Hivi nyie msiokunywa pombe au aina yoyote ya kilevi starehe yenu ni ipi!?

Nenda kanisani kajisalimishe kwa Mungu ili akirudi uwe mmoja wa watakao nyakuliwa
 
Mimi sinywi pombe wala kuvuta sigara lakini **** utanisamehe.... naipenda kuliko msosi
 
Hujitambui mleta mada ,kwaiyo we unaona iyo ndo starehe ya mwisho ivi unajuwa hata kuimba pambio au nyimbo ya kumsifu mungu ni starehe kubwa isiyo kifan ,kwaiyo unaona kilevi ndo mwisho WA yote kumjua mungu japo kwa kiss kidgo ni chanzo cha hekima
 
Labda nikusaidie starehe yetu ni kujaribu kufanya yampendezayo mungu mana kutenda yaliyo mapenz ya mungu kuna raha yake bwana kuliko kuwa mtumwa WA shetan
 
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] mkuu uko vizur
 
Aisee
 
Binafsi nataka kuacha ulevi/starehe zote, yaani wa pombe, sigara nk.
Je nikiache nitumie nini kama mbadala waa starehe ya pombe, sigara nk.
Sitaki kuhusu uzinzi.
Papuchee
 
Nilipo kuwa advance ilikuwa haipiti siku bila kucheza mpira nilikuwa nikikaa darasani natamani jioni ifike nikacheze mpira,kuna kipinfi nilikuwa naota kabisa mambo yanayohusu mpira.sa hv nimekuws ni mademu,pombe,movie na kutazama mpira tu
 
Binafsi nataka kuacha ulevi/starehe zote, yaani wa pombe, sigara nk.
Je nikiache nitumie nini kama mbadala waa starehe ya pombe, sigara nk.
Sitaki kuhusu uzinzi.

Kwani starehe maana yake nini?
 
Kuliko niache pombe nije kucheza huu mchezo mchafu

Basi weita niongeze nyingine make naona kuna watu wamefungwa kuliko mimi
 
Utakuta unaongea haya yooote kumbe ka balimi kadogo kapo pembeni yako[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Mbona unaandika kama umepiga fundo moja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…