kiukweli hapo hata akiwa wa dini yoyote yule sio ustaarabu.
binafsi huwa nna waza sana......
kabla ya hawa wenzetu kutuletea hizi dini ,tulikua na dini (Imani) zetu za kimila na mambo yalikua yanaenda.......
wakaja hawa wenzetu kutuletea za kwao ,tukaacha za mababu zetu huko japo hawa wenzetu ni wajanja wajanja sana....waarabu Kwa wamisionari
walikua na mambo yao waloyaficha nyuma ya pazia sio hivi hivi ...
Tukaacha dini za mababu zetu na saivi tumekua "wakereketwa" kuliko hata walotuletea hiyo dini yenyewe.....tupo radhi kuuwana kisa dini za mapokezi ..
Ukereketwa huu umefikia hatua ya kupelekeshana , kutishiana ooh usipofanya hiki cjui mara kile utafikwa cjui na nn , mara toa hiki upate kile .......kufokeana, kuogopeshana nikae natetemeka, sadaka mda mwingine Ka lazima, unaenda nyumba ya ibada ukitaka kutoka linapigwa biti Ka cjui nn .....aisee sipendi