Uchaguzi 2020 Hivi Sheria inaruhusu kuzuia Kampeni na Uchaguzi zisiendelee kwa kuomba Zuio la Mahakama iwapo mmoja wa wagombea Urais anahisi kutotendewa haki?

Sasa kama kuna watu wamesema hivyo na hakuna hatua zozote zile zilizochukuliwa hadi sasa, tuna serikali kweli? Hili GENGE LA WAHALIFU na WACHUMIA tumbo limekosa uhalali wa kuendelea kututawala.

And thats a good thing, kila mtu anaongea lake and ofcourse imekua ushabiki sasa na imepitiliza imekua itikadi ya chama, so pathetic
 
and thats a good thing, kila mtu anaongea lake and ofcourse imekua ushabiki sasa na imepitiliza imekua itikadi ya chama, so pathetic
Kama ni hivyo basi hatuna serikali, tuna genge la WAHALIFU tu linalotawala kwa mkono wa chuma.
 
Kama ni hivyo basi hatuna serikali, tuna genge la WAHALIFU tu linalotawala kwa mkono wa chuma.

ongea vitu vyenye ushahidi wacha kua na assumptions, hata biblia inaktaza kumshudia mwenzako uongo, mada za kuweka ni mezani ni mfano kwanini mwenyekiti wenu anatumia nguvu hataki kuachia wengine wawe wenyekiti, mfano zitto mpaka akaenda kuanzisha chama kingine, inside chadema baadhi nawajua kabisa hawana ham na huyo lissu mnaompaka mafuta kila sku infact kura za awali hata hakuongoza lissu, na yeye mwenyewe anajua kabisa wananchi wananmchukia , na hua anasema kabisa kwenye mikutano msiompenda kaja sasa sjui mnashabikia nn
 
Unataka ushahidi upi zaidi ya huo? Hili genge la WAHALIFU linalotawala sasa basi,Yatosha.
 
Nadhani mmemsikia IGP leo sio kwamba awaoni uvunjifu wa sheria unaofanywa kupitia mikusanyiko isiyo na kibali na lugha ya shari inayotumiwa isipokuwa wameamua kutumia hekima kukaa kimya.

Na NEC atakama awajatoa tamko sio kwamba awaoni kinachofanywa kabla ya campaign rasmi kuanza wakati utaratibu kila mtu kapewa.

If you ask me IGP leo kapiga warning shot stop it, labda mnasubiri na NEC nao wafanye ivyo.

CDM inabidi wajifunze kueshimu taratibu kama wanataka support za watanzania pale ambapo kweli haki yao inapokonywa, lakini kwa sasa kila mtu anaona ukiukwaji unaofanywa na CDM halafu baadae watu wakifanya yao wataanza kulaumu.
 


Mahakama hizi za GININGI zilizomsaidia PRO PESA LIPUMBA ???

TZ HAKUNA SHERIA WALA KATIBA WALA KITU KIITWA UCHAGUZI
 
Wakifanya ujinga nguvu ya umma ndo itasitisha uchaguzi. Sio mahakama wala Tume. Wasithubutu mwaka huu nakwambia. Watatupiga risasi wote na ICC watafika.
 
Huyo Kaijage tunamuonya kwamba mipango yoyote miovu anayopanga kwa kuelekezwa asije akamlilia mtu.
Kaijage binafsi atawekewa vikwazo vya kutokanyaga Nchi kibao na pia aweza kushitakiwa mahakama za kimataifa
 
Wakifanya ujinga nguvu ya umma ndo itasitisha uchaguzi. Sio mahakama wala Tume. Wasithubutu mwaka huu nakwambia. Watatupiga risasi wote na ICC watafika.
Hata uchaguzi idadi ya wapiga kura itakuwa ndogo sana wengi watasusa kwenda kupiga kura maana wataona hakuna haja tena
 
Mahakama aliondoka nayo Jaji Barnabas Samatta. Kidogo na Jaji Ramadhani ( Mungu Amrehemu). Hawa ndo walikuwa na Mahakama sio uchafu kina Jaji Chande na huyu Jaji Juma. Hawa ni watu walio majaj huku wakiwa hawajui maana ya kuwa Jaji. Hakuna Jaji Mwenye akili anaekubali maagizo ya wanasiasa kwa sababu kinafasi Jaji ni mtu mkubwa sana kiasi ambacho hata ukikata maagizo ya wanasiasa hawawezi kukufanya kitu na utaendelea tu kuwa Jaji.

