Hivi Nyerere aliwahi kugombana na Kanisa Katoliki au Protestanti?

Hivi Nyerere aliwahi kugombana na Kanisa Katoliki au Protestanti?

Acha ujinga,kwa nini aliivunja eamws iliyojikita kujenga taasisi za elimu na afya!?
Alimwachia nchi muislamu mwinyi unasemaje alikua mdini, na alimchagua ahmed salim kama balozi mdogo hata sasa hakuna mtu aliyechaguliwa kuwa balozi kama ahmed salim akiwa na umri mdogo
Mtu mdini hawezi fanya hivyo vitu
 
Sidhan kama jambo hilo limewahi kutokea yule kafir alikua mdin sana asiejali maslah ya wenzake
acha ujinga we shaitwaani mfuasi wa dini ya myaazi mungu, unadhani ni nani ambaye hakuwa mdini ? Huoni wadini wenzako wakiacha alama ya udini pindi muhula wao unapomalizika?
 
Najua mnakerwa lakini huo ndio ukweli ,alianza na wale wapigania uhuru kina Dossa Aziz,Abdulwaheed Sykes,Sheikh Hassan bin Amir,Bibi Titi Mohammed na wengine hawa wengine alifunga,wengine alikata mawasiliano nao wengine aliwasingizia kuwa sio raia wa Tanganyika.
Alibaki na wachache wale ambao kazi ni kuitikia tu "ndiyo mzee" kama Rashid Kawawa.
Na unajuwa ndio sababu Tanzania ikawa kama ilivyo leo, na wala siyo kama ilivyo Somalia au Nigeria? Inawezekana kabisa usielewe ninachokueleza, au akili yako ikawa haifunguki kuona ukweli huo.
 
Na unajuwa ndio sababu Tanzania ikawa kama ilivyo leo, na wala siyo kama ilivyo Somalia au Nigeria? Inawezekana kabisa usielewe ninachokueleza, au akili yako ikawa haifunguki kuona ukweli huo.
Naelewa,Leo hii Waislamu wanaonekana ni raia daraja la pili na wasiostahili kupata uongozi na ikitokea mmoja kapata uongozi basi atasakamwa na kutukanwa hadi akome.
Hata aina ya uongozi wa Jiwe angekuwa muislamu kuanzia maaskofu hadi wanaharakati uchwara wote ingekuwa kelele tu.
 
Sibishani na mtu anayekunywa maji ya kisima tangu 1961
Unaona ulivyo mjinga!
Hujui kuwa maji ya kisima ni bora sana kuliko hayo ya bomba zenye tope?
Hii inaonyesha uduni mkubwa sana ulio nao kichwani mwako.

Kwa nini usiwaone waTanzania wote kwa u-Tanzania wao kabla ya maswala hayo mengine ya kibaguzi?
 
Naelewa,Leo hii Waislamu wanaonekana ni raia daraja la pili na wasiostahili kupata uongozi na ikitokea mmoja kapata uongozi basi atasakamwa na kutukanwa hadi akome.
Hata aina ya uongozi wa Jiwe angekuwa muislamu kuanzia maaskofu hadi wanaharakati uchwara wote ingekuwa kelele tu.
Miwazo ya aina yako haya huwa nawaachia wapumbavu wanaotafuta viongozi kwa kuangalia dini zao na si kwa kuangalia uwezo wao bila kujali dini zao.
Hivi katika akili zako bado unaona uongozi wa nchi hii unahitaji kuingizwa dini?
Ndiyo maana kuchwa nzima mnavimba misuri kutetea upumbavu wa namna hiyo

Hivi hamuwezi kuwatazama waTanzania wote kwa u-Tanzania wao kwanza kabla ya hayo maswala mengie yote?

Umezungumzia wakati wa Magufuli, ulitaka hao wenye dini yao wafanye lipi la ziada? Hukumbuki kitu chochote walichomkatalia Magufuli, au kwa vile akili yako imejifunga ndani ya dini, ambayo hata inawezekana siyo mfuasi wake mzuri?
Haya, tueleze, wewe katika dini yako hiyo, ulifanya jambo gani kumpinga Magufuli, na hao wenye dini nyingine hawakukusikiliza kwa vile tu wewe ni mtu wa dini?.

Ujuha ni huo wa kumteyea kiongozi hata kama hafai, kwa sababu tu ya dini yake.
 
Unaona ulivyo mjinga!
Hujui kuwa maji ya kisima ni bora sana kuliko hayo ya bomba zenye tope?
Hii inaonyesha uduni mkubwa sana ulio nao kichwani mwako.

Kwa nini usiwaone waTanzania wote kwa u-Tanzania wao kabla ya maswala hayo mengine ya kibaguzi?
Wewe kweli punguwani unaona sifa kunywa maji ya kisima na kuishi sehemu isiyopimwa,ccm inafurahi sana kuwa na mapunguwani wengi kama wewe
 
Wewe kweli punguwani unaona sifa kunywa maji ya kisima na kuishi sehemu isiyopimwa,ccm inafurahi sana kuwa na mapunguwani wengi kama wewe
Ujinga ni mzigo sana. Hujui maji ya kisima yalivyo mazuri, au ni picha ipi ya visima uliyo nayo kichwani mwako? Yale maji taka yaliyosimama kwenye madimbwi ndiyo unaita visima?
 
Nyerere alikuwa intellectual.

..Nasikia Mwalimu aliwahi kugombana na Kanisa Katoliki.

..Hali hiyo ilipelekea Mwalimu kuwaandikia Kanisa barua kali kuhusu tofauti zao.

