Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 11,936
- 15,196
Unajua maana ya kodi ya kichwa!Shule za kanisa hazikujengwa kwa Kodi za wananchi bali ni Kodi na michango ya wazungu wa wakati huo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajua maana ya kodi ya kichwa!Shule za kanisa hazikujengwa kwa Kodi za wananchi bali ni Kodi na michango ya wazungu wa wakati huo.
Mwalimu Nyerere kwa wakati aliokuwa ameongoza, angekuwa mtu mwenye tamaa, au mtu mwenye upendeleo na ubaguzi, angefanya bila kubugudhiwa na yeote.
Mwalimu Nyerere angekuwa ni mtu kutafuta utukufu wake, angekufa akiwa Rais maana hakukuwa na pressure yoyote yenye nguvu ya kumtaka aondoke madarakani.
Amefeli vipi wakati hizo nchi zilipata uhuru wake? Sijui TAI DUME kama kichwani kuna akili au kamasiKosa lake kubwa ni kuingia kichwa kichwa kutumia rasilimaki za nchi kusaidia ukombozi wa nchi za kusini mwa Afrika na vita vya uganda. Pale aliferi sana.
Inavyojulikana wewe ni mtafiti wa kasoro za Mwalimu. Hii imekushinda vipi?Wakuu kwema
Tunajua historia ya Tanzania, Mwalimu Nyerere aliwahi kuingia katika mgogoro au vita na iliyokuwa jumuiya ya Waislamu (East Afric Muslims Welfare Society) ambayo mgogoro huo ulipelekea jumuiya hiyo kufutwa na BAKWATA kuzaliwa
Napenda kuuliza kuwa kama aliwahi kuwa na mgogoro na Kanisa Katoliki au Waprotestanti hata kama haukuwa mkubwa kama ule wa Waislamu
Tunafahamu Magufuli aliwahi kugombana na Kanisa Katoliki na Lutheran kufuatia makanisa hayo kutoa nyaraka za kulaani watu kutekwa, na pia kuhusu alivyoshughulikia ugonjwa wa Covid
Mohamed Said
Kawawa, Wazee wa darisalama, hao wote siyo Waislamu?Sidhan kama jambo hilo limewahi kutokea yule kafir alikua mdin sana asiejali maslah ya wenzake
Unasahau au unajisahaulisha serikari ilitaifisha shule ngapi za mashirika ya dini za kikristo.Rasilimali za kujenga hizo shule hazikutokana na michango ya kanisani, zilitokana na rasilimali za Nchi
au unadhani walichukua kodi Vatican kuja kujenga huku ?
Mbumbumbu mzungu wa reliWaislam kibao wamesoma kwene shule za kanisa na mpaka sasa wanaendelea kusomeshwa. Kama baba yako na mama yako hawakusoma hio ni juu yao na umasikini wao na familia zao za waiza kahawa na kashata au kama hukusoma wenzio walisoma. Hakuna sababu za kutafuta mchawi mpaka sasa jamii ya wavaa kobazi kielimu bado ipo chini.
Realy stupido.Alikuwa mwanzilishi wa udini.
Mkuu jifunze kingereza. Sema hivi "Nyerere alikuwa intellectuality"Nyerere alikuwa intellectual.
deblabant hongera🤣Mkuu jifunze kingereza. Sema hivi "Nyerere alikuwa intellectuality"
Mali gani za Waislam zilizodhulumiwa na kutaifishwa?Hamutaki ugaidi tz ndo mana mali za waislam mnadhulumu na kutaifisha?
Wewe mwenyewe ni kafiri na fisadi.Kumzidi kafiri
Nyerere?
Tanzania ni nchi ya amani kuliko zote Afrika Mashariki kwa sababu ya misingi aliyoijenga NyerereMisingi ipi? Ya kuwafanya waTanzania mburula? Na wapumbavu?
?
Najua mnakerwa lakini huo ndio ukweli ,alianza na wale wapigania uhuru kina Dossa Aziz,Abdulwaheed Sykes,Sheikh Hassan bin Amir,Bibi Titi Mohammed na wengine hawa wengine alifunga,wengine alikata mawasiliano nao wengine aliwasingizia kuwa sio raia wa Tanganyika.Realy stupido.
Asingepora shule za wakatoliki kama ndio hivyo.Usimfananishe magufuli na vitu vya kijinga! Nyerere alikua anamtumikia bwana wake papa huko vatican
Sawa mke wa waarabu!!....hv waarabu wasingekuja ungekuwa muislam maku weweIntellectual mjinga na mpuuzi kama yule?
CrapWakuu kwema
Tunajua historia ya Tanzania, Mwalimu Nyerere aliwahi kuingia katika mgogoro au vita na iliyokuwa jumuiya ya Waislamu (East Afric Muslims Welfare Society) ambayo mgogoro huo ulipelekea jumuiya hiyo kufutwa na BAKWATA kuzaliwa
Napenda kuuliza kuwa kama aliwahi kuwa na mgogoro na Kanisa Katoliki au Waprotestanti hata kama haukuwa mkubwa kama ule wa Waislamu
Tunafahamu Magufuli aliwahi kugombana na Kanisa Katoliki na Lutheran kufuatia makanisa hayo kutoa nyaraka za kulaani watu kutekwa, na pia kuhusu alivyoshughulikia ugonjwa wa Covid
Mohamed Said
Naona mabibi zake Bado mna vinyongoUsimfananishe magufuli na vitu vya kijinga! Nyerere alikua anamtumikia bwana wake papa huko vatican
Mwongo mkubwa. Kama huna jibu kwa swali la mleta mada, kaa kimya, subiria kwa wanaofahamu.Alikuwa anapewa maelekezo na kanisa Katoliki.