kichakaa man
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 5,500
- 5,164
Hao usa na nato hawana cha kumfanya zaid ya mikwara tuNi swala la muda tu takwa la Russia kwenye mazungumzo yao na USA ni katazo la Ukraine isijiunge NATO USA amekataa takwa Hilo na Russia ameambiwa wazi hivyo vitu haviwezekani Ukraine kuzuiwa kujiunga NATO.... Russia Hana jipya this time atajua kuwa hajui....hifadhi maneno yangu
hiyo ukraine unayoiongelea usifikiri ni mtoto mdogo, hata kama russia ni super power lakini naye hawezi kufa kwa kipigo cha siku moja, atasumbua sana, pia NATO wana pua yao pale. ila kati ya mataifa maoga na ambayo sio ya kutegemea, la kwanza duniani ni urusi. urusi alijifanya yupo upande wa Gadafi, mwisho wa siku akakaa pembeni anaangalia tu akila za uso. urusi akajifanya yupo upande wa Asad akapeleka hadi silaha kule, mwisho wa siku Damascus imebaki magofu tu na watu wamekimbia nchi, russia hajafanya chochote. ujinga mtupu. angekuwa marekani akisema anatia mguu jua kuwa tayari ameshafika chumbani.Nimeona nije na hili wadau wenzangu, dunia inaelewa malengo na mahitaji ya Russia kwa nchi ya Ukraine yapo wazi sana swali ni kwanini amebaki mpakani??? sasa takriban mwezi., NATO wamekuwa wa wazi sana na hawapepesi kauli zao ni kwamba wanasubiri Russia waivamie Ukraine ndio na wao lile lengo lao litatimia kwa nilivyofahamu mimi.
Lakini kuna maswali najiuliza hasa kwa Russia., Ivi baada ya Marekani na NATO kuwahi kuingia Ukraine ki-ulinzi na kuwa tayari kujibu mara Urusi ikivamia Ukraine Na hata jana Biden amesema watajibu thabiti kama Russia akijaribu kuvamia tu- Ivi Russia ndio imekuwa na hofu kubwa kukamilisha adhma yake?
Tuseme ni sahihi kusema Russia analiogopa Jeshi la NATO lakini na Marekani licha ya majivuno mbali mbali ya Putini? mara nyingi nikiangalia Televisheni CNN naona bado Russia wanailalamikia Marekani kutokuwa tayari kwa mazungumzo, Na Kremlin mara kadhaa namsikia akisema hawana nia ya kuvamia Ukraine ivi ni kwanini hasa kauli hizi? Kuna nini nyuma ya Pazia la Russia? Kama hawana nia ya kuvamia wao wanafanya nini mpakani mwa Ukraine? au Tuseme wanalinda mpaka wao tu.
Earlier Russia walisema ni vita vita vita tu lakini kwa nini wamebaki mpakani wansubiri nini?
Nafkiri wadau hemu tujikiteni hapa kidogo tupate dondoo zenu katika hili
miaka 20 tangu aombe uwanachana lakini nato wanaiyogopa urusi mbona poland na hangury walipewa uwanachama chap chap dogo putin ni next level waulize georgiaNi swala la muda tu takwa la Russia kwenye mazungumzo yao na USA ni katazo la Ukraine isijiunge NATO USA amekataa takwa Hilo na Russia ameambiwa wazi hivyo vitu haviwezekani Ukraine kuzuiwa kujiunga NATO.... Russia Hana jipya this time atajua kuwa hajui....hifadhi maneno yangu
DuhWanatupotezea mda kama wanapigana wapigane tujue nan mbabe mapem kbs, japo......