..Hiyo barua iko ktk kumbukumbu za wanahistoria hapa Tz.

..kuna mwanachama mwenzetu wa JF anaitwa Companero aliwahi kuahidi kuitafuta na kuleta ktk jukwaa letu.
 
Najua mnakerwa lakini huo ndio ukweli ,alianza na wale wapigania uhuru kina Dossa Aziz,Abdulwaheed Sykes,Sheikh Hassan bin Amir,Bibi Titi Mohammed na wengine hawa wengine alifunga,wengine alikata mawasiliano nao wengine aliwasingizia kuwa sio raia wa Tanganyika.
Alibaki na wachache wale ambao kazi ni kuitikia tu "ndiyo mzee" kama Rashid Kawawa.
Ninyi msipopigana vita huwa hamjisikii ndiyo maana mnamwona Nyerere kama adui kwenu kwani aliwafungia mirija ya ugaidi.
 
Najua mnakerwa lakini huo ndio ukweli ,alianza na wale wapigania uhuru kina Dossa Aziz,Abdulwaheed Sykes,Sheikh Hassan bin Amir,Bibi Titi Mohammed na wengine hawa wengine alifunga,wengine alikata mawasiliano nao wengine aliwasingizia kuwa sio raia wa Tanganyika.
Alibaki na wachache wale ambao kazi ni kuitikia tu "ndiyo mzee" kama Rashid Kawawa.

..sidhani kama ni sahihi kusema Mwalimu Nyerere alikuwa na ugomvi na Abdulwaheed Sykes.

..Mwalimu angekuwa na ugomvi na kina Sykes basi asingemteua Abbas Sykes kuwa Gavana wa kwanza jimbo la Mashariki ambalo lilihusisha jiji la Dar Es Salaam.

..Baada ya hapo Mwalimu alimteua Abbas Sykes ktk nafasi mbalimbali za ubalozi ikiwemo ubalozi wa Canada, France, na Italy.

..Vilevile mdogo wake Dosa Aziz anaitwa Hamza Aziz alipata kuwa Mkuu wa jeshi la Polisi IGP. Kungekuwa na ugomvi kati ya Dosa Aziz na Mwalimu Nyerere, Hamza Aziz angeaminiwa ktk nafasi nzito kama IGP?

..Kuhusu uwepo wa wapigania uhuru waliosahaulika hiyo ni hoja inayosimama na wako wengi ambao hawajapata bahati ya kuwa na vijana wao wa kuwaandikia vitabu.

..Pia kuna watu walioteswa kwelikweli na utawala wa Mwalimu Nyerere, watu kama Christopher Kasanga Tumbo, James Mapalala, Bibi Titi Mohamed, na wengine.
 
Usimfananishe magufuli na vitu vya kijinga! Nyerere alikua anamtumikia bwana wake papa huko vatican
Nenda kapimwe alili Mirembe kama unadhani Magufuli alikuwa na akili yeyote. Magufuli alikuwa tabular rasa
 
..sidhani kama ni sahihi kusema Mwalimu Nyerere alikuwa na ugomvi na Abdulwaheed Sykes.

..Mwalimu angekuwa na ugomvi na kina Sykes basi asingemteua Abbas Sykes kuwa Gavana wa kwanza jimbo la Mashariki ambalo lilihusisha jiji la Dar Es Salaam.

..Baada ya hapo Mwalimu alimteua Abbas Sykes ktk nafasi mbalimbali za ubalozi ikiwemo ubalozi wa Canada, France, na Italy.

..Vilevile mdogo wake Dosa Aziz anaitwa Hamza Aziz alipata kuwa Mkuu wa jeshi la Polisi IGP. Kungekuwa na ugomvi kati ya Dosa Aziz na Mwalimu Nyerere, Hamza Aziz angeaminiwa ktk nafasi nzito kama IGP?

..Kuhusu uwepo wa wapigania uhuru waliosahaulika hiyo ni hoja inayosimama na wako wengi ambao hawajapata bahati ya kuwa na vijana wao wa kuwaandikia vitabu.

..Pia kuna watu walioteswa kwelikweli na utawala wa Mwalimu Nyerere, watu kama Christopher Kasanga Tumbo, James Mapalala, Bibi Titi Mohamed, na wengine.
Hii alone yule mujahidina Mohamed Said . Uone atakavyo ng'aka
 
Miwazo ya aina yako haya huwa nawaachia wapumbavu wanaotafuta viongozi kwa kuangalia dini zao na si kwa kuangalia uwezo wao bila kujali dini zao.
Hivi katika akili zako bado unaona uongozi wa nchi hii unahitaji kuingizwa dini?
Ndiyo maana kuchwa nzima mnavimba misuri kutetea upumbavu wa namna hiyo

Hivi hamuwezi kuwatazama waTanzania wote kwa u-Tanzania wao kwanza kabla ya hayo maswala mengie yote?

Umezungumzia wakati wa Magufuli, ulitaka hao wenye dini yao wafanye lipi la ziada? Hukumbuki kitu chochote walichomkatalia Magufuli, au kwa vile akili yako imejifunga ndani ya dini, ambayo hata inawezekana siyo mfuasi wake mzuri?
Haya, tueleze, wewe katika dini yako hiyo, ulifanya jambo gani kumpinga Magufuli, na hao wenye dini nyingine hawakukusikiliza kwa vile tu wewe ni mtu wa dini?.

Ujuha ni huo wa kumteyea kiongozi hata kama hafai, kwa sababu tu ya dini yake.
Waliompinga hujui kilichowapata? Nenda zako zezeta mkubwa.
 
Back
Top Bottom