Ni yeye kama atahitaji kazi na ana willing ya kufanya kazi Jamii forum ni sawa, lakini kwa issue ya zawadi ni muhimu π π π[emoji23][emoji23][emoji23]
Apewe kazi huku sio
Aseee kumbe πππwapo/walikuwepo wengine wengi ni masuala ya mpito.
Salaam!
Nauliza japo sio kwa ubaya wanajukwaa na mods msinielewe vibaya kwa hilo swali.....
Ni mimi nina notice reactions za member raraa reree kwenye almost 80% ya post zangu au kuna na wengine, he/she is so active.
Kuna haka kamsemo kakina ngosha eti (in voice of ngosha) "shureni kwani urisomea ujinga" kananivutia sana π π π basi member huyu alisomea kureact kwani π
Nisiwachoshe sana wasomaji najiuliza how much time ana spent Jamii forum na anawezaje aisee to view kila thread.
With reference to this, moderators shall have to pay for his presence, I think he/she deserves an accolaide for greatness of his respondingπππππ π π π€π€π€π€
Subiri anakuja ku reactSalaam!
Nauliza japo sio kwa ubaya wanajukwaa na mods msinielewe vibaya kwa hilo swali.....
Ni mimi nina notice reactions za member raraa reree kwenye almost 80% ya post zangu au kuna na wengine, he/she is so active.
Kuna haka kamsemo kakina ngosha eti (in voice of ngosha) "shureni kwani urisomea ujinga" kananivutia sana π π π basi member huyu alisomea kureact kwani π
Nisiwachoshe sana wasomaji najiuliza how much time ana spent Jamii forum na anawezaje aisee to view kila thread.
With reference to this, moderators shall have to pay for his presence, I think he/she deserves an accolaide for greatness of his respondingπππππ π π π€π€π€π€
Wewe ni noma kaka hivi hujawahi chelewa kazini kisa jamii forum, tupe uzoefu πππKama mimi kazi zangu zote ni online, na naweza kaa online up to 14 hours a day, acha kuamka kwa alarm, jamii forum ni kama break yangu nikiwa natafakari.
π π€£π πSubiri anakuja ku react
Wewe ni noma kaka hivi hujawahi chelewa kazini kisa jamii forum, tupe uzoefu πππ
Jf mongers Tupo wengiπ€π€π€Salaam!
Nauliza japo sio kwa ubaya wanajukwaa na mods msinielewe vibaya kwa hilo swali.....
Ni mimi nina notice reactions za member raraa reree kwenye almost 80% ya post zangu au kuna na wengine, he/she is so active.
Kuna haka kamsemo kakina ngosha eti (in voice of ngosha) "shureni kwani urisomea ujinga" kananivutia sana π π π basi member huyu alisomea kureact kwani π
Nisiwachoshe sana wasomaji najiuliza how much time ana spent Jamii forum na anawezaje aisee to view kila thread.
With reference to this, moderators shall have to pay for his presence, I think he/she deserves an accolaide for greatness of his respondingπππππ π π π€π€π€π€
Nice oneNiligraduate chuo, nikaa nikapata CPA nikafanya kazi 8 months, sijawahi rudi kwenye ajira mpaka leo nina 55 years.
Ila kuna wakati naweza spend mda mwingi sana kwenye kazi kama ni eneo ugumu, wakati mwingine nachat huku napiga kazi.
ππππ π wale wale kina nani sijui Smart bila kumsahauMambo yao waachie wenyewe
πππ π hatimaye yametia nilitaka ukomenti.Sio kila mtu lazima afanye kazi π
Sio kwa ubaya lakn ni maoni tu π»
Watumishi wanakula pisi za jf kiulani maana member wote wanawajua π π πNafikiri wengine ni watumishi jf ππmaana ukirejea kuna post za miaka minne nyuma mtu ana"react karibu zote mpaka leo na hata kesho π³π³π³
Kwani shureni urisomea ujinga π π πUnampelekea ugali kwake?