Hivi Nyerere aliwahi kugombana na Kanisa Katoliki au Protestanti?

Hivi Nyerere aliwahi kugombana na Kanisa Katoliki au Protestanti?

Johnny Sack

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2017
Posts
8,984
Reaction score
19,288
Wakuu kwema,

Tunajua historia ya Tanzania, Mwalimu Nyerere aliwahi kuingia katika mgogoro au vita na iliyokuwa jumuiya ya Waislamu (East Afric Muslims Welfare Society) ambayo mgogoro huo ulipelekea jumuiya hiyo kufutwa na BAKWATA kuzaliwa

Napenda kuuliza kuwa kama aliwahi kuwa na mgogoro na Kanisa Katoliki au Waprotestanti hata kama haukuwa mkubwa kama ule wa Waislamu

Tunafahamu Magufuli aliwahi kugombana na Kanisa Katoliki na Lutheran kufuatia makanisa hayo kutoa nyaraka za kulaani watu kutekwa, na pia kuhusu alivyoshughulikia ugonjwa wa Covid-19.

Mohamed Said
 
Kabisa namuombea mungu aendelee kumfanya kuni za motoni!kafiri mkubwa yule
MUNGU ni Muweza wa yote Kwahiyo Hana sababu ya kujaza rundo la Kuni ili apate moto.
Na isitoshe hakuna mtu anayejua kwa usahihi maisha ya mtu aliyekufa huko aliko(peponi) yapoje.
Mawazo yako ni matokeo ya Imani uliyofunzwa. Na Imani hiyo ukiichunguza kwa undani utagundua kuwa Kuna baadhi ya mafundisho Yana maswali mengi kuliko majibu.( Mfano: kusema kuwa Musa aliyekuwepo kabla ya YESU alikuwa muislamu, wakati uislamu ulianzishwa mwaka 622 AD( baada ya YESU) , au peponi utapewa wanawake 72, na wakati mwili wa kulala na wanawake umezikwa ardhini na iliyokwenda peponi ni roho ambayo haina jinsi).
 
Wakuu kwema
Tunajua historia ya Tanzania, Mwalimu Nyerere aliwahi kuingia katika mgogoro au vita na iliyokuwa jumuiya ya Waislamu (Tanzania Muslims Welfare Society) ambayo mgogoro huo ulipelekea jumuiya hiyo kufutwa na BAKWATA kuzaliwa

Napenda kuuliza kuwa kama aliwahi kuwa na mgogoro na Kanisa Katoliki au Waprotestanti hata kama haukuwa mkubwa kama ule wa Waislamu

Tunafahamu Magufuli aliwahi kugombana na Kanisa Katoliki na Lutheran kufuatia makanisa hayo kutoa nyaraka za kulaani watu kutekwa, na pia kuhusu alivyoshughulikia ugonjwa wa Covid

Mohamed Said
Alitaifisha mali za kanisa kibao ikiwemo.mashule.na hospitali ili zitumiwe na watu wote na nado serikali ikashindwa kuziendeleza
 
Shule za kanisa hazikujengwa kwa Kodi za wananchi bali ni Kodi na michango ya wazungu wa wakati huo.
Hizo propaganda ndio zinawafanya mchapwe fimbo ili msamehewe dhambi, mfunge hadi mfe

Mzungu bepari akusanye fedha aje akujengee wewe shule

hadi umri huu bado hujui kuwa kina nani ni moja ya Mawakala wa wakoloni ? Agent of colonialism ?

inamaana hujui kuwa dini ilikuwa kilainishi ( KY) ya kuingiza ( kupenyeza )Ukoloni Barani Africa?
 
Rasilimali za kujenga hizo shule hazikutokana na michango ya kanisani, zilitokana na rasilimali za Nchi

au unadhani walichukua kodi Vatican kuja kujenga huku ?
Kama angekuwa mdini basi asingezitaifisha haijalishi zimejengwa kwa pesa ya kodi au ya vatican angeziacha zibaki mikononi mwa kanisa lakini hakufanya hivyo. Wakristo wengi wanaamimi Israel ni taofa teule ila yeye alikuwa anaunga mkono wapalestina hadi kufikia kuwatimua waisrael bila kujali walikuwa wanajenga hall 2 pale udsm na misaada yao ya kijeshi waliokuwa wanaipatia TZ.
Alikuwa na weakness zake lakini hakuwa mdini kihivyo otherwise hata mrithi wake angemuandaa mtu wa dinj yake.
 
Wakuu kwema
Tunajua historia ya Tanzania, Mwalimu Nyerere aliwahi kuingia katika mgogoro au vita na iliyokuwa jumuiya ya Waislamu (Tanzania Muslims Welfare Society) ambayo mgogoro huo ulipelekea jumuiya hiyo kufutwa na BAKWATA kuzaliwa

Napenda kuuliza kuwa kama aliwahi kuwa na mgogoro na Kanisa Katoliki au Waprotestanti hata kama haukuwa mkubwa kama ule wa Waislamu

Tunafahamu Magufuli aliwahi kugombana na Kanisa Katoliki na Lutheran kufuatia makanisa hayo kutoa nyaraka za kulaani watu kutekwa, na pia kuhusu alivyoshughulikia ugonjwa wa Covid

Mohamed Said
Kwanza tueleze huo mgogoro na waislam hao ulihusu nini kabla hujauliza kama palikuwepo na mgogoro na dini nyingine.

Unapoleta mada kama hizi za migogoro, halafu huelezi chochote inaonyesha kwamba tayari unazo sababu zako za kuleta mada za kichokonozi.

Kuwa wazi watu wajue kwa nini unataka mada kama hii ijadiliwe hapa. Inafaida fulani na agenda yako?
 
Kwanza tueleze huo mgogoro na waislam hao ulihusu nini kabla hujauliza kama palikuwepo na mgogoro na dini nyingine.

Unapoleta mada kama hizi za migogoro, halafu huelezi chochote inaonyesha kwamba tayari unazo sababu zako za kuleta mada za kichokonozi.

Kuwa wazi watu wajue kwa nini unataka mada kama hii ijadiliwe hapa. Inafaida fulani na agenda yako?
Kama hujui kuhusu huo mgogoro, huu uzi utakuwa haukuhusu.
 
Back
Top Bottom