TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
Kwa nini anahimizwa afuate taratibu, lakini hataki kuzifuata...! ? Anaruka huyo Chief.?Magufuli alikuwa anajuwa kiwango cha ujinga wa Watanzania walio wengi na ndiyo ukawa mtaji wake kwa propaganda za UWONGO. Ametuachia population ya wajinga wengi sana kama huyu kmbwembwe, wanapinga kila anachofanya Rais Samia na Makamba. Wajinga wanaamini eti hii mikataba Januari Makamba amepiga simu hizo kampuni ikaja. Kumbe mchakato umeanza mwaka 2018
Si lazima waseme wamegundua ndio muingie mkataba wa kuchimba? Hata hivyo tuna hakika kama kiasi walichosema kipo ni kweli au ipo gesi zaidi?Tusinge kodi kampuni za nje tungeweza kujua hata tuna Gesi kiasi gani?.
Nadhani ungesema welewa wako ni mdogo... acha kufikiri kila mtu SOB kama wewe. Sijua mlizaliwa porini... rubbishKama ni kweli, vip ulilipwa pesa zako?.
Zile ripoti zilikuwa hovyo sana, technical ripoti huwezi kuandika kishabiki vile. Watanzania wengi uwelewa wetu ni mdogo sana hivyo ni rahisi kudanganywa. Mwendazake alikuwa muongo sana.
Hii takataka usiingize unapojadili issues za maana. Uozo huo tupa kule miga!Hiki kitu Tundu Lissu aliita professorial rubbish kwa kuwa ni uzandiki mtupu.
Kwa uandishi wako na mpangilio wa sentensi nahisi Elimu yako siyo zaidi ya Form 4.
Kwa kifupi ripoti ya MAKINIKIA ilikuwa rubbish yaani takataka.
Baada ya kuwa Rais alitaka ku-prove kuwa ACACIA wanatuibia madini kupitia makinikia, ndipo akaunda tume ya Prof Mruma na Prof Osoro. Kiukweli Tume ya Prof Mruma ilikuta kuwa kontaina la 20ft lina 0.7Kg ya madini ya dhahabu na silver. Na kiasi hicho ndiyo kimekuwa kikilipiwa na ACACIA/ Barrick kodi sahihi kuanzia 1998.
Kwa vile Jiwe alidhani tunaibiwa madini wakati si kweli akaichakachua ripoti ya Prof Mruma na kuandika kuwa kuna 7.0 Kg kwa kila container. Hapa ndiyo ile hoja ya ACACIA kukwepa ushuru wa USD 190 bilioni au Tsh 450 Trillioni ndipo ilipojitokeza. Hiki kitu Tundu Lissu aliita professorial rubbish kwa kuwa ni uzandiki mtupu. Na kweli hatujapata hiyo Tsh 450 Trilion aka Noah moja kwa kila Mtanzania.
Ila Tanzania Ina wajinga wengi sana kama kmbwembwe wao bado wanaamini uwongo wa Magufuli
Mimi nawasifu sana nyinyi wakuu msiokata tamaa kubishana na hawa watu ambao ni “complete illiterates” kwenye uelewa wa mambo ya nchi hii. Mnayoandika yamewazidi sana kiwango chao. Lissu alifafanua masuala ya MIGA vizuri sana lakini wakaishia kumkashifu tu...tatizo la hawa vijana ni kusikiliza habari za upande mmoja.
..hawajisumbui kutafuta UKWELI kwa kujiridhisha na taarifa toka vyanzo mbalimbali.
..nina hakika wakati mgogoro ule unaendelea hawa vijana hawakujisumbua kutafuta habari toka vyanzo vya acaccia au barrick.
..matokeo yake wamejiaminisha / wamejipotosha kwamba mgogoro ule haukufika mahakamani au miga kama wanavyopenda kusema.
..acaccia walikwenda mahakamani na shauri lao lilisitishwa baada ya barrick kukubali kununua hisa za minority shareholders.
..baada ya acaccia kuwa 100% miliki ya barrick ndipo majadiliano na serikali ya Tz yakaendelea na kufikia conclusion.
..kwa upande mwingine Tz / serikali ndio walalamikaji kwamba tumeibiwa usd 191 billion. Sasa tujiulize kwanini hatukushtaki ktk mahakama yoyote?
