Hivi ni nani aliekata mipaka ya nchi hizi?

Dah mdogo wangu hesabu gani hzo
 
Yeah,Ibrahim mwarabu Kama sadam Hussein tu
Hilo linafahamika, so inashangaza mtu kuja kusema kuwa Mungu ataweka mipaka kweny ardhi ya wajukuu zake na Ibrahim na kuachana kuweka kwenye ardhi aliyozaliwa na kukulia Ibrahim mwenyew.
 
Africa iligawanywa na mkutano wa Berlin empire
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…