Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Kuwafanyisha kazi waafrika ilikuwa ni mfumo wa kikoloni ili wapate malighafi ,waafrika walikuwa wanalima kwa chakula chao , moja kwa moja ni kuwatoa kweny mazoea yao mpaka uchumi wa kutafuta pesa ndio maisha magumu yalianza hapo .Kwani leo hii hakuna migrant labor?
Hii kwangu ni topic/wazo/swali bora zaidi kwa muda wote!Mbona naona kama wakoloni walikuwa wanaleta maendeleo kwa kasi kwenye nchi zetu,
Walikuwa wanajenga reli, shule na vituo vya afya.
Walikuwa wanajenga viwanda muhimu vya uchakataji.
Walikuwa wanafungua ardhi kwa mashamba makubwa ya kilimo cha kisasa.
Walikuwa na mipango miji bora.
Walikuwa wakifanya uinjilishaji na kuendeleza dini.
Hakukuwa na rushwa au ufisadi,
Walitenga maeneo ya hifadhi na mbuga za wanyama kufanya utalii.
Ukiacha suala la siasa Waafrika kupata madaraka kuna mambo gani mengine muhimu yaliyotusukuma kuwakimbiza wazungu katika nchi zetu za Africa?
Hivi tofauti na Africa Kusini na Zimbabwe wakoloni wa nchi nyingine nao walikuwa na mfumo wa ubaguzi wa rangi wa kikatili kama wa hizo nchi mbili?
Ni nchi gani ambako watu hawakufanyishwa kazi ngumu? Tuache kujikita kwenye historia ya Africa pekee!Kuwafanyisha kazi waafrika ilikuwa ni mfumo wa kikoloni ili wapate malighafi ,waafrika walikuwa wanalima kwa chakula chao , moja kwa moja ni kuwatoa kweny mazoea yao mpaka uchumi wa kutafuta pesa ndio maisha magumu yalianza hapo .
Waafrika hawakuwa na kodi kumbuka , walikuwa wanalima na kuwinda pamoja na ufugaji ili kupata chakula cha kila siku ...Hawawahi kulima mazao ya malighafi pia .Ni nchi gani ambako watu hawakufanyishwa kazi ngumu? Tuache kujikita kwenye historia ya Africa pekee!
Utumwa umefanyika duniani kote!
Hawakuwa na kodi kivipi wakati kulikuwa na tawala za machifu na majeshi ya makabila? Kulipokuwa na vita vya makabila wanajeshi walikuwa wanahudumiwa vipi ?Waafrika hawakuwa na kodi kumbuka , walikuwa wanalima na kuwinda pamoja na ufugaji ili kupata chakula cha kila siku ...Hawawahi kulima mazao ya malighafi pia .
Mkuu unaweza kuwa na umri mkubwa zaidi yetu lakini una mentality mbovu sana (with due respect).Wewe una umri gani? Si ajabu vitoto vya 90-2000 mnausifia ukoloni maana hamkuonja wala hamjui madhara yake, basi hata shule hamjajifunza?
Eti mkolon alikuwa na huruma, acheni ushenzi na ushetan wa kusahau maumivu na mateso waliyopitia bibi na babu zenu kipindi cha hao mashetani weupe.
Ni bora zaidi kuongozwa na muafrika mwenzio ambaye hata asipokuwa kiongozi mzuri bado hatokufanyia tabia za unyama ambazo hao Miungu wenu wazungu waliwafanyia babu zetu.
Ukoloni na wakaloni walibaka adharan,kulawiti, kuharibu makazi na maisha ya waafrika, kupola ardhi na resources, kujenga miundombinu waliyotumia kwa maslahi yao huku ktk nyanja za uongozi wa waafrika wakiwapandikiza puppets ambao watawatawala waafrika kupitia kivuli cha wazungu.
Amkeni enyi wajinga na wapumbavu mliokosa akili, hakuna maendeleo yanayoletwa na mgeni, kila nchi tajiri imejengwa na raia wa asili ya nchi hiyo.
Hata hiyo S.Afrika mnayoitolea mifano imejengwa na wazungu na mpaka sasa inamilikiwa na hao hao wazungu, ardhi kwa % inamilikiwa na wazungu, huku wazawa wakibaki kuishi kitumwa ktk ardhi yao, wakiishia kuuwana wao kwa wao au hasira zao kumalizia kwa wageni.
Enyi vitoto vya 2000 na baadhi ya wazee wapumbavu mliokimbia shule na kukosa elimu ya historia ya nchi yenu, kuweni na adabu mnapojadili mambo ya msingi adharani kama hivi mnajiaibisha.
Hiyo stage kila nchi imepitia, watu walikuwa wachache hapakuwa na uhitaji mkubwa, lakini kumbuka vizazi vilikuwa vinakuwa na ushindani haukuepukika!Waafrika hawakuwa na kodi kumbuka , walikuwa wanalima na kuwinda pamoja na ufugaji ili kupata chakula cha kila siku ...Hawawahi kulima mazao ya malighafi pia .