..hivi ni mtu gani mwenye akili timamu anaweza kuibiwa usd 191 billion halafu akaridhika na kusitisha madai yake kwa kulipwa usd 300 million?
Mwandiko sasa!Sawa hata kama tuliambulia kidogo lakini kazi hii ilifanywa na Watanzania,lini Watanzania tuliowasonesha kwa Kodi zetu watajengewa uwezo wa kufanya Mambo makubwa,ikiwa kila kitu ni mzungu anatufanyia?hata kufunga mfumo wa kumonita umeme mpaka tuite Waindi kuja kufunga tena kwa malipo ya mabilioni,ina maana Tanzania amna wataalamu wa IT?hao wakina Maluma mnaowadhalau ndio walioleta chachu ya kubadilisha sheria za madini,pamoja na kutishwa sana na wapuuzi kama nyie eti tutashitakiwa Miga, mbona accecia walifutiliwa mbali na hawakwenda mahakamani Kudai fidia,Kama walikuwa halali na hawaibi?
Serikali ina mkono mrefu ila ikaingia mikataba ya kifisadi kwa miaka 20? Huo mkono ulikua wapi miaka yote hiyo? Kwamba Mwanyika ni TISS? Mboma JPM alimtaja informant siku ile ile ila akasema Mwanyika ndio msaliti? Unaweza mchafua mtu vile then umpe ubunge alafu expect watu watakuelewa kweli?Kuna msemo unaosema kwenye msafala wa Mamba na kenge wamo, wewe unajua aliyekuwa akiiba tarifa za accecia na kuzileta selikalini?ukiambiwa serikali inamkono mrefu usiulize,Watu wengine wamo humo kwa niaba ya serikali hata Kama watasemwa vibaya, maana wapo kikazi,wakimaliza kazi Ndio wanapewa kazi nyingine za kuwapoza,nyie huku mtaani mnabaki kubishana tu.
Hivi kwa akili yako watu wanaweza kuwekeza almost TZS 70 TRILLION bila kuwa na uhakika kuna gas kiwango gani?! Hivi unajua hata bajeti ya nchi yako ni kiasi gani ili hatimae uwe na picha TZS 70 Trillion ni nini hasa?Si lazima waseme wamegundua ndio muingie mkataba wa kuchimba? Hata hivyo tuna hakika kama kiasi walichosema kipo ni kweli au ipo gesi zaidi?
Sasa kinachokushangaza hapo kipi?! Au ufahamu kwamba madini, na hata gesi ni non-renewable resources?Kwa upande wa madini si tumewahi gundua kampuni za kigeni wakichimba na kuuza madini huku wanatueleza bado wanafanya uchunguzi kama madini yapo au hayapo?
Na wale waliyo chunguza makenikia, ma Phd holders na maprofesa wakaonyesha aina ya metals zilizoko na viwango ni illiterates?Mimi nawasifu sana nyinyi wakuu msiokata tamaa kubishana na hawa watu ambao ni “complete illiterates” kwenye uelewa wa mambo ya nchi hii. Mnayoandika yamewazidi sana kiwango chao. Lissu alifafanua masuala ya MIGA vizuri sana lakini wakaishia kumkashifu tu.
Magufuli alijaza team za illiterates mitandaoni, makanisani, misikitini na kwenye vikundi mbali mbali ambazo kazi zake kubwa ilikuwa kupotosha, kuzomea, kuvuruga na kukatisha tamaa mijadala yote ya maana yenye kutafuta na kuonyesha (reveal) ukweli wa mambo yanayofanywa na serikali yake.
Inahitaji moyo yana kujadiliana na watu wa aina hiyo with all the facts bila kuchoka.
Ni vizuri kujiridhisha kwanza kabla ya kutuhumu,,,, great thinker !
Mikataba yote miwili ilikuwepo tangu Kalemani, na tender zilitangazwa.
Kuhusu LNG tender ilitangazwa 2018 na mlipaji wa gharama za mkataba huo ni benki ya maendeleo ya Africa AFDB.