Kuna Majaji walimvimbia hadi Nyerere katika enzi za Chama kimoja Mf Mwalusanya na Lugakingira na Nyerere hakuwafanya kitu.

Saivi hatuna majaji ndugu tuna makada wa CCM na makondoo wa CCM katika mhimili wa Mahakama.

NEC watanyoshwa na nguvu ya umma mwaka huu. Na kama wanataka kuiingiza Tanzania kwenye machafuko rasmi, wafanye ujinga wowote ule iwe kumuondoa Lissu kwenye mchakato au kumnyima ushindi wake.

Hata Mie Nipo tayari kupigwa risasi kwa kuandamana wakifanya ivo!!
 
Hata uchaguzi idadi ya wapiga kura itakuwa ndogo sana wengi watasusa kwenda kupiga kura maana wataona hakuna haja tena
Huko ni mbali sana! Wakifanya ujinga wa kumuengua mgombea wa wananchi. Hapatakalika nakwambia. Wasithubutu!!
 
Ulitaka wafanyaje? Bungeni limesemwa sana ..wakiongea na waandishi wa habari wanaongea sana.
Ulitaka waandamane au kwenye mikutano ya hadhara wakati jiwe kaizuia?
Madai hayo yapo kwa 100%.
Juzi shekh Ponda unajua kashikiwa nini?
 
Ulitaka wafanyaje? Bungeni limesemwa sana ..wakiongea na waandishi wa habari wanaongea sana.
Ulitaka waandamane au kwenye mikutano ya hadhara wakati jiwe kaizuia?
Madai hayo yapo kwa 100%.
Juzi shekh Ponda unajua kashikiwa nini?
Unayozungumza ndiyo yanaitwa manung'uniko. Kama hujui, mwaka 2010 mimi nilikuwa mmoja wa walioshiriki kushinikiza katiba mpya, ukiwa na bahati ya kutafuta post zangu hapa kabla ya 2010 utaliona hilo. Tatizo hapa ni kuwa kuna wanung'unikaji na walalamikaji wengi kuliko watafuta mabadiliko kweli. Kama hujui kutafuta mabadiliko using'ang'anie kuwa kiongozi wa mabadiliko hayo!!!
 
Nafikiri mgonjwa wa ubelgiji arudishwe hospitalini na kupokea utimamu wa akili kwanza na Kisha alazwe milembe mpaka baada ya miezi sita ndio achekiwe tana Kama anaweza ruhusiwa kutoka wodini🤣😂🤣! Maana siyo kwa uchizi huu I see!
Chizi ni mamako anayegombaniwa huku mtaani na masela!
 
Nakuhakikishi kwamba huu waweza kuwa ndio mwisho wa Tanzania kuwepo duniani
Wakuu hakuna haja ya kuigawana Tanzania bali ni kushughulika na hao watakaotoa maamuzi ya kishenzi! Siasa za Kenya wakati mwingine huwa nazipenda sana, ukileta ujinga wanakuokota kwenye vilima vya Ngong shenzy type! Sasa huyu Jaji mpuuzi anatakiwa mwisho wa siku apigwe msumari wa moto kwenye huo upara!
 
Chizi ni mamako anayegombaniwa huku mtaani na masela!
Na ww pia itabidi ulazwe milembe na kichwa mwenzenu aliyetoroka mental hospital ubelgiji! Hii ni kwa usalama wenu wenyewe🙆! By the time mtakapokuwa mnaruhusiwa naamini ushoga utakuwa umepungua Kama hamtaendekeza huo ushoga wodini!
 
Nafikiri mgonjwa wa ubelgiji arudishwe hospitalini na kupokea utimamu wa akili kwanza na Kisha alazwe milembe mpaka baada ya miezi sita ndio achekiwe tana Kama anaweza ruhusiwa kutoka wodini🤣😂🤣! Maana siyo kwa uchizi huu I see!
Upotolo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…