Bravo Mike
JF-Expert Member
- Apr 14, 2014
- 548
- 631
Ni kweli bajet inakuwa kubwa mwezi wa Ramadhani kwa sababu wanawaalika wasiojiweza kufturu nao , ni mwezi wa kusheya na wengine wasiobahatika, ndo maana ukaitwa Mwezi mtukufuKuna ukwel kdg kipnd iki cha mfungo familia za kiislamu bajeti ya chakula huwa ni kubwa kuzidi kipnd kingne chochote cha mwaka
Mashoga huwa mnajulikana kwa haraka sana. Mada inahusu kufunga Ramadhan, wewe unawaza kuingizwa bomba.Una miezi mingapi hujaingiziwa Bomba?
Sio kitimoto tu hata vibaka, watumia madawa, mashoga, wasagaji, wauza madawa, wauza uchi wataongezeka maana wengi wao walifungaNi kula tu, na ndio maana sasa hivi kitimoto kitaanza kuuzika tena
Usiku ni ma-bufeeeUkiangalia huku uswahilini mama ntilie wanafurahia Sana mwezi wa ramadhani Mana watauza Sana kuliko miezi mingine. Sasa logically Ni kwamba mwezi wa ramadhani Ni mwezi wa kula mno/Sana na tunadanganywa kwamba ni kufunga.
Ukiangalia hata waislamu wenyewe wanafurahia Sana wakati ki ukweli mateso huwezi kuyafurahia hata iweje Mana hata yesu aliyaogopa ndo Mana alisema ikiwezekana kikombe hiki kiniepuke.
Sunni or Shah?Islam is aworld religion like it or hate by 2050 half European population will pronounce "laillah illah muhammad rasullullah" the famous kalimah shahadah.View attachment 2209629View attachment 2209630View attachment 2209631View attachment 2209632View attachment 2209633View attachment 2209636View attachment 2209637View attachment 2209638View attachment 2209639View attachment 2209641View attachment 2209647View attachment 2209648
No matter all are muslimu they pronounce same kalimah shahadahSunni or Shah?
Hata hawa walifunga...Sio kitimoto tu hata vibaka, watumia madawa, mashoga, wasagaji, wauza madawa, wauza uchi wataongezeka maana wengi wao walifunga
Madhara ya kutumia kichwa kufugia nywele ndio haya sasaNi kula tu, na ndio maana sasa hivi kitimoto kitaanza kuuzika tena
Kafiri sio chuki ni jina walopewa kila asokua Muislamu.mna kila asie Muislamu ni KAFIRIChuki haileti maendeleo ila kuita mtu kafiri kunaleta. Juha wewe
Sawa,muhimu kuheshimiana humu jukwaaniUislam sio ugomvi mkuu. Acha kuutia doa
Sawa bossMnafunga au mnashinda njaa tu ili usiku mle sana,hamna lolote lost souls.
Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
Kula sanaUkiangalia huku uswahilini mama ntilie wanafurahia Sana mwezi wa ramadhani Mana watauza Sana kuliko miezi mingine. Sasa logically Ni kwamba mwezi wa ramadhani Ni mwezi wa kula mno/Sana na tunadanganywa kwamba ni kufunga.
Ukiangalia hata waislamu wenyewe wanafurahia Sana wakati ki ukweli mateso huwezi kuyafurahia hata iweje Mana hata yesu aliyaogopa ndo Mana alisema ikiwezekana kikombe hiki kiniepuke.
Badili nawe kama rahisiNi kipindi cha kubadilisha tu ratiba ya chakula. Badala ya kukandamiza mchana na kupumzika usiku, watu wanakandamiza usiku na kupumzika mchana.
Fanya nawe wiki kisha leta mrejeshoHapo hakuna mfungo ,watu wanabadili usiku inakuwa mchana mchana inakuwa usiku kwenye kula ....
Sasa jion unakuta saa moja hio ...
Wanakula futali ,uji + tambi+ viazi+ magimbi + chapati +juice.....
Bado ikifika usiku saa kumi ,wanaanka kula wali + nyama + samaki + viazi+ wanashushia na juice ...
Bado hapo katikati saa nne Hadi saa tano usiku ni mwendo wa kula tuuu ....
ikifika asubuhi et hawali wamefunga [emoji23],wakati kwa hali ya kawaida mavyakula umeyokula yote hayo asubuhi huwezi sikia njaa hata mchana labda jion Sana ,ambapo wanakula tena[emoji23][emoji23][emoji23]
Wanatuchezea akili Hawa et mfungo [emoji1787]