Hivi Ramadhani ni mwezi wa kula Sana au wa kufunga?

Hivi Ramadhani ni mwezi wa kula Sana au wa kufunga?

Kuna ukwel kdg kipnd iki cha mfungo familia za kiislamu bajeti ya chakula huwa ni kubwa kuzidi kipnd kingne chochote cha mwaka
Ni kweli bajet inakuwa kubwa mwezi wa Ramadhani kwa sababu wanawaalika wasiojiweza kufturu nao , ni mwezi wa kusheya na wengine wasiobahatika, ndo maana ukaitwa Mwezi mtukufu
 
Islam is aworld religion like it or hate by 2050 half European population will pronounce "laillah illah muhammad rasullullah" the famous kalimah shahadah.
IMG-20220503-WA0023.jpg
IMG-20220503-WA0019.jpg
IMG-20220503-WA0020.jpg
IMG-20220503-WA0024.jpg
IMG-20220503-WA0021.jpg
IMG-20220503-WA0018.jpg
IMG-20220503-WA0016.jpg
IMG-20220503-WA0022.jpg
IMG-20220503-WA0013.jpg
IMG-20220503-WA0014.jpg
IMG-20220503-WA0017.jpg
IMG-20220503-WA0032.jpg
 

Attachments

  • IMG-20220503-WA0021.jpg
    IMG-20220503-WA0021.jpg
    38.5 KB · Views: 7
  • IMG-20220503-WA0018.jpg
    IMG-20220503-WA0018.jpg
    64.9 KB · Views: 7
Ukiangalia huku uswahilini mama ntilie wanafurahia Sana mwezi wa ramadhani Mana watauza Sana kuliko miezi mingine. Sasa logically Ni kwamba mwezi wa ramadhani Ni mwezi wa kula mno/Sana na tunadanganywa kwamba ni kufunga.

Ukiangalia hata waislamu wenyewe wanafurahia Sana wakati ki ukweli mateso huwezi kuyafurahia hata iweje Mana hata yesu aliyaogopa ndo Mana alisema ikiwezekana kikombe hiki kiniepuke.
Usiku ni ma-bufeee
 
Sio kitimoto tu hata vibaka, watumia madawa, mashoga, wasagaji, wauza madawa, wauza uchi wataongezeka maana wengi wao walifunga
Hata hawa walifunga...

licha ya vichwa vya habari kuhusu "lobi ya mashoga" yenye nguvu ndani ya Vatikani, na Papa mpya anayeahidi mageuzi, makadinali mashoga wa Kanisa Katoliki, watawa, na makasisi wengine wanaishi katika ulimwengu wa siri uliofichwa. Huko Roma, mwandishi anajifunza jinsi wanavyopitia kitendawili hatari cha maisha yao.


 
Ukiangalia huku uswahilini mama ntilie wanafurahia Sana mwezi wa ramadhani Mana watauza Sana kuliko miezi mingine. Sasa logically Ni kwamba mwezi wa ramadhani Ni mwezi wa kula mno/Sana na tunadanganywa kwamba ni kufunga.

Ukiangalia hata waislamu wenyewe wanafurahia Sana wakati ki ukweli mateso huwezi kuyafurahia hata iweje Mana hata yesu aliyaogopa ndo Mana alisema ikiwezekana kikombe hiki kiniepuke.
Kula sana
 
Hapo hakuna mfungo ,watu wanabadili usiku inakuwa mchana mchana inakuwa usiku kwenye kula ....

Sasa jion unakuta saa moja hio ...

Wanakula futali ,uji + tambi+ viazi+ magimbi + chapati +juice.....

Bado ikifika usiku saa kumi ,wanaanka kula wali + nyama + samaki + viazi+ wanashushia na juice ...

Bado hapo katikati saa nne Hadi saa tano usiku ni mwendo wa kula tuuu ....

ikifika asubuhi et hawali wamefunga [emoji23],wakati kwa hali ya kawaida mavyakula umeyokula yote hayo asubuhi huwezi sikia njaa hata mchana labda jion Sana ,ambapo wanakula tena[emoji23][emoji23][emoji23]

Wanatuchezea akili Hawa et mfungo [emoji1787]
Fanya nawe wiki kisha leta mrejesho
 
Back
Top Bottom