UKRAINE kama akijiunga na NATO halaf RUSSIA asimpe kichapo naachana na kutumia JF inyeshe mvua liwake jua UKRAINE haruhusiwi kujiunga na NATO itaibuka hata vita yatatu ya dunia ila UKRAINE hataruhusiwa kujiunga na NATO hata kwa sekundeNi swala la muda tu takwa la Russia kwenye mazungumzo yao na USA ni katazo la Ukraine isijiunge NATO USA amekataa takwa Hilo na Russia ameambiwa wazi hivyo vitu haviwezekani Ukraine kuzuiwa kujiunga NATO.... Russia Hana jipya this time atajua kuwa hajui....hifadhi maneno yangu
Kiduku yeye anakwambia wee peleka jeshi lako mpakani,Kwan aliyeweka jeshi mpakani mwa mwenzie ni nan? Sipo upande wa mabeberu ila Russia anazingua sana kweny Inshu za Ukraine , usalama hauwekwi vile ajifunz kwa wenzie akina Iran , USA , China na Israel , kupeleka jeshi kweny mpaka wa mwenzio huo ni ukorofi , yaan Ukraine aogope kujifanyia maamuzi ya kitaifa kisa usalama wa Russia , si ubinafsi huo ? kwan Ukraine haiko huru ? Kiufupi madai ya Russia ni ya kipuuz sana
Unapenda sana watu wavamiwe wauawe? Wewe ukivamiwa utafurahi?Nimeona nije na hili wadau wenzangu, dunia inaelewa malengo na mahitaji ya Russia kwa nchi ya Ukraine yapo wazi sana swali ni kwanini amebaki mpakani??? sasa takriban mwezi., NATO wamekuwa wa wazi sana na hawapepesi kauli zao ni kwamba wanasubiri Russia waivamie Ukraine ndio na wao lile lengo lao litatimia kwa nilivyofahamu mimi.
Lakini kuna maswali najiuliza hasa kwa Russia., Ivi baada ya Marekani na NATO kuwahi kuingia Ukraine ki-ulinzi na kuwa tayari kujibu mara Urusi ikivamia Ukraine Na hata jana Biden amesema watajibu thabiti kama Russia akijaribu kuvamia tu- Ivi Russia ndio imekuwa na hofu kubwa kukamilisha adhma yake?
Tuseme ni sahihi kusema Russia analiogopa Jeshi la NATO lakini na Marekani licha ya majivuno mbali mbali ya Putini? mara nyingi nikiangalia Televisheni CNN naona bado Russia wanailalamikia Marekani kutokuwa tayari kwa mazungumzo, Na Kremlin mara kadhaa namsikia akisema hawana nia ya kuvamia Ukraine ivi ni kwanini hasa kauli hizi? Kuna nini nyuma ya Pazia la Russia? Kama hawana nia ya kuvamia wao wanafanya nini mpakani mwa Ukraine? au Tuseme wanalinda mpaka wao tu.
Earlier Russia walisema ni vita vita vita tu lakini kwa nini wamebaki mpakani wansubiri nini?
Nafkiri wadau hemu tujikiteni hapa kidogo tupate dondoo zenu katika hili
Russia ilishakua zilipendwa kwenye anga za kivita.Kama Mrusi aliweza kumzima Hitler hakika katika hii dunia hakuna wa kumtisha, kuhusu uchumi kuna watu huwa wanaishusha sana Urusi lakini wanajifanya kwamba hawajui kuwa Urusi Ipo vizuri katika supply ya product mbalimbali dunian na yupo kwenye rank za juu kabisa Lakini kubwa kuliko yote nikwamba KUHUSU VITA RUSSIA wapo vizur na wanafaham kuwa NATO iliundwa kwa ajili ya kupambana ba NATO hivyo matayrisho yake ni ya level ya kupambana na dunia.
Kuhusu mzigo wa silaha alizonazo PUTIN magharibi wanafahamu vyema kuwa pale kuna kisiki cha mpingo
Anaogopa motoNimeona nije na hili wadau wenzangu, dunia inaelewa malengo na mahitaji ya Russia kwa nchi ya Ukraine yapo wazi sana swali ni kwanini amebaki mpakani??? sasa takriban mwezi., NATO wamekuwa wa wazi sana na hawapepesi kauli zao ni kwamba wanasubiri Russia waivamie Ukraine ndio na wao lile lengo lao litatimia kwa nilivyofahamu mimi.
Lakini kuna maswali najiuliza hasa kwa Russia., Ivi baada ya Marekani na NATO kuwahi kuingia Ukraine ki-ulinzi na kuwa tayari kujibu mara Urusi ikivamia Ukraine Na hata jana Biden amesema watajibu thabiti kama Russia akijaribu kuvamia tu- Ivi Russia ndio imekuwa na hofu kubwa kukamilisha adhma yake?
Tuseme ni sahihi kusema Russia analiogopa Jeshi la NATO lakini na Marekani licha ya majivuno mbali mbali ya Putini? mara nyingi nikiangalia Televisheni CNN naona bado Russia wanailalamikia Marekani kutokuwa tayari kwa mazungumzo, Na Kremlin mara kadhaa namsikia akisema hawana nia ya kuvamia Ukraine ivi ni kwanini hasa kauli hizi? Kuna nini nyuma ya Pazia la Russia? Kama hawana nia ya kuvamia wao wanafanya nini mpakani mwa Ukraine? au Tuseme wanalinda mpaka wao tu.
