Hivi nyie baadhi ya wanaume unavyoandikia mwanamke meseji Huwa mnawaza Nini?

Hivi nyie baadhi ya wanaume unavyoandikia mwanamke meseji Huwa mnawaza Nini?

Andika wosia mapema...
Kaka unanitishia??
Yani nimekuhifadhia million 10, kutoa elfu 20 ya safari na 30k ya kulipia luku pesa zako zikae kwenye usalama unataka kuniua??
Sasa nawaambia TRA unauza biashara za magendo na nawapigia polisi waje wakukamate unamiliki silaha kinyume cha sheria..!! Na unalima bhangi msata..!! 😂😂😂
 
Umenikumbukusha mademu wa Arusha, huwezi hata kuchat nae atakukata stimu tu

Mtu unamuanza
You: mambo vipi salma
Yeye: mzuka Arif nigani

Dah unaona namna Gani hapa ila unajikaza unaendelea

You: salma nimekumis ujue
Yeye: acha basi kunifunga mota jombi


Unaona isiwe kesi unamblock
Wadada wa chuga njooni Depal 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Umenikumbukusha mademu wa Arusha, huwezi hata kuchat nae atakukata stimu tu

Mtu unamuanza
You: mambo vipi salma
Yeye: mzuka Arif nigani

Dah unaona namna Gani hapa ila unajikaza unaendelea

You: salma nimekumis ujue
Yeye: acha basi kunifunga mota jombi


Unaona isiwe kesi unamblock
Cc Depal, Lenie mbadilike🤣😄
 
Hizi tabia zimejaa huko fb
Mtu anakusalimia unajua Ana jipya anaishia kuuliza eti pande zipi kama karani wa sensa
 
Halafu Kuna wale wa namba mpya unaona salamu na namba mpya unauliza nani wewe eti huna namba yangu?
 
Nipo hp bff kwani Kuna habari gani hapaaa
Ww soma heading acha uvivu bff
Yule jamaa ako aliyekuwa anakwambia “niambie” vipi hataki kwenda straight km anaomba nyapu eti hakuboi??
 
Ww soma heading acha uvivu bff
Yule jamaa ako aliyekuwa anakwambia “niambie” vipi hataki kwenda straight km anaomba nyapu eti hakuboi??
Ananiboa kichizi
Tena wengine ni new number hujui ni nani
Unaona tu mtu kakutumia ka sms eti nambie
Utafkiri umemuita
 
Ukiona anakwambia "Niambie" ujue huyo mfuko upo vizuri. Maana wanaume wengi tushaijua ile kauli ya "babe nikwambie kitu?".. ukiomba mwenyewe kuambiwa ujue umeyakanyaga.
 
Kwema?

Hivi nyie baadhi ya wanaume unavyoandikia mwanamke meseji Huwa mnawaza Nini?

Mtu anakuandikia mambo?unamjibu poa tu,

Anauliza Tena,Kwema?unamjibu kwema?

Anauliza tena,uko poa lakini?
Unajibu poa?
Sasa anamalizia Tena""NIAMBIE ""😣
Jamani hebu muwe serious basi,Umeanza mwenyewe mazungumzo halafu unaniambia nikwambie, nikwambie Nini sasa?eti Huwa mnataka tuwaambie Nini?Binafsi sana sana ukiniambia nikwambie nitakuomba Hela....halafu utaanza kulalamika na kulilia maana watu wenyewe wa siku hizi tunawajua ni lialia,wakati we mwenyewe umesema nikwambie.,au ni kutafutana lawama tu?

Kwa kweli Mtu akishaniambia hiyo"NIAMBIE"Huwa anikera sana...
Hebu tupumzisheni basi viumbe vya mola jamani..
Niambie
 
Ananiboa kichizi
Tena wengine ni new number hujui ni nani
Unaona tu mtu kakutumia ka sms eti nambie
Utafkiri umemuita
🤣🤣🤣 Mwambie namba hiyo hiyo uliotumia kunipigia, itumie pesa ss hivi niko busy kwanza
 
🤣🤣🤣 Mwambie namba hiyo hiyo uliotumia kunipigia, itumie pesa ss hivi niko busy kwanza
🤣🤣🤣🤣 kwakweli...yaani umri huu kweli nianze kuwaza hii namba ya nani??
Labda iwe imetuma pesa
 
Sikukasirika matendo yake yalinifanya tu nijihisi sina umuhimu nikajiweka nafasi ya wasio na umuhimu na nikaacha kuwa msumbufu

Nilimkaushia ila naona bahati nzuri alikuja kubadilika akaanza yeye kunitafuta
Anakupenda,sema alikuwa Hajui namna ya communication
 
Back
Top Bottom