Duduvwili
JF-Expert Member
- Jan 31, 2015
- 4,355
- 4,476
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sasa sheria za jeifeu hazikubani kwenye Pm. Em fanya maajabu jumamosi tulivu kama hii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sasa sheria za jeifeu hazikubani kwenye Pm. Em fanya maajabu jumamosi tulivu kama hii
Ndio wadau wa kutuza haoWewe ulikwenda kufanya nini huko kwenye kumbi za starehe?
Serikali kama haijaliona tatizo hili basi mimi Sexless nawapeni taarifa. Hali imekuwa mbaya sana kwenye kumbi na maeneo mengi ya starehe, wasichana wanacheza wakiwa uchi wa mnyama.
Kuna muda wanafika mahala wanaonesha mambo ya ngono laivu huku watu wakishangilia. Hali ni mbaya Sana.
Ni kwasababu tu nabanwa na vigezo na masharti ya JamiiForums , ningeliweza kuweka clip za videos na picha toka maeneo mbalimbali zikioneaha wasichana wakifanya mambo machafu hadharani.
Serikali ichukue hatua haraka.
Serikali ichukue hatua kwa starehe za watu wazima na akili zao timamu ambazo wewe au mimi hatulazimishwi hata kwenda huko ?
Ichukue hatua kwanza kwa mambo basic ambayo tunawalipa na wapo pale kuyatekeleza..., Nishati ya Uhakika, Kudhibiti mfumuko wa Bei, Kupunguza Rushwa, Uwajibikaji kwenye maofisi ya Umma n.k.
Hayo mengine mtajuana nyie na watoto wenu na wateja wenu kama hakuna wanaopenda hizo kumbi za starehe sidhani kama wanashikiwa bunduki ili waende au wewe sidhani kama umelazimishwa kuangalia hizo clip
Mtoto wa mwenzio ni wao. Tusaidiane kulijenga taifa bora
Kinachonishangaza ni Basata kutoliona Hilo kwenye nyimbo za bongofleva,yaani huwezi angalia muziki na watotoKuna ile moja wale wamevaa jezi za yanga 😅😅😅
Kuna ile ingine yule dada anaweka wine sijui whisky kwenye tigo aafu anapuliza 😅😅 alafu mchana kweupe
Dunia ishaisha aisee
Kama kuisha ingeisha zamani.Kuna ile moja wale wamevaa jezi za yanga 😅😅😅
Kuna ile ingine yule dada anaweka wine sijui whisky kwenye tigo aafu anapuliza 😅😅 alafu mchana kweupe
Dunia ishaisha aisee
UsijAl mie nitaiketa akishindwaLeta video moderators wataamua waifute au la.
Tutajuaje usemayo kama ni ya kweli ama uchochezi na kupotosha umma
Taja kumbi tuzifanyie kazi faster..Serikali kama haijaliona tatizo hili basi mimi Sexless nawapeni taarifa. Hali imekuwa mbaya sana kwenye kumbi na maeneo mengi ya starehe, wasichana wanacheza wakiwa uchi wa mnyama.
Kuna muda wanafika mahala wanaonesha mambo ya ngono laivu huku watu wakishangilia. Hali ni mbaya Sana.
Ni kwasababu tu nabanwa na vigezo na masharti ya JamiiForums , ningeliweza kuweka clip za videos na picha toka maeneo mbalimbali zikioneaha wasichana wakifanya mambo machafu hadharani.
Serikali ichukue hatua haraka.
Dooo ipo njoo kawee hawamwogopi hata Dk pemben akiwapa injili mbwa waleeee...Ilikua inaitwa Sasambu inavuliwa mpaka Chupi hadharani mchana kweupe na watu wanashangilia, ikapigwa marufuku sababu hadi watoto walikua wanaangalia jimama linamwajiga shanga kiunoni juu ya meza
Ulifuata nini night club?Serikali kama haijaliona tatizo hili basi mimi Sexless nawapeni taarifa. Hali imekuwa mbaya sana kwenye kumbi na maeneo mengi ya starehe, wasichana wanacheza wakiwa uchi wa mnyama.
Kuna muda wanafika mahala wanaonesha mambo ya ngono laivu huku watu wakishangilia. Hali ni mbaya Sana.
Ni kwasababu tu nabanwa na vigezo na masharti ya JamiiForums , ningeliweza kuweka clip za videos na picha toka maeneo mbalimbali zikioneaha wasichana wakifanya mambo machafu hadharani.
Serikali ichukue hatua haraka.
Swali zuri sana hili.Wewe ulikwenda kufanya nini huko kwenye kumbi za starehe?
Wewe si ndo Chawa mkubwa wa mama unalalamika Nini.Serikali kama haijaliona tatizo hili basi mimi Sexless nawapeni taarifa. Hali imekuwa mbaya sana kwenye kumbi na maeneo mengi ya starehe, wasichana wanacheza wakiwa uchi wa mnyama.
Kuna muda wanafika mahala wanaonesha mambo ya ngono laivu huku watu wakishangilia. Hali ni mbaya Sana.
Ni kwasababu tu nabanwa na vigezo na masharti ya JamiiForums , ningeliweza kuweka clip za videos na picha toka maeneo mbalimbali zikioneaha wasichana wakifanya mambo machafu hadharani.
Serikali ichukue hatua haraka.
Huu huu wa mnyama au?Namaanisha uchi mkuu
Mm siyo chawa wa mama. Lkn ukilinganisha kati ya mama na jiwe. Utagundua kuwa mama ni Kama malaika kwa MagufuliWewe si ndo Chawa mkubwa wa mama unalalamika Nini.
Tunakujua vizuri
Huenda hujui maana ya kuwa Chawa. Hujakuwepo kwenye ufunguzi wa kikundi chenu?Mm siyo chawa wa mama. Lkn ukilinganisha kati ya mama na jiwe. Utagundua kuwa mama ni Kama malaika kwa Magufuli