Hivi Ramadhani ni mwezi wa kula Sana au wa kufunga?

Hivi Ramadhani ni mwezi wa kula Sana au wa kufunga?

Ngoja waje waarabu wa buza...jiandae kwa povu lao mana leo ni wanaita chungu cha mwisho wanahasira kama mbogo aliyejeruhiwa.


#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa Miungu ila nyie mnamtimizia Mungu, bora hao wamejatibu lakini kama kuna wakristo wanaomudu alau huko kushinda na njaa kwa masaa ambayo Waislamu hushinda nayo. basi ni asilimia 10 tu, wengi huwezi kuwatofautisha na wanyama hakuna pa kukumkumbuka Mungu full time.

Faida wazipatazo Waislamu ingawa wanashinda na njaa, kile kitendo cha kushinda na njaa kwa ajili ya Mungu, Mungu anawatambua kuwa hawa wanashinda na njaa kwa ajiri yangu.

Mwenye njaa kiasi mwili huwa dhaifu hivyo kwenye matukio mengi hasa mabaya huyu humuepuka, anapokumbuka nashinda na njaa kwa ajili ya Mungu

Mtanzania mwenye asili ya Utanzania kabisa, ukiachana na Wazamiaji maana siku hizi nchi ina watu wengi wasio Watanzania waliojipenyeza na kuishi kinyemela.
Ila kwa Watanzania tunajuana, kuwa Tuna imani mbili kuu, na kila inaheshimu imani nyingine.
Maana Bibilia siyo Quran, Wala Qurani siyo bibilia.
 
Hamna mnapofunga, mnabadilisha tu ratiba ya kula.
Usiku unakua mchana na mchana unakua usiku.

Na ramadhani ndio mnakulaga sana kuliko siku za kawaida
Usichokijua hao waislamu yesu wanamchulia kama wewe hana mamlaka nao kwenye imani yao, ila wewe unataka Waislamu wafunge, kufuata maagizo ya yesu.

Hali Wakristo wengi hawawezi.
 
Kubadirisha mda wa Kula Cha mchana tunakula usiku
 
Halafu na wewe Bi Mkubwa, muda huu unatakiwa uwe kwenye swala ya Eid, au uwe umetingwa kweli kweli kuandaa maakuli kwa ajili ya familia yako hapo baadaye!

Haya mambo ya kujibizana na Makafir humu, huoni yatasababisha ushindwe kutimiza majukumu yako mengine?
Una miezi mingapi hujaingiziwa Bomba?
 
Hamna mnapofunga, mnabadilisha tu ratiba ya kula.
Usiku unakua mchana na mchana unakua usiku.

Na ramadhani ndio mnakulaga sana kuliko siku za kawaida
Wewe kama umeipenda funga ya Ramadhan na unaona hatufungi inavyotakiwa, rudi tu kwenye Uislam, uifate inavyotakiwa, utuoneshe kwa vitendo si kwa porojo.

Yanini kuandikia mate na wini upo.
 
Vipofu waache wajadili wenyewe usiwaingilie.Mleta uzi huna ulijualo katika hii dini bali umetuwasilishia uzwazwa ili upate comment zetu.
Kwa taarifa yako hii sio dini ya kiandikiana barua za waraka kwa petro au Fulani fulani[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Usichokijua hao waislamu yesu wanamchulia kama wewe hana mamlaka nao kwenye imani yao, ila wewe unataka Waislamu wafunge, kufuata maagizo ya yesu.

Hali Wakristo wengi hawawezi.
Wapi nimesema hayo?
 
Wewe kama umeipenda funga ya Ramadhan rudi tu kwenye Uislam, uifate inavyotakiwa.
Ngoja niendelee kutafakari. Huwezi jua! Unashangaa tu nimerudi kwenye dini ya haki, nachukua wake wangu wanne! Natulia zangu raha mustarehe.

Allah anipe nini tena zaidi ya hivyo! Nitakuwa namswalia Allah mara 5 kwa siku! Nitakuwa Mfuasi wa Mtume Muhammad SAW! Nitakuwa nafunga Ramadhan zote!


Nitaenda siku moja kuhiji Mecca, Insha Allah! Ili kutimiza nguzo tano za Uislam!
 
Back
Top Bottom