na me ndio maana nkasema hapo No love....usikute huyo ni jamaa tu ambaye anataka mzigo au anakufukuzia coz unayependana nae lazima mjuane code za kuingiliana pasipo makasirikoHamna,Mtu ninayempenda hawezi kuniambia ujinga wa NIAMBIE
Bora uwe unajikalia kimya kuliko kumwambia NIAMBIEMie kuchat na Mwanamke ambae si mke wangu huwa napata uzito sana.. mpaka natext bas kuna sababu ya msingi maana siamini kama kuna story kati ya KE na ME ambao hawana connection ya mapenzi. Sana sana mtaongea umbea tu.
Mwanaume ambaye anajielewa hawezi kufundishwa namna ya kuwasiliana na mwanamke maybe .Yaani hicho kitabu kikitengenezwa na mimi nitakinunua. Yaani wanaume wengi watakinunua. Tena kikiwa kimeandikwa na mwanamke ndio kitaaminika mno. Yaani kuna utajiri wa mabilioni ya hela umejificha kwenye kitabu cha kifundisha mtu jinsi ya kuchat na msichana π€£
Uko sahihi sana....mnakuwa na connection Fulani hivi.na me ndio maana nkasema hapo No love....usikute huyo ni jamaa tu ambaye anataka mzigo au anakufukuzia coz unayependana nae lazima mjuane code za kuingiliana pasipo makasiriko
Nimempenda buree aisee!! πππPole kwa kuchelewa kumjua
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Na wale wanaofupisha maneno...[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Cuzo wangu hutaki kuchoshwaa....aisee wanachosha sana
Afu ww makiendo ntakudunda πππ[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Na wale wanaofupisha maneno...
Mtu halafu anaandika afu....Jamani[emoji706]
π€£π€£π€£π€£Sasa hao wa "afu"ndio special edition kabisaaa ni genge la Shaban wa Zamaradi.....Kuna mkaka mzuri tulibaxilishana namba nilikuwa na lengo zuri la kuwasiliana nae,,kosa la kiufundi ni Ile meseji yake ya pili baada ya salamu nikamlamba block[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Na wale wanaofupisha maneno...
Mtu halafu anaandika afu....Jamani[emoji706]
π€£π€£Kabisaa,, mwanaume anayejielewa akikuangalia tu anajua akuanzie wapi
ππππ jukwaa la wakubwa ilikuwa raha tulikuwa tunajiachia vilivyo na kina Evelyn SaltNimempenda buree aisee!! πππ
Mi watu wenye ma vibe km Madame B ndio nawapenda, sio hawa wanaojifanya jukwaani walokole pm ni mabadest π€£π€£π€£
Vipira ndo vinini jirani ππAfu ww makiendo ntakudunda πππ
Sema afu inapendeza ifupishwe na ke inakuwa km anadeka flani..!! Sasa dume lenye vipira vyake hapo atakuwa anazingua
ππππ Wapo imagine ke anaiomba bila uoga..!!!Ooh umeanza kuharibu,kumbe Kuna mabbadest wa pm na hamsemiπ€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£..kwanza where is my girl Missy Gf ?
Madame B yule habari nyingine[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nimempenda buree aisee!! [emoji23][emoji23][emoji23]
Mi watu wenye ma vibe km Madame B ndio nawapenda, sio hawa wanaojifanya jukwaani walokole pm ni mabadest [emoji1787][emoji1787][emoji1787]