Namjua vizuri.Hapana....
Ila ni vile vituko vyako hapa nakufanisha tu na Zai.
Si unamjua vyema lakini?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nakufata chembaNdugu,.....nitatoa yasiyoruhusiwa.
Halafu naweza jikuta naharibu sehemu.
Ila chunguza tu...utanipa jibu siku yoyote au mwaka wowote.
Fanya harakaNgoja nifike afu tutahama wote
Ndiyoooo....Namjua vizuri.
Ila yule amejichubua...sitaki mimi kufananishwa nae 😩😩😫😫
🙏🙏🙏 Kwa kunikubali dear.Ndiyoooo....
Ninavyochekaga vituko vya Zai....ndiyo Comments zako hapa JF zinavyonichekesha.🤣
Sasa madame naona unataka na huu uzi ufungwe😅😅.Demi mpaka sasa sijapata updates yoyote toka kwake....itakuwa mambo aliyatindinganya, sasa anafukia ma-gape😄
Mtu mwenyewe stranger, si connection inatafutwa taratibu mama? Unadhani kumuimbisha stranger kazi rahisi eenh!!Sasa kama salamu zenyewe mnashindwa muongee Nini mjue hapo hamna connection baina yenu
Kama mtu huna cha kumwambia bora ukae kimya.🤣🤣🤣🤣🤣Kwa hiyo we Kila kitu poa poa poa....aaaah hawa watu jamani
Karibu Dear....[emoji120][emoji120][emoji120] Kwa kunikubali dear.
Sema sahv na uzee huu, tunaamua kuangalia ligi ya sasa.
Ila Zai anachekeshaga.
Afu yale mambo ya uswazi.
Uswazi raha sana
Kuna sehemu umeenda ku like sijapentraaa 🤣🤣🤣Muongo muongo sana zai😂
Namna hiyoSasa madame naona unataka na huu uzi ufungwe😅😅.
Ila kiufupi niliufanyia kazi ushauri wako kungwi wangu mambo yalienda vzr na asubuhi nikapewa zawadi ya shopping😂😂.
Hizi sentence ngumu ngumu zinawaumizaga kichwa utasikia nipo Mwezini mara nipo Period mara sijamaliza siku zangu yote anakizibia kipochi manyoyawe unataka muamala maneno mengi ya nn ...toa nitoe
Afu anaongea yuko serious kabisa.Muongo muongo sana zai😂
Kwenye mapenzi unapotoa fedha hununui kitu bali unaimarisha bond. Ni wapi ulishaona vitu viwili vinaungashwa bila kiunganishi ambacho ni fedha? Huu ndiyo ukweli mchungu.I hate cheap women in every three words two are connected with money.............wakati mapenzi sio pesa mapezi ya kununua hayana laadha.