Hivi Nyerere aliwahi kugombana na Kanisa Katoliki au Protestanti?

Hivi Nyerere aliwahi kugombana na Kanisa Katoliki au Protestanti?

Mwalimu Nyerere kwa wakati aliokuwa ameongoza, angekuwa mtu mwenye tamaa, au mtu mwenye upendeleo na ubaguzi, angefanya bila kubugudhiwa na yeote.
Mwalimu Nyerere angekuwa ni mtu kutafuta utukufu wake, angekufa akiwa Rais maana hakukuwa na pressure yoyote yenye nguvu ya kumtaka aondoke madarakani.

Pressure ilikuwepo ya kushindwa vibaya kwenye uchumi.
Siasa za Ujamaa na Kujitegemea zilikuwa zimeshafeli, na huku mabeberu yamekaza hayataki kutoa mikopo akaamua isiwe tabu akang'atuka Urais lakini Uenyekiti wa Chama (ambacho ndio chenye say kwa Serikali) akabaki kuwa Mwenyekiti na hata baada kumaliza muda wake wa Uenyekiti 1987, hakung'atuka akagombea tena (mgombea pekee).
Hata Lile jaribio la Mapinduzi inasemekana sababu ni hiyo hiyo ya kufeli kwenye uchumi nae hataki kugeuka jiwe.
In short nchi ilikuwa imeshamshinda ndio pressure yenyewe hiyo.
 
Kosa lake kubwa ni kuingia kichwa kichwa kutumia rasilimaki za nchi kusaidia ukombozi wa nchi za kusini mwa Afrika na vita vya uganda. Pale aliferi sana.
Amefeli vipi wakati hizo nchi zilipata uhuru wake? Sijui TAI DUME kama kichwani kuna akili au kamasi
 
Wakuu kwema
Tunajua historia ya Tanzania, Mwalimu Nyerere aliwahi kuingia katika mgogoro au vita na iliyokuwa jumuiya ya Waislamu (East Afric Muslims Welfare Society) ambayo mgogoro huo ulipelekea jumuiya hiyo kufutwa na BAKWATA kuzaliwa

Napenda kuuliza kuwa kama aliwahi kuwa na mgogoro na Kanisa Katoliki au Waprotestanti hata kama haukuwa mkubwa kama ule wa Waislamu

Tunafahamu Magufuli aliwahi kugombana na Kanisa Katoliki na Lutheran kufuatia makanisa hayo kutoa nyaraka za kulaani watu kutekwa, na pia kuhusu alivyoshughulikia ugonjwa wa Covid

Mohamed Said
Inavyojulikana wewe ni mtafiti wa kasoro za Mwalimu. Hii imekushinda vipi?
 
Rasilimali za kujenga hizo shule hazikutokana na michango ya kanisani, zilitokana na rasilimali za Nchi

au unadhani walichukua kodi Vatican kuja kujenga huku ?
Unasahau au unajisahaulisha serikari ilitaifisha shule ngapi za mashirika ya dini za kikristo.
 
Waislam kibao wamesoma kwene shule za kanisa na mpaka sasa wanaendelea kusomeshwa. Kama baba yako na mama yako hawakusoma hio ni juu yao na umasikini wao na familia zao za waiza kahawa na kashata au kama hukusoma wenzio walisoma. Hakuna sababu za kutafuta mchawi mpaka sasa jamii ya wavaa kobazi kielimu bado ipo chini.
Mbumbumbu mzungu wa reli
 
Realy stupido.
Najua mnakerwa lakini huo ndio ukweli ,alianza na wale wapigania uhuru kina Dossa Aziz,Abdulwaheed Sykes,Sheikh Hassan bin Amir,Bibi Titi Mohammed na wengine hawa wengine alifunga,wengine alikata mawasiliano nao wengine aliwasingizia kuwa sio raia wa Tanganyika.
Alibaki na wachache wale ambao kazi ni kuitikia tu "ndiyo mzee" kama Rashid Kawawa.
 
Wakuu kwema
Tunajua historia ya Tanzania, Mwalimu Nyerere aliwahi kuingia katika mgogoro au vita na iliyokuwa jumuiya ya Waislamu (East Afric Muslims Welfare Society) ambayo mgogoro huo ulipelekea jumuiya hiyo kufutwa na BAKWATA kuzaliwa

Napenda kuuliza kuwa kama aliwahi kuwa na mgogoro na Kanisa Katoliki au Waprotestanti hata kama haukuwa mkubwa kama ule wa Waislamu

Tunafahamu Magufuli aliwahi kugombana na Kanisa Katoliki na Lutheran kufuatia makanisa hayo kutoa nyaraka za kulaani watu kutekwa, na pia kuhusu alivyoshughulikia ugonjwa wa Covid

Mohamed Said
Crap
 
Back
Top Bottom