Hivi serikali imeruhusu wasichana kucheza uchi wa mnyama kwenye kumbi za starehe? Hali inatisha!

Hivi serikali imeruhusu wasichana kucheza uchi wa mnyama kwenye kumbi za starehe? Hali inatisha!

Hili sio suala la kiserikali.
Serikali kama haijaliona tatizo hili basi mimi Sexless nawapeni taarifa. Hali imekuwa mbaya sana kwenye kumbi na maeneo mengi ya starehe, wasichana wanacheza wakiwa uchi wa mnyama.

Kuna muda wanafika mahala wanaonesha mambo ya ngono laivu huku watu wakishangilia. Hali ni mbaya Sana.

Ni kwasababu tu nabanwa na vigezo na masharti ya JamiiForums , ningeliweza kuweka clip za videos na picha toka maeneo mbalimbali zikioneaha wasichana wakifanya mambo machafu hadharani.

Serikali ichukue hatua haraka.
 
Uko sahihi
Serikali ichukue hatua kwa starehe za watu wazima na akili zao timamu ambazo wewe au mimi hatulazimishwi hata kwenda huko ?

Ichukue hatua kwanza kwa mambo basic ambayo tunawalipa na wapo pale kuyatekeleza..., Nishati ya Uhakika, Kudhibiti mfumuko wa Bei, Kupunguza Rushwa, Uwajibikaji kwenye maofisi ya Umma n.k.

Hayo mengine mtajuana nyie na watoto wenu na wateja wenu kama hakuna wanaopenda hizo kumbi za starehe sidhani kama wanashikiwa bunduki ili waende au wewe sidhani kama umelazimishwa kuangalia hizo clip
 
Sasa mbona mafisadi wanaiba na kutumia vibaya kodi ambazo zingewasomesha elimu bora hao watoto na kuwasadia kupata kazi??!
Mtoto wa mwenzio ni wao. Tusaidiane kulijenga taifa bora
 
Kuna ile moja wale wamevaa jezi za yanga 😅😅😅

Kuna ile ingine yule dada anaweka wine sijui whisky kwenye tigo aafu anapuliza 😅😅 alafu mchana kweupe

Dunia ishaisha aisee
Kinachonishangaza ni Basata kutoliona Hilo kwenye nyimbo za bongofleva,yaani huwezi angalia muziki na watoto
 
Kuna ile moja wale wamevaa jezi za yanga 😅😅😅

Kuna ile ingine yule dada anaweka wine sijui whisky kwenye tigo aafu anapuliza 😅😅 alafu mchana kweupe

Dunia ishaisha aisee
Kama kuisha ingeisha zamani.
Haya marudio tu. Zamani watu wamefanya mazito bin zito kabwe.
 
Mkuu nimevutiwa na hii mada ngoja nianze kuzitafuta hizi kumbiii soon ntakuja gombana na jf. Jf jiandaeni nakuja kuweka clip hapa watu waoneee.
 
HIv ndo wasichana hawa hawa wake zetu na mama zetu wanaolilia haki sawaaaa?
Anywaybnitaenda huko kumbi za starehe kuwaangalia
 
Serikali kama haijaliona tatizo hili basi mimi Sexless nawapeni taarifa. Hali imekuwa mbaya sana kwenye kumbi na maeneo mengi ya starehe, wasichana wanacheza wakiwa uchi wa mnyama.

Kuna muda wanafika mahala wanaonesha mambo ya ngono laivu huku watu wakishangilia. Hali ni mbaya Sana.

Ni kwasababu tu nabanwa na vigezo na masharti ya JamiiForums , ningeliweza kuweka clip za videos na picha toka maeneo mbalimbali zikioneaha wasichana wakifanya mambo machafu hadharani.

Serikali ichukue hatua haraka.
Taja kumbi tuzifanyie kazi faster..
 
Ba
Ilikua inaitwa Sasambu inavuliwa mpaka Chupi hadharani mchana kweupe na watu wanashangilia, ikapigwa marufuku sababu hadi watoto walikua wanaangalia jimama linamwajiga shanga kiunoni juu ya meza
Dooo ipo njoo kawee hawamwogopi hata Dk pemben akiwapa injili mbwa waleeee...
 
Serikali kama haijaliona tatizo hili basi mimi Sexless nawapeni taarifa. Hali imekuwa mbaya sana kwenye kumbi na maeneo mengi ya starehe, wasichana wanacheza wakiwa uchi wa mnyama.

Kuna muda wanafika mahala wanaonesha mambo ya ngono laivu huku watu wakishangilia. Hali ni mbaya Sana.

Ni kwasababu tu nabanwa na vigezo na masharti ya JamiiForums , ningeliweza kuweka clip za videos na picha toka maeneo mbalimbali zikioneaha wasichana wakifanya mambo machafu hadharani.

Serikali ichukue hatua haraka.
Ulifuata nini night club?
Kule hakuruhusiwi watoto. Mtaa wa Sudan Ni danguro tangu wakati wa uhuru, mtaa uko Temeke mjini kabisa mkabala na hospitali. OCD yupo, mkuu wa wilaya yupo, bwana afya wa wilaya yupo, masheikh wapo na wengi wanaponea hapo.
Unadhani kwanini bado like danguro lipo?
Usituletee za kuleta tuachie tabata yetu.
Tuachie great park yetu, tuachie small planet yetu, tuachie 4040 yetu, tuachie Kimboka yetu.
 
Serikali kama haijaliona tatizo hili basi mimi Sexless nawapeni taarifa. Hali imekuwa mbaya sana kwenye kumbi na maeneo mengi ya starehe, wasichana wanacheza wakiwa uchi wa mnyama.

Kuna muda wanafika mahala wanaonesha mambo ya ngono laivu huku watu wakishangilia. Hali ni mbaya Sana.

Ni kwasababu tu nabanwa na vigezo na masharti ya JamiiForums , ningeliweza kuweka clip za videos na picha toka maeneo mbalimbali zikioneaha wasichana wakifanya mambo machafu hadharani.

Serikali ichukue hatua haraka.
Wewe si ndo Chawa mkubwa wa mama unalalamika Nini.
Tunakujua vizuri
 
Back
Top Bottom