Uchaguzi 2020 Hivi Tundu Lissu amepewa ulinzi na Serikali?

Uchaguzi 2020 Hivi Tundu Lissu amepewa ulinzi na Serikali?

Kuna kitengo cha propaganda na spinning

TISS imegawanyika idara 4.
1.idara ya kukusanya taarifa za kila sekta
2.Idara ya ulinzi
3.Idara kuzuia ugaidi na magendo na biashara haramu
4.idara ya protocol ya viongoz wa kigeni
5.idara ya mahusiano na maendeleo ya jamii.

Ndan yake ndo kuna vitengo mbalimbali
Kitengo cha propaganda na spinning
Kitengo cha kufanya vetting ya viongoz
Kitengo cha siasa na uchumi
Kitengo cha uporaji mali(hiki ni siri)
Kitengo cha sayansi na teknolojia
Kitengo cha dawati la Rais aliyeko madarakani
Kitengo cha kumdhoofisha Rais aliyeko madarakani n.k n.k
Cha kumdhoofisha anacho kigogo sio?
 
Walinzi wa serikali toka lini wakatembea na majambia? Ila ulinzi wa kweli huutoa Mungu maana imeandikwa amelaaniwa yule amtegemeaye binadamu mwenzake kama kinga.

Haya mengine huwa ni protocol za kidunia tuu maana pia tuliambiwa tutii mamlaka zilizowekwa hapa Duniani ila ulinzi wa kweli na uhakika ni wa kupiga goti na kufanya maombi.

October 28th tujitokeze kwa wingi tukampe kura za ndio JPM maana ni Kiongozi aliyetukumbusha kumlilia Mungu tulipokuwa katika nyakati ngumu za Covid 19.

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
Mnafiki yule , muuaji, mtekaji
 
Mbona hauna upande au ni mchambuzi muajiriwa wa CCM?
Hapana mkuu ni mchambuzi tu wa maswala ya kisiasa sijaajiriwa na chama chochote.

Ndio kama hivi mkuu Mwaka 2016 katika shughuli zangu za uchambuzi nikafanikiwa kuja na Uzi kuwa Lisu atagombea Urais na kweli kagombea.

Ila kwa uchambuzi huo huo nikaja kuona kuwa hatashinda kutokana na sababu mbali mbali moja kuu ikiwa ni kujiweka karibu Sana na watu wa nje, jambo hilo limewakasirisha raia wengi.
 
KAMA NI YEYE KWELI...SASA WAKATI WA MABOMU NA MAWE ANAKUWA WAPI? MAANA NAONA LISSU AKISIMAMA MBELE NA KUJITETEA PAMOJA NA KUWAHOJI POLISI PEKE YAKE, NANI ANAMLINDA MWENZAKE HAPO,,,?
Walinzi kazi yao kukuelekeza kuwa wee mgombea jiwe hilo linakuja chuchumaa chini ukikataa wanakuacha litue kichwani kwako watakukimbiza hospitali au mortuary lolote likitokea kati ya hayo
 
Hapana mkuu ni mchambuzi tu wa maswala ya kisiasa sijaajiriwa na chama chochote.

Ndio kama hivi mkuu Mwaka 2016 katika shughuli zangu za uchambuzi nikafanikiwa kuja na Uzi kuwa Lisu atagombea Urais na kweli kagombea.

Ila kwa uchambuzi huo huo nikaja kuona kuwa hatashinda kutokana na sababu mbali mbali moja kuu ikiwa ni kujiweka karibu Sana na watu wa nje, jambo hilo limewakasirisha raia wengi.
Jambo ambalo limewakasirisha CCM
 
Walinzi wa serikali toka lini wakatembea na majambia? Ila ulinzi wa kweli huutoa Mungu maana imeandikwa amelaaniwa yule amtegemeaye binadamu mwenzake kama kinga.

Haya mengine huwa ni protocol za kidunia tuu maana pia tuliambiwa tutii mamlaka zilizowekwa hapa Duniani ila ulinzi wa kweli na uhakika ni wa kupiga goti na kufanya maombi.

October 28th tujitokeze kwa wingi tukampe kura za ndio JPM maana ni Kiongozi aliyetukumbusha kumlilia Mungu tulipokuwa katika nyakati ngumu za Covid 19.

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
Hatuwezi kuthubutu kuchagua tena WATEKA NYARA, hii miaka mitano ilikua ya mateso sana. Sasa basi
 
Ndio huyo huyo ndie atakaetumiwa kumuwekea SUMU kwenye maji

Usalama wa taifa katika nchi ya Tanzania wote wanatumiwa na CCM.

TISS ni department ya CCM.
Ni wa binafis na wengi ni wachaga mm nimepiga nao story saaan blooo
 
HaoView attachment 1601874View attachment 1601875
20201015_101141.jpg
 
Uchaguzi ujao gombea utapata jibu, wagombea wote umemuona Lissu tu.
Wasiojulikana walimwona Tundu Lissu pekee wakammiminia risasi 16 wasiwaone wagombea watarajiwa wenzake 15? Risasi moja tu kwa kila mmoja wote 16 wangekuwa RIP lakini Mungu akaingilia kati na bado wiki 2 tu mbichi na mbivu zijulikane. Wacha Mungu aitwe Mungu, 15 wako hoi yeye anaendelea kupeta!
 
Back
Top Bottom