Naunga mkono hojaIlikuwa makosa makubwa kuwafukuza, I wish tungewapa uraia na kuwakaribisha kwenye umiliki wa njia za uchumi, hatujachelewa sana tuwakaribishe tena na tuwape nafasi za uongozi pia
sahihi snKwasasa mimi naona tumebadisha wakoloni wametoka wazungu wamekuja waafrika wenzetu, tuna washika tonge hawa washika tonge ukiwa na hoja inayo gusa masilahi yao, (,wanyang"anya tonge), watakushughulikia, hata kukupoteza
Unyumbu wa kisiasa, unyumbu wa kisiasa ni tabia ya badhi ya wanaopewa dhamana, (washikatonge), kuahahirisha kufikiri kwa nafsi kwasababu ya kujipendekeza, kulitumikia kundi fulani kwa masilahi binafsi na uoga kwa viongozi wao bila utii, (unafiki), a.k.a kujizima data, tuseme kuahirisha kufikiri kizalendo, (uchawa)
Hizo falme unazijua kweli ? Jamii za kiafrika zilikuwa na tawala zao , mifumo yao ...Wakoloni kwa ujumla nao walikuwa na mifumo yao ...Baadhi ya falme walikuwa wanatoa mazao kama sehemu ya kodi zao za maendeleo .Hiyo stage kila nchi imepitia, watu walikuwa wachache hapakuwa na uhitaji mkubwa, lakini kumbuka vizazi vilikuwa vinakuwa na ushindani haukuepukika!
Afrika kabla ya ukoloni palikuwa na falme nyingi na ushindani ulikuwepo, hata tungeachwa wenyewe Utumwa ungekomaa, ubaguzi ungekuwepo na vita zingepitiwa sana tu kwani zilishakuwepo!
Bado tuko kwenye ukoloni tena mbaya sana unaotufanya tujisahau , ebu fikiria tuna uhuru gani wakati hata sheria zetu zimeandikwa kingereza ..Kwasasa mimi naona tumebadilisha wakoloni wametoka wazungu wamekuja waafrika wenzetu, tuna washika tonge hawa washika tonge ukiwa na hoja inayo gusa masilahi yao, (,wanyang"anya tonge), watakushughulikia, hata kukupoteza
Unyumbu wa kisiasa, unyumbu wa kisiasa ni tabia ya badhi ya wanaopewa dhamana, (washikatonge), kuahahirisha kufikiri kwa nafsi kwasababu ya kujipendekeza, kulitumikia kundi fulani kwa masilahi binafsi na uoga kwa viongozi wao bila utii, (unafiki), a.k.a kujizima data, tuseme kuahirisha kufikiri kizalendo, (uchawa)
Nenda kapakue vitabu mwenyewe.ila ukimuona mwafrika anautamani ukoloni ujue hana ubongo kichwani.Hiyo ya kufirwa hadharani ndio mmefundishwa shule za national? Ipo kitabu gani mkuu!
Mbona ni basic history kwenye elimu ya msingi? Unadhani wakoloni walipoingia Africa hawakukuta tawala zilizojiimarisha zenye nguvu na dhaifu?Hizo falme unazijua kweli ? Jamii za kiafrika zilikuwa na tawala zao , mifumo yao ...Wakoloni kwa ujumla nao walikuwa na mifumo yao ...Baadhi ya falme walikuwa wanatoa mazao kama sehemu ya kodi zao za maendeleo .
Mfumo walioanzisha wakoloni ulikuwa ni mpya ambao uko mpaka leo.
Next time huna ulazima wa kutoa mifano isiyo na uhalisia, JF is not for speculations!Nenda kapakue vitabu mwenyewe.ila ukimuona mwafrika anautamani ukoloni ujue hana ubongo kichwani.
We jamaa acha ubishi , kodi iliyaoanzishwa na wakoloni unajua? kilifika kipindi kijana akifika umri fulani lazima alipe kodi ya kichwa tena kwa sarafu ndio maana waliacha mashamba yao na kwenda kulima kwa wakoloni .Mbona ni basic history kwenye elimu ya msingi? Unadhani wakoloni walipoingia Africa hawakukuta tawala zilizojiimarisha zenye nguvu na dhaifu?
Hizo tawala zote zilikuwa na mifumo ya kodi, ziliitwa tribute kwenye mamlaka. Suala la kodi halijaletwa na wazungu, lilikuwepo.
Matumizi ya kingereza siyo tatizo mimi nimejifunza kwamba ili uweze kuelewa, kujifunza na kufundisha vizuri maneno ya kiingera ni rahisi sana hutengeneza ufafanuzi kirahisi sana, kwavike watu hawakijui vizuri kimombo ndiyo maana wanakichukia,Bado tuko kwenye ukoloni tena mbaya sana unaotufanya tujisahau , ebu fikiria tuna uhuru gani wakati hata sheria zetu zimeandikwa kingereza ..
Sasa kingereza ni lugha yako ? Yaani unalazimisha lugha ya kigeni kwako , machifu walikuwa wanatumia kingereza kweny tawala zao?Matumizi ya kingereza siyo tatizo mimi nimejifunza kwamba ili uweze kuelewa, kujifunza na kufundisha vizuri maneno ya kiingera ni rahisi sana hutengeneza ufafanuzi kirahisi sana, kwavike watu hawakijui vizuri kimombo ndiyo maana wanakichukia,