Mpaka kuomba sijui sheria zinasemaje sasaLirudishwe pls jamani πππ
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nimecheka kwanza....Lile ninja aiseee!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yani jana nimelala mbavu zinauma
Mi napenda watu km wale, alafu mara nyingi hawana unafki wala kona kona..!!!
Jana kuna kitu kaongea, nikikumbuka nacheka balaa!!
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Cuzo kwaresma yenyewe inaangukia valentine mtakoma[emoji1787]
Aiseee!! Nimecheka sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nimecheka kwanza....
Kabla ya kujua ni nini....Nimeshajiongeza...
Madam Mada zake nazijuaga[emoji1]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jukwaa la wakubwa ilikuwa raha tulikuwa tunajiachia vilivyo na kina Evelyn Salt
KabisaNaview tu halafu natulia kimya, hua sina cha kujibu
Hivyo yaniππKabisa
π€£π€£π€£ππΏUmenikumbukusha mademu wa Arusha, huwezi hata kuchat nae atakukata stimu tu
Mtu unamuanza
You: mambo vipi salma
Yeye: mzuka Arif nigani
β
Dah unaona namna Gani hapa ila unajikaza unaendelea
You: salma nimekumis ujue
Yeye: acha basi kunifunga mota jombi
Unaona isiwe kesi unamblock
Itabidi tueleweke tu Cuzo..[emoji1]Yaani huu mwaka unatutafuta lawama aiser
Yeahπ₯΄Hivyo yaniππ
Watuangalie siye mayatima wa mapenzi watufungulie tu..!!Mpaka kuomba sijui sheria zinasemaje sasa
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Aiseee!! Nimecheka sana
Kuna style ya kufunga nonino kiunoni khaaa!!!
Nyie kwaresima nitapooza nicheke vya mwisho mwisho [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Dada kumbe kwaresima inadondekea siku moja na valentine?? π€£π€£π€£Nishavijua bwana...viko viwili hiviπ€£π€£π€£
Au sioπ€£π€£
Kanitag na mie nicheke πππ[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Mimi Madame B simtaki.....
Ana Uzi wake mmoja huo....Sichoki kuusoma kila ninapotaka kucheka..
Sawa sawa hapa umeongea kitu kizuri ..karibu Jackies upate thodaUngekua interested na huyo jamaa wala usingemuona msumbufu kilichopo ni kuwa hata salamu yake unaichukulia ni kero.
Binafsi nimeamua kuwa mkax huwa na sense haraka mtu akinichukulia kama vile sina maana au ni msumbufu hasa wanawake, nikikutext mara tatu nikaona negative response baada ya hapo huwa najiweka mbali hutaona meseji yangu tena.