Hivi serikali imeruhusu wasichana kucheza uchi wa mnyama kwenye kumbi za starehe? Hali inatisha!

Hivi serikali imeruhusu wasichana kucheza uchi wa mnyama kwenye kumbi za starehe? Hali inatisha!

Ni kweli kabisa, kuna sehemu Kila siku kuanzia saa saba wanawake wanacheza uchi kabisa...
 
Serikali kama haijaliona tatizo hili basi mimi Sexless nawapeni taarifa. Hali imekuwa mbaya sana kwenye kumbi na maeneo mengi ya starehe, wasichana wanacheza wakiwa uchi wa mnyama.

Kuna muda wanafika mahala wanaonesha mambo ya ngono laivu huku watu wakishangilia. Hali ni mbaya Sana.

Ni kwasababu tu nabanwa na vigezo na masharti ya JamiiForums , ningeliweza kuweka clip za videos na picha toka maeneo mbalimbali zikioneaha wasichana wakifanya mambo machafu hadharani.

Serikali ichukue hatua haraka.
Kabla ya wakoloni kutuleta nguo tulikuwa olmost tunatembea uchi, hakuna cha ajabu hapo
 
Serikali kama haijaliona tatizo hili basi mimi Sexless nawapeni taarifa. Hali imekuwa mbaya sana kwenye kumbi na maeneo mengi ya starehe, wasichana wanacheza wakiwa uchi wa mnyama.

Kuna muda wanafika mahala wanaonesha mambo ya ngono laivu huku watu wakishangilia. Hali ni mbaya Sana.

Ni kwasababu tu nabanwa na vigezo na masharti ya JamiiForums , ningeliweza kuweka clip za videos na picha toka maeneo mbalimbali zikioneaha wasichana wakifanya mambo machafu hadharani.

Serikali ichukue hatua haraka.
Kwani wanaoenda kwenye kumbi za starehe Wana umri gani?.. Tuanzie hapo mkuu
 
Mleta mada acha kuchanganya watu, hakuna kumbi ya starehe ambayo watu wanacheza uchi wa mnyama na kufanya ngono

ww umeona ile clip ya yule kijana aliyevaa jezi ya yanga ndo ukajumuisha kwamba ndo tabia inayofanyika kwenye kumbi za starehe

Kama sipo sahihi, taja hizo sehemu nyingine ulizoona watu wakicheza uchi wa mnyama tofauti na ile clip, kama huwezi kutaja basi hapakuwa na umuhimu wa kujadili kitu ambacho hatuna uhakika nacho na wala hatukuamini kwasababu hakuna ushahidi wa sehemu wala picha

Tanzania bado tupo nyuma sana kwenye hayo mambo, hatuna ustaarabu wa kuvumilia mambo kama hayo watu wangeliwa sana huko club.
 
Back
Top Bottom