Hivi Ramadhani ni mwezi wa kula Sana au wa kufunga?

Hivi Ramadhani ni mwezi wa kula Sana au wa kufunga?

Hapo hakuna mfungo ,watu wanabadili usiku inakuwa mchana mchana inakuwa usiku kwenye kula ....

Sasa jion unakuta saa moja hio ...

Wanakula futali ,uji + tambi+ viazi+ magimbi + chapati +juice.....

Bado ikifika usiku saa kumi ,wanaanka kula wali + nyama + samaki + viazi+ wanashushia na juice ...

Bado hapo katikati saa nne Hadi saa tano usiku ni mwendo wa kula tuuu ....

ikifika asubuhi et hawali wamefunga [emoji23],wakati kwa hali ya kawaida mavyakula umeyokula yote hayo asubuhi huwezi sikia njaa hata mchana labda jion Sana ,ambapo wanakula tena[emoji23][emoji23][emoji23]

Wanatuchezea akili Hawa et mfungo [emoji1787]
Nini maana ya kufunga
 
Ukiangalia huku uswahilini mama ntilie wanafurahia Sana mwezi wa ramadhani Mana watauza Sana kuliko miezi mingine. Sasa logically Ni kwamba mwezi wa ramadhani Ni mwezi wa kula mno/Sana na tunadanganywa kwamba ni kufunga.

Ukiangalia hata waislamu wenyewe wanafurahia Sana wakati ki ukweli mateso huwezi kuyafurahia hata iweje Mana hata yesu aliyaogopa ndo Mana alisema ikiwezekana kikombe hiki kiniepuke.
Ramadhani ni mwezi wa kujizuia kula na kunywa kwa muda wa mchana tu.
 
Ukiangalia huku uswahilini mama ntilie wanafurahia Sana mwezi wa ramadhani Mana watauza Sana kuliko miezi mingine. Sasa logically Ni kwamba mwezi wa ramadhani Ni mwezi wa kula mno/Sana na tunadanganywa kwamba ni kufunga.

Ukiangalia hata waislamu wenyewe wanafurahia Sana wakati ki ukweli mateso huwezi kuyafurahia hata iweje Mana hata yesu aliyaogopa ndo Mana alisema ikiwezekana kikombe hiki kiniepuke.
Makobazi watakulaani
 
Ukiangalia huku uswahilini mama ntilie wanafurahia Sana mwezi wa ramadhani Mana watauza Sana kuliko miezi mingine. Sasa logically Ni kwamba mwezi wa ramadhani Ni mwezi wa kula mno/Sana na tunadanganywa kwamba ni kufunga.

Ukiangalia hata waislamu wenyewe wanafurahia Sana wakati ki ukweli mateso huwezi kuyafurahia hata iweje Mana hata yesu aliyaogopa ndo Mana alisema ikiwezekana kikombe hiki kiniepuke.
Kwanza wewe juha, Uswahili ndiowap? Sema wazi tu huku kwa Waislam.

Kufunga ni nani alikudanganya kuwa ni mateso?

Kufunga ni ibada kama zilivyo ibada nyingine na hakuna ibada yenye mateso.


Mwezi mtukufu wa Ramadhan kufunga kuna muda wake maalum, nje ya muda huo kula uwezavyo na jinsi ulivyojaaliwa. Kila anaefunga hata wakati wa kuruhusiwa kula basi hula kwa kiasi chake na hali kupita kiasi kama unavyotaka ieleweke, si atavimbiwa.

Acha ujinga na chuki zako za kijinga. Kama wewe hufungi usifunge lakini tuwache Waislam na ibada zetu, usituingilie wala usitutafute kwa chokochoko zako za kijinga.


Wewe mtu akila, anakula chako? Sema unahamu ya futari za Waislam, kitu ambacho huwezi wala hujuwi kupika kwake. Wewe umezzowea dona kutwa mara tatu, achana kabisa kuchokonoa Waislam. Watu kama wewe ndio sumu kwenye jamii.

Wewe kinakuuma nini? Au kinakuwasha nini?
 
Hapo hakuna mfungo ,watu wanabadili usiku inakuwa mchana mchana inakuwa usiku kwenye kula ....

Sasa jion unakuta saa moja hio ...

Wanakula futali ,uji + tambi+ viazi+ magimbi + chapati +juice.....

Bado ikifika usiku saa kumi ,wanaanka kula wali + nyama + samaki + viazi+ wanashushia na juice ...

Bado hapo katikati saa nne Hadi saa tano usiku ni mwendo wa kula tuuu ....

ikifika asubuhi et hawali wamefunga [emoji23],wakati kwa hali ya kawaida mavyakula umeyokula yote hayo asubuhi huwezi sikia njaa hata mchana labda jion Sana ,ambapo wanakula tena[emoji23][emoji23][emoji23]

Wanatuchezea akili Hawa et mfungo [emoji1787]
Wewe inakuuma nini hata useme wanakuchezea akili? Una akili ipi ya kuchezewa wewe punguani?

