Hivi shule kama hii ina walimu kabisa watakaoweza kuidai Serikali iwaongezee mshahara bila aibu?

Hivi shule kama hii ina walimu kabisa watakaoweza kuidai Serikali iwaongezee mshahara bila aibu?

Darasa lina Amina 8, Asha 6, kina Ashura na Aziza. Unategemea nini haswa?
*Ni mtazamo tu, msilete chuki.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unataka kusema nn yaan???
 
WALIMU FANYENI KAZI KAMA WACHINA(fanya kazi kutokana na mshahara)

Mchina ukitaka simu ya 25k anakutengenezea, pia ukitaka ya 2.5M anakutengenezea pia

Hamna haja ya kuhangaika Hadi kufundisha overtime wakati hamna pesa ya ziada,

Mbona kazi nyingine wanapeana overtime na marupurupu
 
Aliyemuondoa headmistress Nyakunga kwenye hii shule alaaniwe sana. Shule imezungukwa na wauzaji/wavutaji madawa ya kulevya. Huyu mama aliwadhibiti kuanzia walimu hadi wanafunzi. Wanafunzi ni wengi sababu jengo jipya la shule (gholofa) lilipokamilika madarasa ya zamani yameendelea kutumika ni kama kuna shule mbili sasa.
 
Najiuliza hao wanafunzi 200 wanaorudia darasa wanaenda kukaa vyumba gani ...

Maana ni dhahiri kwamba form two wa mwaka huu hiyo shule huenda wamepungua au wako idadi hiyohiyo...
Sasa kama wako 400 jumlisha hao waliokariri 200... Total 600..

Hivi wanafunzi 600 kidato kimoja mnafundishaje..

Hivi hii nchi kuna vitu huwa vinatokea hupati majibu..
Hao hawarudigi wachache sana wengi ndio shule imeishia hapo.
 
Kosa la kiufundi serikali kuanza kufaulisha hovyo mtihani wa la saba walienda secondary wanafunzi wenye uwezo mdogo.

Pili bado elimu ni siasa hao div 4 wote wamefeli ila mfumo wa siasa unawafosi waende form 3 matokeo yake form 4 hal inazidi kuwa mbaya.

Hawajiulizi kwann A level shule za serikali huwa zinafanya vizuri yote kwa sababu wanaochaguliwa au wanaoendelea wana sifa na wana kiu ya kusoma.

Shule za kata hasa za mjini wanafunzi wanasoma kwa kuwa ndio washachaguliwa kuendelea ila hawana muda na hyo elimu Serikali ijitafakari nje ya hapo tutazidi kumtafuta mchawi lakini kamwe hawez kupatikana.
 
Kwa mazingira ya mjini swez laumu mwalimu wala mwanafunzi wote hao wanachangamoto zao zinazo athiri ufundishaji na ujifunzaji.ni vema mamlaka zikaenda eneo husika kujifunza kuliko kuhukumu
 
Mwalimu hata akiwa 'mweupe' kiasi gani, kama kuna mwanafunzi ana akili na akipata material sahihi, anapasua paper...

Chanzo namba moja cha mwanafunzi kufeli huwa ni yeye mwanafunzi na mazingira yaliyomzunguka...
 
Shule inaitwa Mburahati kutoka eneo la Mburahati. Moja ya kitingoji chenye uswahili mwingi sana ndani ya Dar Es Salaam.

Hao wanafunzi wengi wa shule hiyo dada zao ndio wavaa madera wanaocheza singeli kwa kutikisa makalio (chura)

Halafu kaka zao ndio panya road, yaani huko Mburahati unaweza ukakabwa mchana kweupe.

Sasa mwanafunzi anajifunza nini hapo? Wazazi wake wachawi plus chuma ulete...
Yaani kwa ufupi wanatuandalia mbususu za kula bure bure
 
Ikiwa wanafunzi wenyewe ndio hawa hapa unadhani mwalimu wa sekondari aanze kuwafundisha KKK? Acha kila mzazi apambane na hali yake [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116]
Mshangao aisee.
Ila yote haya ni kutokana na siasa za nchi yetu

Serikali isilazimishe watu kusoma, iache waje kuwa watumwa
 
WALIMU FANYENI KAZI KAMA WACHINA(fanya kazi kutokana na mshahara)

Mchina ukitaka simu ya 25k anakutengenezea, pia ukitaka ya 2.5M anakutengenezea pia

Hamna haja ya kuhangaika Hadi kufundisha overtime wakati hamna pesa ya ziada,

Mbona kazi nyingine wanapeana overtime na marupurupu
Umegusa kwenye mshono, nimepiga sana kelele. Walimu wafanye kazi za ziada Zaid kuliko darasani maana mshahara wao ni mdogo
 
Kwa msioifahamu mburahati,ni shule ya secondary ya kata ,iko wilaya ya kinondoni na mkoa wa Dar es Salaam.

Ni shule iliyopo mjini kabisa nikiwa na maana ina access ya nyenzo zote kuanzia walimu na mpaka vitendea kazi.

Sasa haya ndio matokeo yao ya form 2 kwa mwaka jana.

Je, walimu wa hii shule wanastahili kweli kulilia nyongeza yoyote ya mshahara kutoka serikalini?

View attachment 2474008
Mburahati na Kigogo ni ukanda wa watoto wanafundishwa kuvaa vijora na kucheza singeli. Vigoma vya Uruguayi haviishi huko. Elimu yao huko ni ya kukata viuno na kuchuna mabuzi.

Mtoto wa kike akishavunja ungo anaambiwa, "Humu ndani tunapika chai tu, vitafunwa katafute mwenyewe."

Akiwa kidato cha pili tayari anajua kulala na mwanaume na akirudi nyumbani kumpa mama yake hela ya kumnyamazisha.
 
Back
Top Bottom