Hivi nyie msiokunywa pombe au aina yoyote ya kilevi starehe yenu ni ipi!?

Hivi nyie msiokunywa pombe au aina yoyote ya kilevi starehe yenu ni ipi!?

Aliekuambia kunywa pombe ni starehe ni nani? Kama biashara imedoda umekosea jinsi ya kuitangaza, andaa tangazo kwa njia nyengine
 
Jitahidi kuwa mnywaji na sio mlevi

Wengine tukienda bar tunapendaga kuwaona watu wanavyoyumbayumba hafu moyoni unajisema na kuweka nadhiri, hii kitu isinitokee.

Jipangie pombe ya nishai, mfano bia moja au mbili na maji ya makubwa, hapo utainjoi.

Kingine kama una mke, mfanye starehe yako namba moja, yani jitahidi asiwe adui yako, japo hapa kuna ka ugumu kidogo. Ukifanikiwa hili utapamisi home na utakua unaimisi familia,
Pia yaweke mazingira ya nyumbani well equiped, mfano kama unapenda mziki jitahidi nyumbani unaomziki wa maana kiasi kwamba hata ukiwa bar hakuna mazingira yoyote yakuweza kukushawishi kukaa pale

Acha kulewa kwa sababu yoyote ile, yaani kama sehemu ya kutatua matatizo tena siku ukiwa na matatizo usinywe kabisaa,
Kunywa kama burydani na kwa kiwango maalumu.

Jitahidi kuyasoma yale maandishi ya kwenye vilevi
Mfano, kunywa pombe kupitiliza ni hatari kwa afya yako, au uvutaji wa sigara ni hatari kwa afya yako

Epuka kuwa na rafiki/mpenzi ambaye ahadi zenu mnakutana baa
Hapa sawa Mkuu
 
mimi binafsi starehe yangu urembo.
nikienda hivi mfano club ikitokea bahati mbaya, naweza kutaka kuzimia maana ile hewa ya mule ni pombe za kila aina.
nikikaa na mtu wa karibu labda anakunywa akiongea kichwa kinaniuma chote. yaniii[emoji22][emoji22][emoji22]
 
Hunaakili kwahiyo unadhani pombe ndio starehee wenzako tunakula ngada
 
Starehe ni pale mambo yanavyo enda kama nilivyopanga
 
Aisee kurud home kucheza na ma kids wngu,,weeeeh wapo wawili wananichangia mpira,bas nawaachia wanifunge huko home kuna kua na furaha hatar,,yaan hakuna nachopenda kama hicho,,siku nikiumwa kuna kua na ukimya kama hakuishi watu vile bt yte kwa yte raha najipa mwenyewe
 
true that that lakin kumbuka kila kitu ukizidisha ni mbaya kwako, ukizidisha Gaming at the end of the day u will still be leaving at ur Mamas house playing fifa or God of war...
 
Back
Top Bottom