Ibada ya Waislam wewe kinakuwasha nini?
 
Hapo hakuna mfungo ,watu wanabadili usiku inakuwa mchana mchana inakuwa usiku kwenye kula ....

Sasa jion unakuta saa moja hio ...

Wanakula futali ,uji + tambi+ viazi+ magimbi + chapati +juice.....

Bado ikifika usiku saa kumi ,wanaanka kula wali + nyama + samaki + viazi+ wanashushia na juice ...

Bado hapo katikati saa nne Hadi saa tano usiku ni mwendo wa kula tuuu ....

ikifika asubuhi et hawali wamefunga [emoji23],wakati kwa hali ya kawaida mavyakula umeyokula yote hayo asubuhi huwezi sikia njaa hata mchana labda jion Sana ,ambapo wanakula tena[emoji23][emoji23][emoji23]

Wanatuchezea akili Hawa et mfungo [emoji1787]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Ukiangalia huku uswahilini mama ntilie wanafurahia Sana mwezi wa ramadhani Mana watauza Sana kuliko miezi mingine. Sasa logically Ni kwamba mwezi wa ramadhani Ni mwezi wa kula mno/Sana na tunadanganywa kwamba ni kufunga.

Ukiangalia hata waislamu wenyewe wanafurahia Sana wakati ki ukweli mateso huwezi kuyafurahia hata iweje Mana hata yesu aliyaogopa ndo Mana alisema ikiwezekana kikombe hiki kiniepuke.
Kula kwa fujo bila kuzingatia afya na kungononeka usiku baada ya kula daku
 
Watu tunashindwa kuelewa kitu hapa yani mfungo wa kwaresma ni tofauti kabisa na ramadhan sababu kwaresma kufunga kwake sio kula tu unaweza ukala kiasi kidogo sana mchana hadi usiku lakini matendo ndio yanaangaziwa zaidi lakini kuna jamaa hapo juu kasema ramadhan nu kujizuia kula kwa muda wa kutoka jua hadi kuzama ndio maan jua likizama wanaruhusiwa kula kwa kiasi chochote kimtoshacho mtu husika, rejea #24
 
Kilio kwa wauza bidhaa masokoni kitarudi upya! Maana wateja wao wakuu kuanzia leo mtaanza sasa kula kwa kiwango cha kawaida kama sisi wenzenu, hivyo na mahitaji ya bidhaa za chakula nayo yatapungua.

Yale masuala yetu ya kusindilia na kufukia shehena ya chakula usiku kucha yatasimama! mpaka mwakaniii! Shughuli inaanza tena.

Hongereni sana kwa kumaliza mfungo, huku mashavu yakiwa yamewajaa kweli kweli 🤓
Mimi ni kafiri ila sio kama wewe, mana kafiri wa aina yako na mpumbavu hawana tofauti, mana wote hamna ubongo wa kuelewa somo lolote lile. Tumeshaambiwa kuwa mfungo wa mwezi Ramadhani ni ibada ya waislamu pamoja na mambo mengine pia inahusu kujizuia kula tokea jua linapochomoza hadi jua linapozama. Usiku ni ruhusa kula na kunywa wapendavyo. Sasa ulitaka wafate matakwa yako wawe wanafunga na usiku pia? Kwa kweli ukafiri wa aina yako ni kazi sana.
 
Kilio kwa wauza bidhaa masokoni kitarudi upya! Maana wateja wao wakuu kuanzia leo mtaanza sasa kula kwa kiwango cha kawaida kama sisi wenzenu, hivyo na mahitaji ya bidhaa za chakula nayo yatapungua.

Yale masuala yetu ya kusindilia na kufukia shehena ya chakula usiku kucha yatasimama! mpaka mwakaniii! Shughuli inaanza tena.

Hongereni sana kwa kumaliza mfungo, huku mashavu yakiwa yamewajaa kweli kweli [emoji851]
Watu wachokozi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Sawa ndugu Kinyesi. Nimekuelewa.
Mkuu mbona unaonekana una chuki sana dhidi ya hawa ndugu zetu Waislamu!

Ama kuna Sheikh aliku-Firaga akakuacha mataa ndio unatoa hasira zako hapa.
 
Mkuu mbona unaonekana una chuki sana dhidi ya hawa ndugu zetu Waislamu!

Ama kuna Sheikh aliku-Firaga akakuacha mataa ndio unatoa hasira zako hapa.
Kwa hiyo hao Masheikh wana tabia ya kuwafiranga siyo! Tuanzie na wewe kwanza. Maana mimi sina kabisa ukaribu na watu wa aina yenu.
 
Back
Top Bottom