Hivi siku hizi hakuna majambazi?

Saiv hela inapatikana kwenye kafara na ma Apostles.
 
Kule niliwahi kupanda bus nyuma kuna Polisi wanaescort wako na mashine zao. Nikashngaa nini tena hii? Jamaa wakasema bila hivyo kutokq tunzewe hqdi nyakanazi tu hutoboi. Ila siku hizi tunakatiza tu bila mabunduki.
Umenikumbusha mara ya kwanza safari ya Kigoma, hapo Runzewe waliingia askari wawili na mashine tulipofika Nyakanazi wakashuka wakaingia wajeda wawili.
 
Hilo tukio la Kimara lilikiwa mwaka gani Mkuu?
 
Ndio defender
 
Wale majambaka hawafai.
Teknolojia ya homesecurity system nayo imesaidia kuna gadgets nyingi unaweza kutegesha ukamtia wasiwasi asijuie umejipangaje.
Techno imesidia kidogo sana. Soma thread namba 8. Aisee mwamba hakuwa na utani.

Ndio maana tunasema mambo yanawezekana!

No 1 akiamua, hata hawa vibaka wa simu kamwe hutawaona.
 
Jambazi alikuwa KIPAGATI Iringa,,,,,,na KADOGOO Moshi,,,,,,
WEngine katika historia ya Ujambazi Tanznia ni wachumba tu.
 
Nenda polini ukawaangalie fisi walivonenepa.

PT na Teeth wapongezwe sana kuwapeleka kwa Bwana Hawa viumbe.

Tumpongeze sana aliyetoa "go-ahead" ya kuwapeleka kuume kwa baba wale mbwa.

Kama una ndugu jambazi, mganga WA jadi mpiga ramri, daktari anyetibu majeruhi WA risasi bila pf3, mchepuko WA jambazi au unapenda kuwasilisha na jambanoka...... muda wowote hard top aka kluza mkonga itakufikia na ndugu msijisumbue kumtafuta so long as mnajua tabiaa yake.

Kwa sasa Hadi vibaka tujipange kuwabatiza kwa petroli kisha kiberiti.

Mungu wabariki wapiga vyumba wote, bariki kluza zao na uwape jicho pevu ili majambazi yaendelee kuletwa kwako baba.
 
Tupo mkuu tunakula mafao kwanza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…