huyohuyo alikua n mwili nawajua bro wke alikua baharia uarabuni n achi yule alikua mpiga debe stendi kuu ya tbs ile ya zamani
Kumbe hata wewe unawafahamu vizuri. Huyo aliyekuwa akipiga mzigo pale stand na akiwa konda kwenye bus za Tanganyika bus hasa yale yaliyokuwa yakienda route ya Musoma alikuwa anaitwa Achi. Alishafariki miaka mingi.
Mkuu nina hakika na nilichokiandika. Na hapa JF uwa sina tabia ya kuweka comment kwa kitu nisichokuwa na hakika nacho. Itoshe tu kusema kwamba namfahamu na pia ananifahamu vizuri kwa zaidi ya miaka 35. Labda nikuulize maswali mawili rahisi tu mkuu ili utakapobisha uwe na basis. 1. Zamani watu walikuwa wanaanza darasa la kwanza (shule ya msingi) wakiwa na umri gani? 2. Kwa kutumia jibu la swali la kwanza, mtu aliyemaliza darasa la saba mwaka 1982 kwa sasa atakuwa na umri gani?
mkuu usemalo ni kweli 1989 kma sikosei alikua frm 6 lake sec school mwz....mimi nkiwa lake primary
Ngoja nimuulize Jafarahi
Jf kuna vizee..hata sijazaliwa watu mnadunda!
mkuu usemalo ni kweli 1989 kma sikosei alikua frm 6 lake sec school mwz....mimi nkiwa lake primary
Mkuu pale lake primary kuna mzee mmoja alikua na malori ya mizigo ya rangi kama avatar yako (green, yellow, black & red) alikua mkuda sana yule mzee!!
hahaa yale ya kijana mzee mmoja wa kihaya
HayO hayo mkuu, ila nilisikia yule mzee sio mtz ni wa kule kwa Kagame kuna kipindi Sirikali ilimpa tabu sana. Alitusumbua sana wa Lake Sec. hasa kukwamisha safari za kutoroka shule mida ya break asubuhi yaani alikua anatuchoma live kwa Mwalimu mkuu Father DE.
Huyo yupo around 50 yrs, alisoma darasa moja na brother pale Aga Khan Mzizima s/s.
Mkuu nina hakika na nilichokiandika. Na hapa JF uwa sina tabia ya kuweka comment kwa kitu nisichokuwa na hakika nacho. Itoshe tu kusema kwamba namfahamu na pia ananifahamu vizuri kwa zaidi ya miaka 35. Labda nikuulize maswali mawili rahisi tu mkuu ili utakapobisha uwe na basis. 1. Zamani watu walikuwa wanaanza darasa la kwanza (shule ya msingi) wakiwa na umri gani? 2. Kwa kutumia jibu la swali la kwanza, mtu aliyemaliza darasa la saba mwaka 1982 kwa sasa atakuwa na umri gani?