View attachment 2099094View attachment 2099098View attachment 2099097View attachment 2099099
Tatizo ni kukurupuka , wapo watu hawachukui muda kusoma content, wanafuata headlines tu.Magufuli alikuwa anajuwa kiwango cha ujinga wa Watanzania walio wengi na ndiyo ukawa mtaji wake kwa propaganda za UWONGO. Ametuachia population ya wajinga wengi sana kama huyu kmbwembwe, wanapinga kila anachofanya Rais Samia na Makamba. Wajinga wanaamini eti hii mikataba Januari Makamba amepiga simu hizo kampuni ikaja. Kumbe mchakato umeanza mwaka 2018
Mimi nimeng'anga'ania kwenye ukweli wa mwenda zake. Namwamini kiitikadi kwangu ni comrade.
Hebu nikuulize. Magufuli aliposema itawezekana lami toka mwanza hadi mtwara hapakua waliyosema anaongopa? Je ilitokea haikutokea tena bado akiwa waziri tu wa miundombinu sio rais? Anyway ni suala la mtazamo.
Nyie mnaoamini consultants wa kingereza na ulaya ndio wanajua hicho wanacholipwa hakika ni unyonyaji tu.
Kikwete mwenyewe na awamu ya mkapa walimpa sifa magufuli kwa uadilifu na ubunifu kwenye ujenzi barabara. Kumbuka mkapa alimsifu magufuli kwa kupendekeza kwake na kuanzisha ujenzi wa barabara za lami bila kutegemea mikopo ya nje.Kwanini sifa za lami usimpe Kikwete umpe Magufuli, lakini za flyover umpe Magufuli usimpe Mbarawa? Ukielewa hapo utakuwa umetoka kwenye lindi la uongo tuliolishwa.
Kwanza mpuuzi ni wewe unayeshindwa hata kuandika kwa Kiswahili fasaha, kenge wewe!!na wapuuzi kama nyie eti tutashitakiwa Miga, mbona accecia walifutiliwa mbali na hawakwenda mahakamani Kudai fidia,Kama walikuwa halali na hawaibi?
Look at you! Kama ni JPM ndie anastahili sifa za hizo barabara, kwanini sifa za SGR hapewi Waziri wa Ujenzi?! Kwanini hizo makinikia unazosema, sifa usimpe Waziri wa Madini?! Au ndo ile "chako ni changu na changu ni changu"!Mimi nimeng'anga'ania kwenye ukweli wa mwenda zake. Namwamini kiitikadi kwangu ni comrade.
Hebu nikuulize. Magufuli aliposema itawezekana lami toka mwanza hadi mtwara hapakua waliyosema anaongopa? Je ilitokea haikutokea tena bado akiwa waziri tu wa miundombinu sio rais? Anyway ni suala la mtazamo.
Nyie mnaoamini consultants wa kingereza na ulaya ndio wanajua hicho wanacholipwa hakika ni unyonyaji tu.
Yes ili kuweka good terms, na ndio maana wakatoa Dola milioni 300 na mkataba ulisainiwa upya ili kuinufaisha TZ kitu ambacho hakijawahi kufanyika tokea TZ imeanza kujihusisha na masuala ya madiniMbona sasa mliishia kupewa kishika uchumba.
Mkuu, ile hela ilikokotolewa kuanzia wameanza uchimbaji mpaka leo tokea awamu ya tatu mpaka sasa, na ilionesha ni kiasi gani wamekwepa kwa muda wote huo na je lilikiwa kosa la nani kurihusu upigajiwa dizaini hiyo???Jibu swali very simple; Je tulilipwa zile USD 190 Billion zinazotokea kwenye ukokotozi wa ripoti ya PROF Mruma ya Kg 7 per container?
Kama hatukulipwa basi mjinga ni Magufuli, wewe Just Distinctions na wenzenu wengine ambao mnaamini kulikuwa kg 7 za dhahabu
Unajiita Just Distinctions halafu huwezi ku grasp simple maths and logic?? Au ndiyo wa vyeti feki
Yaani mnadai Trillion 450,000 mnapewa dollar mil.300,000 tu alafu mnashukuru kuwa haijawahi kutokea?.Yes ili kuweka good terms, na ndio maana wakatoa Dola milioni 300 na mkataba ulisainiwa upya ili kuinufaisha TZ kitu ambacho hakijawahi kufanyika tokea TZ imeanza kujihusisha na masuala ya madini