Hivi Ramadhani ni mwezi wa kula Sana au wa kufunga?

Hivi Ramadhani ni mwezi wa kula Sana au wa kufunga?

Chuki haileti maendeleo ila kuita mtu kafiri kunaleta. Juha wewe
Kwani maana ya kafiri uijuavyo wewe ni nini?

Nijuavyo mimi ni mpingaji, anampinga hata Mungu.

Sasa mtu anaeuliza kwanini unafunga mchana halafu usiku unakula sana, huyo ni kafiri tu. Anashindana na Mwenyezi Mungu aliyeweka wazi muda wa kufunga na muda wa kula na kufanya mengine yote ambayo umezuiliwa kiyafanya wakati wa kufunga katika Mwezi wa Ramadhani. Mwenyei Mungu hakuweka kipimo cha mtu kula. Soma...

Qur'an 2:
2_183.gif

183. Enyi mlio amini! Mmeandikiwa Saumu, kama waliyo andikiwa walio kuwa kabla yenu ili mpate kuchamngu. 183




2_184.gif

184. (Mfunge) siku maalumu za kuhisabika. Na atakaye kuwa miongoni mwenu mgonjwa au yumo safarini basi atimize hisabu katika siku nyengine. Na wale wasio weza, watoe fidiya kwa kumlisha masikini. Na atakaye fanya wema kwa kujitolea, basi ni bora kwake. Na mkifunga ni bora kwenu, kama mnajua. 184




2_185.gif

185. Mwezi wa Ramadhani ambao imeteremshwa humo Qur'ani kuwa ni uwongofu kwa watu, na hoja zilizo wazi za uwongofu na upambanuzi. Basi ataye kuwa mjini katika mwezi huu naafunge. Na mwenye kuwa mgonjwa au safarini, basi atimize hisabu katika siku nyengine. Mwenyezi Mungu anakutakieni yaliyo mepesi wala hakutakieni yaliyo mazito, na mtimize hiyo hisabu, na mumtukuze Mwenyezi Mungu kwa kuwa amekuongoeni ili mpate kushukuru. 185




2_186.gif

186. Na waja wangu watakapo kuuliza khabari zangu, waambie kuwa Mimi nipo karibu. Naitikia maombi ya mwombaji anapo niomba. Basi na waniitikie Mimi, na waniamini Mimi, ili wapate kuongoka. 186
 
Wapi ulipoambiwa mtu anaweza kuugeuza usiku kuwa mchana na mchana kuwa usiku? Au ni fikra zako tu?

Ni ujuha tu kuwa na dhanna hiyo.
Halafu na wewe Bi Mkubwa, muda huu unatakiwa uwe kwenye swala ya Eid, au uwe umetingwa kweli kweli kuandaa maakuli kwa ajili ya familia yako hapo baadaye!

Haya mambo ya kujibizana na Makafir humu, huoni yatasababisha ushindwe kutimiza majukumu yako mengine?
 
Halafu na wewe Bi Mkubwa, muda huu unatakiwa uwe kwenye swala ya Eid, au uwe umetingwa kweli kweli kuandaa maakuli kwa ajili ya familia yako hapo baadaye!

Haya mambo ya kujibizana na Makafir humu, huoni yatasababisha ushindwe kutimiza majukumu yako mengine?
Hiyo Eid ipi inayosaliwa saa nne asubuhi? Halafu kwa ufinyu wa fikra zako za upunguani unafikiri watu wote wanaoingia JF wapo jirani yako.

Ujinga ni mzigo.
 
Umechelewa jamvini karamu imeshaliwa.

Naamini kafiri wa leo ndiye Muumini wa kesho.
Wewe Bibi acha uchoyo! Fanya kutualika basi ili tuje tule Eid! Leo ndiyo siku ya kuhitimisha karamu. Ni mwendo wa kula na kusaza siku nzima.
 
Ukiangalia huku uswahilini mama ntilie wanafurahia Sana mwezi wa ramadhani Mana watauza Sana kuliko miezi mingine. Sasa logically Ni kwamba mwezi wa ramadhani Ni mwezi wa kula mno/Sana na tunadanganywa kwamba ni kufunga.

Ukiangalia hata waislamu wenyewe wanafurahia Sana wakati ki ukweli mateso huwezi kuyafurahia hata iweje Mana hata yesu aliyaogopa ndo Mana alisema ikiwezekana kikombe hiki kiniepuke.
Usichokielewa Waislamu asilimia 90, mwezi wa ramadhani wanaupa heshima hivyo wengi hufunga, ndiyo maana mama mtilie jioni huuza sana futari kwa Waislamu amba wako mbali na wenzio wao masingo, na hata kwa baadhi ya Wakristo ambao wanataka kula chakula chepesi usiku.

Kwa wakristo hili huwezi kuliona, Maana wanaofunga kweresma ni asilimia 10 tu, wengi wao wanaungana kwenye Sherehe ya pasaka tu.

Nina rafiki yangu niko nae ofisini, dhehebu mlokole, huyu jamaa kipindi chote cha kwaresma alikua anafunga, ila kuna siku kaja Dada mmoja, akasema uzuri wa sisi wakristo hatuna muda maalumu wa kufunga unaweza ukafunga hata kwa saa moja tu.
 
Kwanza wewe juha, Uswahili ndiowap? Sema wazi tu huku kwa Waislam.

Kufunga ni nani alikudanganya kuwa ni mateso?

Kufunga ni ibada kama zilivyo ibada nyingine na hakuna ibada yenye mateso.


Mwezi mtukufu wa Ramadhan kufunga kuna muda wake maalum, nje ya muda huo kula uwezavyo na jinsi ulivyojaaliwa. Kila anaefunga hata wakati wa kuruhusiwa kula basi hula kwa kiasi chake na hali kupita kiasi kama unavyotaka ieleweke, si atavimbiwa.

Acha ujinga na chuki zako za kijinga. Kama wewe hufungi usifunge lakini tuwache Waislam na ibada zetu, usituingilie wala usitutafute kwa chokochoko zako za kijinga.


Wewe mtu akila, anakula chako? Sema unahamu ya futari za Waislam, kitu ambacho huwezi wala hujuwi kupika kwake. Wewe umezzowea dona kutwa mara tatu, achana kabisa kuchokonoa Waislam. Watu kama wewe ndio sumu kwenye jamii.

Wewe kinakuuma nini? Au kinakuwasha nini?
Hamna mnapofunga, mnabadilisha tu ratiba ya kula.
Usiku unakua mchana na mchana unakua usiku.

Na ramadhani ndio mnakulaga sana kuliko siku za kawaida
 
Back
Top Bottom