BIGstallion
JF-Expert Member
- Sep 13, 2016
- 6,324
- 7,913
Pombe haina faida yeyote katika maisha Ndugu,
Kabidh maisha yako kwa Mungu na utaona maisha mazur kwako, nilikua mnywaj kama wewe,hakuna zaid ya kua mtumwa wa pombe kwa miaka 6, Nimeacha pombe mwaka Jana dec, sasa Naona maisha mapya kwangu, sdhoofik mwil tena, siamki na hangover tena, Mshahara naonaa vizur sasa na unanitosha vizur sasa nafanya maendeleo vizur,napata muda mzur wa kufurah na familia na Ndugu,
Binafsi nimehamishia starehe kwenye Baltika,Fresh Juice,ice creams, na hata ikitokea nimeenda outing sina tamaa na pombe nitaagza Baltika zangu tuu na Maji, Natuma mda wa ziiiada kuchat na video games
Utakuja kudata mkuu