Hivi Ramadhani ni mwezi wa kula Sana au wa kufunga?

Hivi Ramadhani ni mwezi wa kula Sana au wa kufunga?

Ikitotanzila

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2020
Posts
1,409
Reaction score
2,263
Ukiangalia huku uswahilini mama ntilie wanafurahia Sana mwezi wa ramadhani Mana watauza Sana kuliko miezi mingine. Sasa logically Ni kwamba mwezi wa ramadhani Ni mwezi wa kula mno/Sana na tunadanganywa kwamba ni kufunga.

Ukiangalia hata waislamu wenyewe wanafurahia Sana wakati ki ukweli mateso huwezi kuyafurahia hata iweje Mana hata yesu aliyaogopa ndo Mana alisema ikiwezekana kikombe hiki kiniepuke.
 
Hapo hakuna mfungo ,watu wanabadili usiku inakuwa mchana mchana inakuwa usiku kwenye kula ....

Sasa jion unakuta saa moja hio ...

Wanakula futali ,uji + tambi+ viazi+ magimbi + chapati +juice.....

Bado ikifika usiku saa kumi ,wanaanka kula wali + nyama + samaki + viazi+ wanashushia na juice ...

Bado hapo katikati saa nne Hadi saa tano usiku ni mwendo wa kula tuuu ....

ikifika asubuhi et hawali wamefunga [emoji23],wakati kwa hali ya kawaida mavyakula umeyokula yote hayo asubuhi huwezi sikia njaa hata mchana labda jion Sana ,ambapo wanakula tena[emoji23][emoji23][emoji23]

Wanatuchezea akili Hawa et mfungo [emoji1787]
 
Ukiangalia huku uswahilini mama ntilie wanafurahia Sana mwezi wa ramadhani Mana watauza Sana kuliko miezi mingine. Sasa logically Ni kwamba mwezi wa ramadhani Ni mwezi wa kula mno/Sana na tunadanganywa kwamba ni kufunga.

Ukiangalia hata waislamu wenyewe wanafurahia Sana wakati ki ukweli mateso huwezi kuyafurahia hata iweje Mana hata yesu aliyaogopa ndo Mana alisema ikiwezekana kikombe hiki kiniepuke.
Ni hatari sn
 
Hapo hakuna mfungo ,watu wanabadili usiku inakuwa mchana mchana inakuwa usiku kwenye kula ....

Sasa jion unakuta saa moja hio ...

Wanakula futali ,uji + tambi+ viazi+ magimbi + chapati +juice.....

Bado ikifika usiku saa kumi ,wanaanka kula wali + nyama + samaki + viazi+ wanashushia na juice ...

Bado hapo katikati saa nne Hadi saa tano usiku ni mwendo wa kula tuuu ....

ikifika asubuhi et hawali wamefunga [emoji23],wakati kwa hali ya kawaida mavyakula umeyokula yote hayo asubuhi huwezi sikia njaa hata mchana labda jion Sana ,ambapo wanakula tena[emoji23][emoji23][emoji23]

Wanatuchezea akili Hawa et mfungo [emoji1787]
Hivi na maji hawanywi?
 
Back
Top Bottom