Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
- Thread starter
- #21
Ww ndio umeujia vibayaHapana.
Ni wewe umeuleta vibaya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ww ndio umeujia vibayaHapana.
Ni wewe umeuleta vibaya.
Hili ni jibu la kipuuzi kabisa.Kama hujui kuhusu huo mgogoro, huu uzi utakuwa haukuhusu.
Ni dhahiri kabisa kwamba hujui chochote kuhusu mada unayoianzisha hapa..Kama hujui kuhusu huo mgogoro, huu uzi utakuwa haukuhusu.
Punguza ujuaji Mzee tupo Kwa misingi imara aliyojenga NyerereUsimfananishe magufuli na vitu vya kijinga! Nyerere alikua anamtumikia bwana wake papa huko vatican
Waambie kiufupi aliingia nao mgogoro sema wakristo waliamua kuwekeza maeneo mengi Kwa kujenga shule na vyuo na ma hospital mengi zaidNyerere alitaifisha mali za Kanisa kibao, mashule, hospitali n.k
Kwahiyo kumbe DINI ni kilainishi cha kuleta ukoloni Africa? Nasubiri jibu wallah.Hizo propaganda ndio zinawafanya mchapwe fimbo ili msamehewe dhambi, mfunge hadi mfe
Mzungu bepari akusanye fedha aje akujengee wewe shule
hadi umri huu bado hujui kuwa kina nani ni moja ya Mawakala wa wakoloni ? Agent of colonialism ?
inamaana hujui kuwa dini ilikuwa kilainishi ( KY) ya kuingiza ( kupenyeza )Ukoloni Barani Africa?
Huyu mzee sijui anaimwa nn?, wewe utatuachie nn sisi wajikuu zako?,ni huu ujinga ulionao labda?Wakuu kwema
Tunajua historia ya Tanzania, Mwalimu Nyerere aliwahi kuingia katika mgogoro au vita na iliyokuwa jumuiya ya Waislamu (Tanzania Muslims Welfare Society) ambayo mgogoro huo ulipelekea jumuiya hiyo kufutwa na BAKWATA kuzaliwa
Napenda kuuliza kuwa kama aliwahi kuwa na mgogoro na Kanisa Katoliki au Waprotestanti hata kama haukuwa mkubwa kama ule wa Waislamu
Tunafahamu Magufuli aliwahi kugombana na Kanisa Katoliki na Lutheran kufuatia makanisa hayo kutoa nyaraka za kulaani watu kutekwa, na pia kuhusu alivyoshughulikia ugonjwa wa Covid
Mohamed Said
Wewe ndio hujui, ndio maana nikakuambia tafuta uzi nyingineNi dhahiri kabisa kwamba hujui chochote kuhusu mada unayoianzisha hapa..
Vip mzee mbona una mawenge?Huyu mzee sijui anaimwa nn?, wewe utatuachie nn sisi wajikuu zako?,ni huu ujinga ulionao labda?
Hivi bado huelewi ninachokueleza; basi una kichwa cha nazi kabisa.Wewe ndio hujui, ndio maana nikakuambia tafuta uzi nyingine
Washenzi wa Magufuri mnahangaika wauaji ninyi.Intellectual mjinga na mpuuzi kama yule?
Nyerere?Washenzi wa Magufuri mnahangaika wauaji ninyi.
Mbavu? Mdini na juha yule 🐗Kama asingekuwa intellectual asingeaminiwa kupewa madaraka ya URAISI.Na wahuni walipojaribu kumpindua alirudishwa madarakani na wataalamu wa uongozi wa siasa( Uingereza).
KIFUPI: Nyerere alikuwa na sifa za kuwa RAIS na wengine hawakuwa nazo.
Wakuu kwema
Tunajua historia ya Tanzania, Mwalimu Nyerere aliwahi kuingia katika mgogoro au vita na iliyokuwa jumuiya ya Waislamu (East Afric Muslims Welfare Society) ambayo mgogoro huo ulipelekea jumuiya hiyo kufutwa na BAKWATA kuzaliwa
Napenda kuuliza kuwa kama aliwahi kuwa na mgogoro na Kanisa Katoliki au Waprotestanti hata kama haukuwa mkubwa kama ule wa Waislamu
Tunafahamu Magufuli aliwahi kugombana na Kanisa Katoliki na Lutheran kufuatia makanisa hayo kutoa nyaraka za kulaani watu kutekwa, na pia kuhusu alivyoshughulikia ugonjwa wa Covid
Mohamed Said
Wote wanaompinga Nyerere ni waislam?Julius kuna makosa mengi aliyafanya kipindi cha utawala wake ndio yanayotugharimu mpaka leo
Ili kuhalalisha waislam kutokua na shule,maana wangechujwa na necta na hivyo kuwatafuta kwa tochi sekondari na elimu ya juu,hapo hawatokua na sifa ya kushika vitengo nyeti,Kisha tutaujenga mfumo kristo katika serikali na kanisa litapanukaNyerere alitaifisha mali za Kanisa kibao, mashule, hospitali n.k
Ili kuhalalisha waislam kutokua na shule,maana wangechujwa na necta na hivyo kuwatafuta kwa tochi sekondari na elimu ya juu,hapo hawatokua na sifa ya kushika vitengo nyeti,Kisha tutaujenga mfumo kristo katika serikali na kanisa litapanuka
Katuachia katiba mbovu,vita ya Uganda ilitugharimu pesa nyingi,Makosa gani hayo aliyafanya ndio yatugharimu mpaka leo?. Zimepita awamu 3 zilizo na miaka 10,10,10 akaja mmoja miaka 6 sasa yupo mwingine. Mzee kan’gatuka toka miaka ya 80 huko. Mkuu kama ulishindwa kujijenga kiuchumi huo ni ujinga wako wenzio kibao wamekuwa matajiri.