[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unataka kusema nn yaan???Darasa lina Amina 8, Asha 6, kina Ashura na Aziza. Unategemea nini haswa?
*Ni mtazamo tu, msilete chuki.
Hao hawarudigi wachache sana wengi ndio shule imeishia hapo.Najiuliza hao wanafunzi 200 wanaorudia darasa wanaenda kukaa vyumba gani ...
Maana ni dhahiri kwamba form two wa mwaka huu hiyo shule huenda wamepungua au wako idadi hiyohiyo...
Sasa kama wako 400 jumlisha hao waliokariri 200... Total 600..
Hivi wanafunzi 600 kidato kimoja mnafundishaje..
Hivi hii nchi kuna vitu huwa vinatokea hupati majibu..
Yaani kwa ufupi wanatuandalia mbususu za kula bure bureShule inaitwa Mburahati kutoka eneo la Mburahati. Moja ya kitingoji chenye uswahili mwingi sana ndani ya Dar Es Salaam.
Hao wanafunzi wengi wa shule hiyo dada zao ndio wavaa madera wanaocheza singeli kwa kutikisa makalio (chura)
Halafu kaka zao ndio panya road, yaani huko Mburahati unaweza ukakabwa mchana kweupe.
Sasa mwanafunzi anajifunza nini hapo? Wazazi wake wachawi plus chuma ulete...
Mshangao aisee.Ikiwa wanafunzi wenyewe ndio hawa hapa unadhani mwalimu wa sekondari aanze kuwafundisha KKK? Acha kila mzazi apambane na hali yake [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116]
VIDEO: Skendo ya elimu, wanafunzi 18 sekondari hawajui kusoma
Kwa mwanafunzi wa kidato cha kwanza au cha pili, suala la kusoma na kuandika huwa si tatizo kabisa.www.mwananchi.co.tz
Umegusa kwenye mshono, nimepiga sana kelele. Walimu wafanye kazi za ziada Zaid kuliko darasani maana mshahara wao ni mdogoWALIMU FANYENI KAZI KAMA WACHINA(fanya kazi kutokana na mshahara)
Mchina ukitaka simu ya 25k anakutengenezea, pia ukitaka ya 2.5M anakutengenezea pia
Hamna haja ya kuhangaika Hadi kufundisha overtime wakati hamna pesa ya ziada,
Mbona kazi nyingine wanapeana overtime na marupurupu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Walimu wa hii shule wanatakiwa wawekwe chini ya uangalizi wa mpwayungu village
Wazazi ndo walaumiwe maana wameshindwa majukumu yaoLawama zote kwa mwalimu,why?
Kwani hao waliofaulu wamefundishwa na nani?
Kwanini wasilaumiwe wanafunzi kwanza?
Ndo tatizo hilo, wacha waendelee
Ila wanajua katikiaDarasa lina Amina 8, Asha 6, kina Ashura na Aziza. Unategemea nini haswa?
*Ni mtazamo tu, msilete chuki.
Mburahati na Kigogo ni ukanda wa watoto wanafundishwa kuvaa vijora na kucheza singeli. Vigoma vya Uruguayi haviishi huko. Elimu yao huko ni ya kukata viuno na kuchuna mabuzi.Kwa msioifahamu mburahati,ni shule ya secondary ya kata ,iko wilaya ya kinondoni na mkoa wa Dar es Salaam.
Ni shule iliyopo mjini kabisa nikiwa na maana ina access ya nyenzo zote kuanzia walimu na mpaka vitendea kazi.
Sasa haya ndio matokeo yao ya form 2 kwa mwaka jana.
Je, walimu wa hii shule wanastahili kweli kulilia nyongeza yoyote ya mshahara kutoka serikalini?
View attachment 2474008