Hivi nyie msiokunywa pombe au aina yoyote ya kilevi starehe yenu ni ipi!?

Hivi nyie msiokunywa pombe au aina yoyote ya kilevi starehe yenu ni ipi!?

Pombe haina faida yeyote katika maisha Ndugu,

Kabidh maisha yako kwa Mungu na utaona maisha mazur kwako, nilikua mnywaj kama wewe,hakuna zaid ya kua mtumwa wa pombe kwa miaka 6, Nimeacha pombe mwaka Jana dec, sasa Naona maisha mapya kwangu, sdhoofik mwil tena, siamki na hangover tena, Mshahara naonaa vizur sasa na unanitosha vizur sasa nafanya maendeleo vizur,napata muda mzur wa kufurah na familia na Ndugu,


Binafsi nimehamishia starehe kwenye Baltika,Fresh Juice,ice creams, na hata ikitokea nimeenda outing sina tamaa na pombe nitaagza Baltika zangu tuu na Maji, Natuma mda wa ziiiada kuchat na video games

Utakuja kudata mkuu
 
Movies, series, novel, mpira, swimming,
Zipo kibao la muhimu ni kujenga hobby na kati ya hivo vitu.
Mfano yafuta series nzuri uanze kuifuatilia. . . utajikuta unasahau hata kifanya vitu vingine. . .

Ukifanikiwa niambie. Ili niweze kuepuka hizo mbinu. Nsije na mi nkaangukia huko nikaacha bia
 
Binafsi nataka kuacha ulevi/starehe zote, yaani wa pombe, sigara nk.
Je nikiache nitumie nini kama mbadala waa starehe ya pombe, sigara nk.
Sitaki kuhusu uzinzi.
Haya ni matatizo kwakuwa unapata "dependency syndromes'
Starehe ni kukaa na familia ukiwa free
 
Mtoa mada nataka ujue kwamba pombe, sigara na uzinzi sio starehe.
 
Hobbie ziko nyingi. Kama mm situmii kilevi chochote. Na nacheza sana mpira.
 
Ni walevi wabaya sana hao wasiotumia vileo vyetu hivi
Ukimkuta kwenye papuchi ni hatari Kabisa
 
Binafsi nataka kuacha ulevi/starehe zote, yaani wa pombe, sigara nk.
Je nikiache nitumie nini kama mbadala waa starehe ya pombe, sigara nk.
Sitaki kuhusu uzinzi.
It seems you are to idle, kama uko bize anasa za nini. Ukichoka pumzika, angalia TV hudhuria ibada, au jisomee vitabu uongeze maarifa. Matajiri hawana starehe, kila muda kwa una thamani, panga ratiba zako vizuri uone kama huo muda wa anasa utapatikans.

Vv
 
Back
Top Bottom