Metronidazole 400mg
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 941
- 2,062
- Thread starter
-
- #101
Hukutoa machozi mkuu??Kuna wakati mtoto wa kitanga aliifinyia kwa ndani hapo same hapo nikiwa kikazi. Aaaah nilipiga kelele ya kufa mtu, saa kumi na Moja asubuhi...
Unalipaje vizuri TU Haina tabu. Mapenzi ni kufurahi...
Badala ya kuwa bize na kazi iliyokupeleka wewe ukawa bize kufinyiwa kwa ndani? Jinga kabisa ndiyo maana nchi imebaki palepale tu ilipoachwa na MagufuliKuna wakati mtoto wa kitanga aliifinyia kwa ndani hapo same hapo nikiwa kikazi. Aaaah nilipiga kelele ya kufa mtu, saa kumi na Moja asubuhi...
Unalipaje vizuri TU Haina tabu. Mapenzi ni kufurahi...
Ni Pm mambo madogo hayooOnhoo,,wacha nkufungulie uje na pampas za mtoto basπ₯²
Machozi TU. Na nilienda kulala kwake kwahiyo Mimi nikaondoka mapema... Nikiacha msala nyuma kwa wapangaji wenzie kuwa nani alipiga keleleπ€£π€£π€£π€£Hukutoa machozi mkuu??
Manabii wenyewe walifanya mapenzi na kazi ya Mungu.... Hiyo ni mojawapo ya starehe ya binaadamu.Badala ya kuwa bize na kazi iliyokupeleka wewe ukawa bize kufinyiwa kwa ndani? Jinga kabisa ndiyo maana nchi imebaki palepale tu ilipoachwa na Magufuli
πππ Bila shaka huyo kakuteka akili roho na nafsi, utachomoka kweli hapoMachozi TU. Na nilienda kulala kwake kwahiyo Mimi nikaondoka mapema... Nikiacha msala nyuma kwa wapangaji wenzie kuwa nani alipiga keleleπ€£π€£π€£π€£
HahahHuenda yeye ndiye anayetafunwa...
namna unavocontrol game!,mwanaume ni commanding tool mkuu kulialia huwa inaleta taswira tofaut ya kukosa mamlaka wakat wa tendo!obheja nkwela!Hahahaha director yupi hascana au??
Huoni Kuna mwanawake humu wanatetea hoja kuwa, Boy wake anayemtafuna akipiga makelele yeye ndio inamwamasisha na kukata mauno....wapi ni wapi??namna unavocontrol game!,mwanaume ni commanding tool mkuu kulialia huwa inaleta taswira tofaut ya kukosa mamlaka wakat wa tendo!obheja nkwela!
Afu nzuri sana yaanTatizo liko wapi mwanaume akigugumia kwa furaha ?
amin amin nakuambia,mwanaume ampgae kelele wakat wa tendo yu hana mamlaka,mwenye sikio na asikie neno hiliHuoni Kuna mwanawake humu wanatetea hoja kuwa, Boy wake anayemtafuna akipiga makelele yeye ndio inamwamasisha na kukata mauno....wapi ni wapi??
Inawezekana mkuuMababu zetu walifanya kimya kimya, ina maana siku hizi utamu umeongezeka?
madame,plz le'me know how inakua nzuri dume kupga makelele
Harusi iko lini vile? π€£Yaani nilikuwa nasinzia ila baada ya kusoma hii comment na kuanza kucheka usingizi wote umekata.
Nimecheka kama tumbili anayekula mahindi shambani πππππππ
Nyani Ngabu
Siku yako ya hanemuni upige ukelele baada ya kushusha mzigo wa kisukuma π€£π€£π€£π€£πββοΈπββοΈπββοΈπββοΈπββοΈπββοΈπββοΈπββοΈ