inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Hakuna ujinga huo..tuongeze watu 22m kwenye ardhi yetu!?Burundi ile mbona mchakato tayari ushafanyika kitambo enzi za Kikwete na Ngurunziza mwaka 2015, baada ya Ngurunziza kugundua kuwa kwa yeye peke yake hawezi kuitawala Burundi bila usimamizi wetu, na Rwanda nayo ni swala la muda tu itapofika kipindi ambacho Kagame atakuwa hawezi hata kusimama mwenyew ndo tutaingia kuichukua kiulaini bila hata gharama ya umwagaji wa damu.
Ni mwendo wa kurudisha ardhi zetu ktk himaya zetu kama anavyotaka kufanya China kwa taiwan Hongkong nk.
Hahahaa mungu huyo kavu...haeleweki uungu wake... uko sahihi; ndio huyo huyo.
Nimechekaaa bureeeKama Rwanda na Burundi zingekuwa mikoa yetu, basi Kagame angekuwa ni mmoja kati ya wakuu wa mikoa wa mwanzo mwanzo kutumbuliwa na uongozi wa jiwe [emoji23][emoji23][emoji23] maana wangepishana kwenye mitazamo fulan fulan ya kiuongozi.
... huwezi elewa kitu wewe.Hahahaa mungu huyo kavu...haeleweki uungu wake
Kwa kuwa Mimi mbuzi...sawa!... huwezi elewa kitu wewe.
... kimtokacho mtu kinywani ndicho kimjaacho moyoni!Kwa kuwa Mimi mbuzi...sawa!
Sasa nitaelewaje mbuzi mie!... kimtokacho mtu kinywani ndicho kimjaacho moyoni!
Salam wana jamii,
Wakuu naomba mwenye ujuzi wa mambo ya mipaka ya nchi mbalimbali aje anipe muongozo wa vigezo vilivyotumika kuzipendelea baadhi ya nchi kwa kuzipa ardhi kubwa, na kuzikomoa zingine kwa kuzipa ardhi ndogo.
Ukiangalia namna nchi ya China ilivyopendelewa huku majirani zake Cambodia, Vietnam, Nepal nk wakipewa viji ardhi vidogo mno ambavyo vingine vinaonekana kama ni vichochoro tu vya kutokea Thailand kwenda China, hii inatafakarisha sana, na hapo bado China itadai baadhi ya nchi zingine hapo bembeni yake ni ardhi yake.
Nashindwa kujua ilikuaje kuaje nchi moja iwe na eneo kubwa hivyo huku majiran zake wakikosa hata sehem ya kulimia.
Hii ipo hata kwa nchi za mashariki ya kati. Ukiiangalia Saudia ukubwa wake unaweza kufikiri kuwa Israel ni moja ya kata yake maana hata wilaya au mkoa wa Saudia unaonekana ni mkubwa kwa ardhi ya Israel.
Tukija kwetu naziangalia Burundi na Rwanda ni kawa wilaya tu zilizopo ktk mikoa ya Kigoma na Kagera.
Ni nani aliegawa mipaka hii na kwanini alibagua hivi?
Kwa wale wasioona vizuri Map nawashauri wa zoom.
Turudishe Germany east AfricaBurundi ile mbona mchakato tayari ushafanyika kitambo enzi za Kikwete na Ngurunziza mwaka 2015, baada ya Ngurunziza kugundua kuwa kwa yeye peke yake hawezi kuitawala Burundi bila usimamizi wetu, na Rwanda nayo ni swala la muda tu itapofika kipindi ambacho Kagame atakuwa hawezi hata kusimama mwenyew ndo tutaingia kuichukua kiulaini bila hata gharama ya umwagaji wa damu.
Ni mwendo wa kurudisha ardhi zetu ktk himaya zetu kama anavyotaka kufanya China kwa taiwan Hongkong nk.
Ulicholinganisha wala haviendani wingi wa watu kwenye ukoo unategemea na mnavyozaliana vilevile na afya ya wanaukoo.Tupanue mada,kwanini ukoo A uwe na wanukoo 29 na ukoo B unawanaukoo 229?
Kuna mambo yalizingatiwa,hata hivyo hayo mambo siyajui vizuri,wajuzi njooni mtusaidie.
Ulicholinganisha wala haviendani wingi wa watu kwenye ukoo unategemea na mnavyozaliana vilevile na afya ya wanaukooTupanue mada,kwanini ukoo A uwe na wanukoo 29 na ukoo B unawanaukoo 229?
Kuna mambo yalizingatiwa,hata hivyo hayo mambo siyajui vizuri,wajuzi njooni mtusaidie.
Kwahiyo wao ndio walioamua China iwe na ardhi kubwa kuliko wenzake, au Tanganyika (Tanzania bara) tuwe na ardhi kubwa kuliko wenzetu Rwanda na Burundi?Berlin conference 1884 wakoloni ndo walifanya partition ya mipaka chini ya Otto von Bismarck.
Hahaha mkuu umeuliza swali zuri na la maana sana, maana hata mimi nilikuwa sijaliona hili la mpaka wa Tanzania - Malawi.Nje ya mada naomba kujuzwa;
Mkuu hii ramani ni mpya au tangu zaman ilikuwa hvy?
Nilijua mpaka wa Tanzania na Malawi upo katikati ya ziwa Nyasa ila hapo naon ziwa lote lipo Malawi.
Au ule mgogoro wa ziwa umeipa ushindi Nyasaland kimyakimya?
Ok mkuu, kwahiyo ugawaji huu ulisababisha hata wagawaji wadhulumiane wenyewe kwa wenyew maana ukiangalia ukubwa wa Ufaransa ni tofauti na Ujerumani, ukubwa wa ujerumani ni tofauti na Belgium. So sijui ni kwann waliamua kufanya hivyo.Mipaka ya nchi inatokana na Berlin conference na tawala zakifalme za wakati huo Kama ottoman na China kulikuwa na tawala zake kwa mfano Taiwan ilitawaliwa na tawala ya kichina iliyo pinduliwa China na kukimbilia taiwan
Inasemekana Ibrahim asili yake ni babylon ambayo sasa hivi inaitwa Iraq.Si ndiyo yule anayeshirikiana na yesu kwenye uungu wake!?...yaani yeye na yesu ni kitu kilekile au huyu wa yakobo tofauti!?...Ibrahim ni muhamiaji pale panapoitwa Israel,Jericho watu wakiishi zaidi ya miaka elfu kumi iliyopita...
Tukirudisha ardhi yetu faida itakuwa nyingi kuliko hasara. Manake wahutu wa burundi wana nguvu sana so tutawatumia kwenye kilimo, huku watutsi walio wengi rwanda tutawatumia kwenye jeshi letu la polisi make mtu mrefu kumkimbia ni vigumu sana. Wewe ukipiga hatua 10 ya kwake 1 tu ashakushika.Hakuna ujinga huo..tuongeze watu 22m kwenye ardhi yetu!?