ilivyopendelewa huku majirani zake Cambodia, Vietnam, Nepal nk wakipewa viji ardhi vidogo mno ambavyo vingine vinaonekana kama ni vichochoro tu vya kutokea Thailand kwenda China, hii inatafakarisha sana, na hapo bado China itadai baadhi ya nchi zingine hapo bembeni yake ni ardhi yake.
Nashindwa kujua ilikuaje kuaje nchi moja iwe na eneo kubwa hivyo huku majiran zake wakikosa hata sehem ya kulimia.
Hii ipo hata kwa nchi za mashariki ya kati. Ukiiangalia Saudia ukubwa wake unaweza kufikiri kuwa Israel ni moja ya kata yake maana hata wilaya au mkoa wa Saudia unaonekana ni mkubwa kwa ardhi ya Israel.
Tukija kwetu naziangalia Burundi na Rwanda ni kawa wilaya tu zilizopo ktk mikoa ya Kigoma na Kagera.
Ni nani aliegawa mipaka hii na kwanini alibagua hivi?
Kwa wale wasioona vizuri Map nawashauri wa zoom.
... Israel ni special case; mipaka yake iko kwenye makabati ya Mbinguni.
Hizo nyingine ilitokana na survival for the fittest. Tawala zilizokuwa na nguvu ziliweza kutwaa ardhi kubwa na zile nyonge ndio hivyo tena. Mfano ni wewe mwenyewe; una eka ngapi za ardhi? Inawezekana hata kiwanja huna ila kuna watu wana eka kwa eka za ardhi.
Kumbe ni watawala wenyewe ndio waliotengeneza kitu kinachoitwa nchi na mipaka yake. So mabeberu waliotugawa kama tulivyoaminishwa?
Mipaka ilikatwa kutokana na asili ya watu wanaoishi eneo fulani
Lugha
Muingiliano
UMOJA wao
Cha kushangaza Uganda na Kenya zilikuwa chini ya Muingereza, lkn ardhi ya Kenya ni kubwa kuliko ya Uganda.
Zambia, Zimbabwe na Malawi pia zilikuwa chini ya Muingereza, lkn ardhi zao pia zinatofautiana ukubwa. Sasa unajiuliza kama mtawala wa eneo alikuwa mmoja ilikuaje ukataji wa mipaka ya ardhi uwe tofauti?
big up sana,uyo jamaa anahisi anamjua sana Mungu wake,kumbe bado ajapata elimu ya kutosha kumjua uyo Mungu wake anamuamini.Mungu ni wa kila kiumbe mkuu sio wa Yakobo peke yake. Acha kuamini mambo yaliotengenezwa na watu fulan ili ije kuonekana kama wao ndio walikuwa na hakimiliki ya Mungu na wengine eti hawana.
Kama Mungu ni wa Yakobo vipi kuhusu wewe, mimi, babu zako na zangu waliumbwa na Mungu gani? Pia Mungu kama ni wa Yakobo vipi kuhusu binadam wa kwanza kuumbwa kabla ya Yakobo yeye aliumbwa na Mungu gani?
Ni kwanini Mungu awe wa Yakobo na sio wa Adamu, wewe au mimi?
[emoji1787][emoji1787]Kurahisisha utawala wakoloni walizingatia pia mila na desturi mahalia. Walijua waki-group chiefdoms walizozikuta katika makundi fulani (Kenya vs Uganda; Zambia vs Malawi vs Zimbabwe vs Botswana) utawala kwao ungekuwa rahisi among other key factors.
Kutawala kutokea London na bado order ikaweza kufika makoloni yote duniani hadi India na Pakistan ilihitaji akili kubwa!
Ukipewa umonitor wa darasa unaweza kukushinda sembuse kutawala ma-bushmen yasiyo na akili!
Mjerumani alijimegea bongo, rwanda na burundi. Sasa kwanini bongo ikawa kubwa ki mipaka na zingine zikawa finyu? Kwanini zisingekuwa mikoa yetu tuwatawale? Kwanini zipewe hadhi ya kuwa nchi kisha kigoma inayofanana nazo inyimwe hadhi hiyo?
Kama Rwanda na Burundi zingekuwa mikoa yetu, basi Kagame angekuwa ni mmoja kati ya wakuu wa mikoa wa mwanzo mwanzo kutumbuliwa na uongozi wa jiwe [emoji23][emoji23][emoji23] maana wangepishana kwenye mitazamo fulan fulan ya kiuongozi.
Kulikua na haja ya kumtukana ndugu yangu?Muone huyu
Mungu yupi? Yuda
Mbinguni kwa wanywa pombe? Au kwa mbinguni kwa lesbian? Mshamba we
Afrika mipaka ilikuwepo kabla Berlin...wanyamwezi walikua na mipaka yao,wahehe nkKwa Afrika mambo ya mipaka yalianzia miaka ya 1880 kwenye mkutano wa Berlin. Hstoria inasema hivyo.
Kulikua na haja ya kumtukana ndugu yangu?Muone huyu
Mungu yupi? Yuda
Mbinguni kwa wanywa pombe? Au kwa mbinguni kwa lesbian? Mshamba we
Si ndiyo yule anayeshirikiana na yesu kwenye uungu wake!?...yaani yeye na yesu ni kitu kilekile au huyu wa yakobo tofauti!?...Ibrahim ni muhamiaji pale panapoitwa Israel,Jericho watu wakiishi zaidi ya miaka elfu kumi iliyopita...Hizo sio story kaka. Mungu wa Yakobo ndiye Mungu.
... uko sahihi; ndio huyo huyo.Si ndiyo yule anayeshirikiana na yesu kwenye uungu wake!?...yaani yeye na yesu ni kitu kilekile au huyu wa yakobo tofauti!?...Ibrahim ni muhamiaji pale panapoitwa Israel,Jericho watu wakiishi zaidi ya miaka elfu kumi iliyopita...