Hivi serikali imeruhusu wasichana kucheza uchi wa mnyama kwenye kumbi za starehe? Hali inatisha!

Hivi serikali imeruhusu wasichana kucheza uchi wa mnyama kwenye kumbi za starehe? Hali inatisha!

Serikali kama haijaliona tatizo hili basi mimi Sexless nawapeni taarifa. Hali imekuwa mbaya sana kwenye kumbi na maeneo mengi ya starehe, wasichana wanacheza wakiwa uchi wa mnyama.

Kuna muda wanafika mahala wanaonesha mambo ya ngono laivu huku watu wakishangilia. Hali ni mbaya Sana.

Ni kwasababu tu nabanwa na vigezo na masharti ya JamiiForums , ningeliweza kuweka clip za videos na picha toka maeneo mbalimbali zikioneaha wasichana wakifanya mambo machafu hadharani.

Serikali ichukue hatua haraka.
Yanga ndio wana tabia hizo
 
Kuna ile moja wale wamevaa jezi za yanga 😅😅😅

Kuna ile ingine yule dada anaweka wine sijui whisky kwenye tigo aafu anapuliza 😅😅 alafu mchana kweupe

Dunia ishaisha aisee
Mkuu iyo ya jezi ya yanga naitafuta sana. Embu Fanya kampango niione
 
Serikali kama haijaliona tatizo hili basi mimi Sexless nawapeni taarifa. Hali imekuwa mbaya sana kwenye kumbi na maeneo mengi ya starehe, wasichana wanacheza wakiwa uchi wa mnyama.

Kuna muda wanafika mahala wanaonesha mambo ya ngono laivu huku watu wakishangilia. Hali ni mbaya Sana.

Ni kwasababu tu nabanwa na vigezo na masharti ya JamiiForums , ningeliweza kuweka clip za videos na picha toka maeneo mbalimbali zikioneaha wasichana wakifanya mambo machafu hadharani.

Serikali ichukue hatua haraka.
Usishangae sana hizo ndio waita Strip club.
Na Sasa hivi zimekuwa nyingi sana. Ndio maana hata upande wa Elimu wanaifeli wako wengi.
Wakiingia huko hakuna kusoma.
 
Tatizo ni nyie wanaume mnapenda kuona hivyo. Mngekuwa mkiwaona wakicheza hivyo mnawazomea na kuwapiga mawe kama ilivyo mtu akipita kariakoo basi hayo mambo yangepungua sana.
Umenikumbusha late 70s wazee wakiona mshichana kavaa suruali wanatuambia kamchapeni
Na hawakuvaa tena Enzi hizo

Ila kwa sasa ukimgusa mtoto baba yake anakuja juu maana anaona sawa tu
 
Kuna ile moja wale wamevaa jezi za yanga [emoji28][emoji28][emoji28]

Kuna ile ingine yule dada anaweka wine sijui whisky kwenye tigo aafu anapuliza [emoji28][emoji28] alafu mchana kweupe

Dunia ishaisha aisee
Mkuu nimekuPM boss[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Umenikumbusha late 70s wazee wakiona mshichana kavaa suruali wanatuambia kamchapeni
Na hawakuvaa tena Enzi hizo

Ila kwa sasa ukimgusa mtoto baba yake anakuja juu maana anaona sawa tu
Yani washaona wakiwaweka uchi wanaume watajaa kwenye bar kunywa pombe. So usitegemee hayo mambo kupungua ila yataonhezeka sana
 
Oya tuma mizigo hiyo kaka serikali ifanyie kazi sasa maneno tupu bila uthibitisho hakuna kesi hapo
 
Yani washaona wakiwaweka uchi wanaume watajaa kwenye bar kunywa pombe. So usitegemee hayo mambo kupungua ila yataonhezeka sana
Ni ulimbukeni na uchafu
Ubunifu ni zero zaidi ya hayo
Serikali haina Habari wala hawajali utakuta wakubwa wana shares humu wakitakatisha hela za wizi
 
Back
Top Bottom