Bams
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 19,362
- 48,879
Sidhan kama jambo hilo limewahi kutokea yule kafir alikua mdin sana asiejali maslah ya wenzake
Punga jingine hili hapa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sidhan kama jambo hilo limewahi kutokea yule kafir alikua mdin sana asiejali maslah ya wenzake
Iliwahi kutokea mara moja. Na Nyerere alilisema wazi. Japo haukuwa mgogoro kati ya Serikali na Kanisa, bali mtendaji mmoja wa Kanisa.Wakuu kwema
Tunajua historia ya Tanzania, Mwalimu Nyerere aliwahi kuingia katika mgogoro au vita na iliyokuwa jumuiya ya Waislamu (East Afric Muslims Welfare Society) ambayo mgogoro huo ulipelekea jumuiya hiyo kufutwa na BAKWATA kuzaliwa
Napenda kuuliza kuwa kama aliwahi kuwa na mgogoro na Kanisa Katoliki au Waprotestanti hata kama haukuwa mkubwa kama ule wa Waislamu
Tunafahamu Magufuli aliwahi kugombana na Kanisa Katoliki na Lutheran kufuatia makanisa hayo kutoa nyaraka za kulaani watu kutekwa, na pia kuhusu alivyoshughulikia ugonjwa wa Covid
Mohamed Said
Wewe acha ubishi wa kijinga Watanzania waliosoma kwenye hizo shule walisoma bure enzi hizo na hata matibabu walipata bure kutokana na michango ya Wazungu.Mwafrika alikuwa bado hajajua umuhimu wa COST SHARING.Na kama ulizaliwa baada ya 1990 huwezi jua kule tulikotoka utabaki tu kubwabwaja na stori zako za kijiweni.Hizo propaganda ndio zinawafanya mchapwe fimbo ili msamehewe dhambi, mfunge hadi mfe
Mzungu bepari akusanye fedha aje akujengee wewe shule
hadi umri huu bado hujui kuwa kina nani ni moja ya Mawakala wa wakoloni ? Agent of colonialism ?
inamaana hujui kuwa dini ilikuwa kilainishi ( KY) ya kuingiza ( kupenyeza )Ukoloni Barani Africa?
Unasumbuliwa na udini na chuki.
Mungu hayuko hivo.
Kuwa na akiba ya maneno,una uhakika gani labda we Ndio utafanywa Kuni.
Punguza u-extremist ndg!
Kweli kabisaNyerere katuachia Muungano wa kihuni
Nyerere alitaifisha mali za Kanisa kibao, mashule, hospitali n.k
Mchungaji Mackenzie wa Kenya katokea madrasa gani ?
Rasilimali za kujenga hizo shule hazikutokana na michango ya kanisani, zilitokana na rasilimali za Nchi
au unadhani walichukua kodi Vatican kuja kujenga huku ?
Watu wanapumbazwa, nao wanakubali. Umeeleza vizuri sana. Maisha baada ya kifo, ni ya roho pekee yake. Roho haihitaji chakula kwa kuwa chakula ni kwaajili ya mwili. Roho haihitaji nyumba wala gari. Roho haihitaji mke kwa sababu tenaldo la kukutana, tena linaitwa kukutana kimwili, ni la mwili, na siyo roho. Halafu wewe mtu na akili yako unaambiwa ukifa utapewa mabinti warembo mabikira, na wewe unaitikia!! Una akili wewe kweli? Tangu lini Roho ikawa na bikra!MUNGU ni Muweza wa yote Kwahiyo Hana sababu ya kujaza rundo la Kuni ili apate moto.
Na isitoshe hakuna mtu anayejua kwa usahihi maisha ya mtu aliyekufa huko aliko(peponi) yapoje.
Mawazo yako ni matokeo ya Imani uliyofunzwa. Na Imani hiyo ukiichunguza kwa undani utagundua kuwa Kuna baadhi ya mafundisho Yana maswali mengi kuliko majibu.( Mfano: kusema kuwa Musa aliyekuwepo kabla ya YESU alikuwa muislamu, wakati uislamu ulianzishwa mwaka 622 AD( baada ya YESU) , au peponi utapewa wanawake 72, na wakati mwili wa kulala na wanawake umezikwa ardhini na iliyokwenda peponi ni roho ambayo haina jinsi).
Mwongo. Yataje tuyajadili. Unapokosa hoja unabaki na hizi dhana za kuimbishwa tu kama kasuku.Julius kuna makosa mengi aliyafanya kipindi cha utawala wake ndio yanayotugharimu mpaka leo
Dini ilisaidia sana kuleta ustaarabu Afrika.Bila ukoloni bado tungekuwa na maisha mabaya tena tungekuwa Watumwa wa Waarabu.Tumshukuru mkoloni kwa kutuletea maendeleo.Kwahiyo kumbe DINI ni kilainishi cha kuleta ukoloni Africa? Nasubiri jibu wallah.
Nilisoma mahaliMali gani za Waislam zilizodhulumiwa na kutaifishwa?
Wapentecoste wamekuja tu kueneza ufisadi na wizi Tanzania.Hujui kuwa utawala wake uliwabana sana Pentekoste , ni mpaka zama za mzee rukhsa ndo wakawa huru kufanya shughuli zao?
Hilo ni swali la msingi sana.Nilisoma mahali
hospitali kubwa na shule za madhehebu ya Kikristo vilitaifishwa. Lakini hospitali za Agha Khan, Hindul Mandal hazikuguswa. Wenye kuelewa mambo haya je hayo niliyosoma yana ukweli wowote?
Baada ya sera ya ujamaa kuwekwa kando kwa sababu zozote zile madhehebu mangapi yamejitutumua tena kujenga hospitali kubwa na hata taasisi za elimu kiwango cha vyuo.
siyo kweli, zile fedha zilikuwa zinatoka serikali kuu enzi ya ukoloni. Ilikuwa inafanya allocation ya certain percentage na kuwakabidhi kanisa kujenga mashule na huduma za jamii. Nilishawahi kukumbana na documentary fulani ilikuwa inaongelea hivyo vitu na ilikuwa ni system yao kwa makoloni yao yote ya Uingereza.Kama hunui kitu ukae kimya. Usipende kuropoka mambo usiyoyajua.
Mashule, hospitali na makanisa, vyote wakati huo vilijengwa kwa pesa zilizochangwa na waumini wa makanisa mbalimbali ya mataifa ya Ulaya. Hailiwa kpdi ya watanzania wala sadaka za waumini maskini wa Tanzania.
Ni siku za karibuni sana, ndiyo vitu hivyo vimeanza kujengwa kwa michango ya waumini.
Mdini aliyemwachia mwinyi nchiMpu
Mbavu? Mdini na juha yule 🐗
Mambo ya imani yana maswala mengi sana ya kushangaza, kama hayo uliyoeleza hapo.Watu wanapumbazwa, nao wanakubali. Umeeleza vizuri sana. Maisha baada ya kifo, ni ya roho pekee yake. Roho haihitaji chakula kwa kuwa chakula ni kwaajili ya mwili. Roho haihitaji nyumba wala gari. Roho haihitaji mke kwa sababu tenaldo la kukutana, tena linaitwa kukutana kimwili, ni la mwili, na siyo roho. Halafu wewe mtu na akili yako unaambiwa ukifa utapewa mabinti warembo mabikira, na wewe unaitikia!! Una akili wewe kweli? Tangu lini Roho ikawa na bikra!
"Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa", inadhihirika wazi.