Earlier Russia walisema ni vita vita vita tu lakini kwa nini wamebaki mpakani wansubiri nini?
Nafkiri wadau hemu tujikiteni hapa kidogo tupate dondoo zenu katika hili
Afghanistan ipi unayoizungumzia weee hii inayoongozwa na taleban ambayo US nashost zake wameikimbiaTukuondoa ubishi tunatakiwa kujua kwamba vita ni uchumi namanisha kwamba mwenye uchumi mkubwa ndiyo Huwa anashunda vita .Sasa angalieni kati ya NATO na Russia nani mwenye uchumi mkubwa.Vita inahitaji hela kuighalamia na inaweza chukua hata miaka 10 kuisha Sasa hapo kama una uchumi legevu lazima utashindwa tu.USA ndiyo super power wa DUNIA na pia Kumbukeni kapona na nchi mbili kwa wakati mmoja kwa zaidi ya miaka 20 lakini Bado yupo vizuri kiuchumi,Iraq na Afghanistan wamepigwa na USA kwa pamoja lakini Bado jamaa wako vizuri kiuchumi.
Kwa huu Mgogoro uliopo utaisha kwa mazungumzo tu Wala hakuna vita hapo maana wanaogopa hasara za vita.
Alitakiwa kujitathmini kabla, Gesi yake atamuuzia nani?Anaogopa moto
Rais wa Urusi Vladimir Putin ameishutumu Marekani kwa kujaribu kuisukimiza nchi yake kwenye vita na Ukraine.
Amesema lengo la Marekani lilikuwa kutumia mvutano huu kama kigezo cha kuweka vikwazo zaidi kwa Urusia.
Putin pia amesema Marekani imekuwa ikipuuzia wasiwasi uliyotolewa na Urusi kuhusu kuongezeka kwa vikosi vya NATO barani Ulaya.
Marekani na Muungano wa NATO unaishutumu Urusi kupanga kuivamia Ukraine huku Urusi ikikana mara zote.
Wakati huo huo Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky ametoa onyo kwa Urusi akisema uvamizi wowote wa nchi hiyo hautaishia kuwa vita kati ya Ukraine na Urusi bali vita kubwa na kamili ndani ya bara lote la Ulaya.
Urusi naona alkua anataka apewe assurances kuwa Ukraine hatakuwa NATO member, kitu ambayo USA hataweza kumpa hilo jibu,mbaya zaid kaonyesha kapeleka majesh yake mpakan na Ukraine ili awe kwenye position nzur ya kunegotiate na USA,ndio kaharibu, USA naye anapeleka wanajesh wake kwa allied nations na ana supply silaha kwa Ukraine in a broad daylight,kama Russia akikomaa kwa Ukraine hii vita itakua tofaut na zle za mwanzo.Nimeona nije na hili wadau wenzangu, dunia inaelewa malengo na mahitaji ya Russia kwa nchi ya Ukraine yapo wazi sana swali ni kwanini amebaki mpakani??? sasa takriban mwezi., NATO wamekuwa wa wazi sana na hawapepesi kauli zao ni kwamba wanasubiri Russia waivamie Ukraine ndio na wao lile lengo lao litatimia kwa nilivyofahamu mimi.
Lakini kuna maswali najiuliza hasa kwa Russia., Ivi baada ya Marekani na NATO kuwahi kuingia Ukraine ki-ulinzi na kuwa tayari kujibu mara Urusi ikivamia Ukraine Na hata jana Biden amesema watajibu thabiti kama Russia akijaribu kuvamia tu- Ivi Russia ndio imekuwa na hofu kubwa kukamilisha adhma yake?
Tuseme ni sahihi kusema Russia analiogopa Jeshi la NATO lakini na Marekani licha ya majivuno mbali mbali ya Putini? mara nyingi nikiangalia Televisheni CNN naona bado Russia wanailalamikia Marekani kutokuwa tayari kwa mazungumzo, Na Kremlin mara kadhaa namsikia akisema hawana nia ya kuvamia Ukraine ivi ni kwanini hasa kauli hizi? Kuna nini nyuma ya Pazia la Russia? Kama hawana nia ya kuvamia wao wanafanya nini mpakani mwa Ukraine? au Tuseme wanalinda mpaka wao tu.
Earlier Russia walisema ni vita vita vita tu lakini kwa nini wamebaki mpakani wansubiri nini?
Nafkiri wadau hemu tujikiteni hapa kidogo tupate dondoo zenu katika hili